Himself😎
85 posts


CCM ni unkwepekabo wazee mirija mingi ya chakula ipo kwao sasa wewe ukatae kazi ya GSM sijui msanii gani kisa alisapoti CCM shauri yako
Binafsi mimi siwezi laumu mtu kwa hayo na anayelaumu na ukute ameajiriwa kampuni X ya mwanaCCM 😄
Muhimu kwenye ubaya tunyooshe kidole
mTusi original 👦@mTusiOriginal
Wale akina taivina na sativa waacheni wapige kazi kiufupi hata wakienda CCM Waende sisi hatutegemei mtu wala hatufati mtu tunafata itikafi au point anayo wasilisha mtu, Kuna mda unaweza ukahisia kama ni kosa kufanya kazi na watu wa CCM ila ukishajua hakuna atakae kus👇👇
Indonesia

@Wakanda_republi @Dominicksalamb1 Kaka unasema nini?? Kwanza una hela ya kula hapo ili tukupe😎

Filipino

@JrKiriba @Dominicksalamb1 😅😅 Mnahela kaka au mnatetesi
Indonesia

@Shneida_Infos Umeona ''Jomoni'' kama zile za @JrKiriba
Das@Das_Salehe
Dua zenu wakuu leo nisitoke kapa.😀😀
Himself😎 retweetledi

#UEFA Unaambiwa kitu pekee kitakachowaokoa na aibu Barcelona leo ni kutorudi uwanjani kipindi cha pili.
HT : BENFICA 3-1 BARCELONA
Pavlidis ⚽⚽⚽
Lewandowsk⚽
MECHI NYINGINE
Atletico Madrid 0-1 Bayer Leverkusen
Bologna 0-1 Dortmund
Club Brugge 0-0 Juventus
Crvena zvezda 0-3 PSV
Liverpool 1-0 Lille
SK Slovan Bratislava 0-2 Stuttgart
#UEFA #EastAfricaTV

Slovenščina
Himself😎 retweetledi

#UEFA Unaambiwa Pavlidis anawatesa sana Barcelona kwenye mechi ya leo, ambapo mpaka hivi sasa tayari katupia chuma TATU kambani, yaani HAT-TRICK
35' : BENFICA 3-1 BARCELONA
Pavlidis ⚽⚽⚽
Lewandowsk⚽
#UEFA #EastAfricaTV

Indonesia

@inframe_tz hii Scene nimeshangilia kama vile Chelsea kamfunga Manchester united
Jackal ni Mtu Sana uyu 🔥🔥
Filipino

Himself😎 retweetledi

#AFCON2025 Unaambiwa kama vile ambavyo Lamine Yamal ni mchezaji mwenye umri mdogo zaidi katika kikosi cha Uhispania, basi ndiyo hivyo hivyo hata katika timu ya Taifa Stars, ambapo Kinda Abel Josia anaweka Rekodi ya kuwa mchezaji mdogo kuwahi kujumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, ambapo ana Miaka 13 na amezaliwa mwaka 2010.
Na hii leo amepangwa kwenye kikosi kinachocheza dhidi ya Ethiopia ambapo ameanzia benchi.
Neno moja kwa Kinda huyu😃🤷?
✍ @JrKiriba
#AFCON2025 #EastAfricaTV

Indonesia

#MICHEZO Vijana wanakwambia Ex hanuniwi, hatimaye Jadon Sancho amerejea ndani ya Man United na hii ni mara baada ya kufanya mazungumzo ya uso kwa uso na kocha wa timu hiyo Erik ten Hag na kukubaliana kumaliza tofauti zao.
Sancho alitolewa kwa mkopo kwenda klabu ya Dortmund kufuatia kuwepo kwa sintofahamu baina yake yeye na Kocha, hivyo hivi sasa mkopo huo umemalizika na amerejea kwenye kikosi hicho na hii leo ameonekana akifanya mazoezi na kikosi cha Man united.
Unadhani Sancho amefanya uamuzi mzuri kurejea Man United au ang'ang'ana kubaki Dortmund?
#JadonSancho #ManUnited #HainaKuchoka #EastAfricaTV

Filipino




















