Wasia
3.2K posts

Wasia
@JuniorWasia
#Pharmacist #MedicineRegulatoryExpert #EastAfrican #Arsenal fan
East Africa Katılım Nisan 2018
212 Takip Edilen316 Takipçiler

@siyagaenock1 @Chingole1Ching @mshambuliaji Nipe mfano wa polisi nchi yyte duniani walioweza kuwadhibiti waandamanaji peacefully.
Suomi

@JuniorWasia @Chingole1Ching @mshambuliaji ni kazi ya polisi kuimarisha usalama na kuhakksha hawapori mali
Indonesia

Rais wa Kenya, Dkt William Ruto kama Amiri Jeshi mkuu wa Nchi hiyo amekitaka Chama cha Azimio la Umoja kuacha mchezo na kusitisha maandamano waliyopanga kufanyika Jumanne ijayo yanayoongozwa na Raila Odinga na kubainisha kuwa wakilazimisha kuandamana watajua hawajui.
“Nilimuita Odinga nikamuomba asitishe maandamano, wamekataa, Mimi niliwaambia ile wiki nyingine, nikaita yule Mzee wa kitendawili na nikamwambia wewe wacha hii maandamano tupeleke hii maneno yote unasema Bungeni, Wabunge waangalie kama kuna maneno ya ukweli" Rais Ruto ameyasema hayo leo akiwa eneo la Malava Kaunti ya Kakamega,
"Sasa eti wamekataa hiyo ya kwenda kuongea kwa amani Bungeni, eti wanataka kurudia maandamano, eti waende wavunje mali na kuharibu biashara ya Wananchi, Mimi ndio commander-in-chief, nyinyi mtajua hamjui, waache hiyo mchezo" - ameongeza.
"Mambo ya uchaguzi tulimaliza last year, ile kazi imebaki sasa ni ya Viongozi, kazi imebaki ni maendeleo ya Wananchi, hakuna mali au biashara ya Wananchi itaharibika tena, Serikali ya Kenya itasimama imara kuhakikisha ya kwamba inalinda maisha na mali na biashara ya kila Mwananchi" Dkt Ruto
#KitengeUpdates

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@siadevinci Huyu jama na idea zake...nina shaka nae kama sio shoga basi yuko na ajenda

@siyagaenock1 @Chingole1Ching @mshambuliaji Unakaza kichwa tu mzee, lkn ukweli waandamanaji wanaiba na kuharib mali
Indonesia

@Chingole1Ching @mshambuliaji kwani wapi wamesema watafanya ya vurugu??!
Indonesia

@ndadeba @millardayo Mungu kakupa uhai, wewe ukaona hapana siutaki ngoja nirudi kwake alaf akakupe pumziko la amani. Try being realistic.
Indonesia

@millardayo Pumziko la milele umpe Ee Bwana na raha ya milele umwangazie roho yake Carlos Mwamilinga ipumzike kwa amani..amina
Pole kwa familia..!
Filipino

Mkazi wa Iringa, Carlos Mwamilinga mwenye umri wa miaka 37 amekutwa amejinyonga kwa kamba katika chumba alichokuwa akiishi eneo la njia panda ya Mtwivila Mkoani Iringa kwa kile kinachohisiwa kuwa ni kutokana na kutingwa na mawazo kupita kiasi kutokana na kuachana na Mke wake mwezi mmoja uliopita na Mke kuhamia Jijini Dar es salaam..
#MillardAyoUPDATES

Filipino

@EduTalkTz Mawazo ya kipuuzi.
Uizi na ubakaji wote ni zao la jamii. Je na wao waachwe?
HT

LGBTQ Tanzania ni zao la jamii ya TZ. Kutotambuliwa kwao kisheria, hakuondoi uhalisia kwamba wapo. Ni watu na wana haki ya kuishi kama yeyote yule. Hasira zetu zijikite kwenye mifumo jamii inayowatengeneza; MAKOSA YA MFUMO ASIADHIBIWE NAYO MHANGA WA MFUMO
twitter.com/kvLondoA/statu…
Indonesia

@salimosaid Asking for my fellow simba fan, where are you now, coz he expect to see u in the Morocco right now
English

@swahilitimes Watu wanaleta boat mpya za mamilioni alaf nyie mnaleta hizi habar 😀😀😀
Mnataka mzee wa lambalamba awaloge
Indonesia

Serikali imesema mazungumzo kuhusu ujenzi wa daraja litakalounganisha Tanzania bara na Zanzibar yamekwishaanza ambapo Machi 11, 2023 Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa upande wa Tanzania bara na Zanzibar zilikutana na wawekezaji wa kampuni ya China Overseas Engineering Group, walioonesha nia ya kujenga daraja hilo, na kwamba matokeo ya kikao hicho bado yanafanyiwa kazi.

Indonesia

Late 90's na 2000's utawasikia Rappers wao wakali hawapo hapo ila ni wakina Lunya na Country Boy. Nitajie kichwa kipi hapo Pichani ulikuwa unakikubali zaidi?!!🙂🎙️
#MuzikiNiMaisha

Filipino

6 points confirmed for Arsenal next season, welcome back. 👏🏾
Sheffield United@SheffieldUnited
We’re back, @premierleague! 👋❤️
English

@SalhaBintiAziz @husseinabui Dah...mwanamke anae ona sifa kubishana na watu hivi na ameolewa, kama mume wako anaona haya na amekuachia uendele na huu ubishani basi mumeo nae ajitathmini.
Indonesia

@husseinabui Hebu kwenda zako wewe! We Uislam toka uukubali mangapi umefata!? Nyie ndio mnajificha kwenye kichaka cha dini mnafanya maasi ajabu ya Rahman! Njia pekee ya kumlinda binti na uzinifu ni MALEZI BORA sawa na MAFUNDISHO YA ISLAM na sio kumuozesha akiwa na umri mdogo. PERIOD!
Indonesia

Unaukubali uislam unakataa muongozo wa mtume.
Baadae unajitokeza eti unatetea wanawake wa kiislam.haya unayoyafanya ni kukhalifu yale aliyotufundisha mtume.
uislam umekamilika na Allah anatujua zaidi hizi harakati zisikufanye ukamkufuru Allah.
Ukhty mche Allah.
Salha Binti Aziz 🇹🇿@SalhaBintiAziz
Mdahalo wa Kitaifa wa Mabadiliko ya Sheria ya ndoa Wabunge: 18 Viongozi wa Kimila: 18 Wadau wa NGOs: 18 Maaskofu: 18 Masheikh: Balehe! 🙂 Kweli tunashindwa kujitoa kulinda na kuwalea watoto kwenye maadili!? Tunashikilia ndoa za utotoni za kuendelea kuwatesa watoto hadi lini?!
Indonesia

@MsuyaHuruma @siadevinci Then the US citizen should remove Biden from the office.
English

@SwahiliBible Mnapendaga kukosoa mapungufu yetu kwa kufananisha na ulaya...hukumbuki hivi karibun nchi za ulaya e.g. German and spain walikua na shida ya maji adi raia wamezuiwa kuosha magari
Indonesia













