
@Meshaccky @ommyfitness Naam usipowaambia ushauri utapata wapi??! Kibaya ni kusema na huna pa kuanzia, unasema na mtaji huna, ila kama unao shirikisha watu utapata kitu
Indonesia
Huruma Msuya
7K posts






Huwa tunasema hatuwezi kuweka akiba sababu hata tulichonacho hakitutoshi ila mnatusimanga. MaPro wa banking and finance tunaomba mtuelimishe hapa tunaweka akiba ipi kama matumizi ni 10k na mimi naingiza 5k ? Akibaje ?


















Ungekuwa sio Mbunge/Waziri hata ile ghorofa Kigamboni usingemiliki. Sisi sio wajinga bhana Bongo kama sio mwizi huwezi kuwa na akiba kupitia mshahara😂




Ukiwa na mshahara wa 400k huwezi ku-save kitu. Haya, yaishe sasa! Mmeshinda! 🤛🏾💪🏾🤷🏾♂️