shneida_infos

1.5K posts

shneida_infos banner
shneida_infos

shneida_infos

@Shneida_Infos

Broadcast Journalist | Producer @shneida_infos on Instagram.

Dar Es Salaam Katılım Temmuz 2019
143 Takip Edilen332 Takipçiler
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Madueke ni taka ngumu.
Indonesia
90
76
1.1K
34.3K
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
@rollymsouth Kaka sio Bongo Dar es Salaam! Songa aliimba Sauti ya Ghetto Joh Makini aliimba Bongo Dar es Salaam Halafu Nikki Mbishi aliperforme nae nyimbo zake zote zilizobakia
Filipino
0
0
0
243
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Songa kaimba wimbo wote wa bongo Dar es Salaam(kwenye show ya Jay)... Tuiheshimu Tamaduni Muzik basi
Indonesia
51
53
1K
44.6K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Jahazi Modern Taarab waliua sana kwenye Nipe Stara 🙌🏾🙌🏾
Filipino
20
9
185
8.9K
shneida_infos retweetledi
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
Zamu ya @countrywizzy_tz kututajia First Eleven yake ya Rapa bora wa muda Tanzania ambao anawakubali! 1. @TheRealJongwe 2. @ProfessorJayTz 3. @jaymoefamous 4.Gangwe Mob 5. @FidQ 6. Ngwea 7. Wateule 8. @MwanaFA 9. @AyTanzania 10. TMK Wanaume Family 11. @solothang SUB : @countrywizzy_tz @moni_centrozone @dizastavina @YoungLunya @mex_tz @Iamconboi @salminswaggz @rapcha_tz @manengo_tz #EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha @Shneida_Infos
Indonesia
0
2
14
1.6K
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ@Nindi_Jr·
Sema Huwa Naikubali Sana Flow Ya Wakazi Kama Umekulia Na Kusikiliza Ngoma Za 2Pac, Redman & Method Man, Lauryn Hill, Keith Murray, Wu-Tang Clan Au A Tribe Called Quest. Hawa Walikuwa Kwenye Golden Age Ya Rap, Basi Lazima Utamwelewa @Wakazi Anavyo-Rap. Respect 🙌🏾
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet media
Filipino
10
13
118
3.8K
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
@saralexozil Hakuna tofauti kati ya Single Mother na wanawake walio zaidi ya miaka 26+, wote wametumika sana tofauti ni kwamba mmoja ameamua kuzaa mwingine ameua vizazi
Indonesia
3
0
0
321
Sara💕
Sara💕@saralexozil·
Kwanini single mother wamekuwa wengi mtaani?
Filipino
58
47
263
10.9K
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
@Therealngassa Bei zake inategemea ni mabalo ya nini na hizo bidhaa zinatoka nchi gani mzee ? Kuna ya nguo, mitandio, viatu, kanzu, croptop, bodysuit mara nyingi ni kuanzia 350k mpaka 600k
Filipino
0
0
3
258
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Hivi mabalo ya mitumba waga yanauzwa bei gani na faida zake zikoje
Indonesia
11
5
103
5.8K
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
Bro to bro ni kauli gani ya Mwanamke huiamini kati ya hizi 👇 1. Sina nauli 2. Niko Period 3. Mi bado bikra 4. Sina mwanaume mwingine zaidi yako 5. He is just a friend 6. Mmh mwenzio naogopa 7. Nina mimba yako 8. Simu ilizima 9. Siwezi kukusaliti 10. Nakupenda
Filipino
0
0
0
25
RCM
RCM@robkidayo_·
Pengine tangu Afrika iumbwe hapajatokea msanii mkubwa na mwenye ushawishi kuzidi WIZKID 🦅🙌
Indonesia
1
1
14
181
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
First Eleven ya wasanii wanaojua kucheza mpira Bongo 1. Tundaman 2. M2 the P 3. KR Mulla 4.Mansu li 5. H Baba 6. Stamina 7. Hussein Machozi 8. Amini Mwinyimkuu 9. Alikiba 10. Maarifa 11. Foby
Indonesia
0
0
1
74
I’M ALMAS
I’M ALMAS@IM_Almas1·
Kibongo bongo sidhani kama kuna ngoma kali zilizofanyiwa Rmx kama: Sikati tamaa - Darassa Mchizi wangu - Nako 2 Nako
Indonesia
13
2
41
4.1K
shneida_infos
shneida_infos@Shneida_Infos·
@RevocatusMagum1 Unashangaa hii wakati Profile ya Damaro inasema amezaliwa 2000, lakini mwaka 2019 alikuwa bado anacheza mashindano ya under 17
Filipino
0
0
1
177
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Mwamba profile yake inasoma umri miaka 28, amebakisha miaka kama 4 mpaka 5 kucheza soka la ushindani, ila tayari amekula maisha Valencia. Ilibidi tu muda ufike alichopangiwa na Mungu kitimie. Ndoto zake zinakamilika.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
6
22
584
14.4K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Hivi hapa east Africa kuna msanii mwenye sauti nzuri kama yammy tz🔥
Filipino
1
0
4
114