Siku ya pili oparesheni #freetundulissukatibampya tutafika kila kona ya Nchi..
Endelea kuchangia mabadiliko kupitia 0744446969 Chadema HQ
Asante sana Geita.
Asante sana wakili msomi Mwabukusi
Hatukukosea kukupambania ili uwe Rais TLS - asanteni sana mawakili kwa kumpa kura @Mwabuk2Boniface
Umenyooka na kueleweka! Kama wameumia wanywe sumu 😁
#FreeTunduLissu NOW 👊🏽🔥
Mashuhuda wanasema RCO na RPC walimuwashia moto sana, badae wakamwambia awafuate ili akatoe maelezo ya ziada so wakaingia nae ndani ya kituo cha Polisi.
Walipoingia ndani kuna baadhi ya Wanachama wa CHADEMA, walijiongeza wakawafuata wale Askari waliokuwa pale njee, wakawauliza kwani Buyobe ana issue gani kubwa mpaka kamuomba RCO asiiseme mbele yetu?
Wale Askari wakawajibu kwamba walipoenda kumkamata Buyobe nyumbani kwake Kigamboni alijitambulisha kuwa yeye ni ofisa wa TISS, wakamchukua na kuondoka nae kulekea kituo cha Polisi Chang’ombe.
Walipofika Polisi wakamuomba atoe password ya simu yake, akatoa wakaingia kwenye WhatsApp yake wakakuta anawasaliana na Mkuu wa Dawati la Siasa wa TISS, Thobias Mwesiga na alikuwa anampa info za watu mbalimbali,(Japo Mwesiga kwasasa kaondolewa kwenye hiyo nafasi) mtu mwingine ambae alikuwa akiwasiliana nae ni Abdul mtoto wa Idd Amin Mama.
Lakin pia alikuwa anawasiliana na baadhi ya Viongozi wa Serikali wakiwemo Mawaziri na kote huko alikuwa anajitambulisha kama afisa wa TISS so Polisi baada ya kuona mawasiliano yake na hao watu, hata wao wenyewe waliogopa.
So hao Wanachama wakajua issue ni nini so waliondoka zao ila walimwacha Buyobe pale kituoni na Wakili ambae alikuwa kamsindikiza.
Mwisho kabisa hii sio vita ya maneno ni uhalisia wa mambo na kwa tulipofika sasa ili kulikomboa Taifa letu lazima kwanza tulindane kwa kuepushana na hatari zinazoepukika.
Nawatakia siku njema.
🔥🔥KATORO IMEITIKA NA HECHE YUPO👊🏽‼️
Katoro imefurika na ninamwona brother @HecheJohn
Watanzania WAMECHOKA na wako tayari kwa mabadiliko! Hawaombi wanadai kwa vitendo
#TutaelewanaTu
‼️🚨BREAKING NEWS‼️
DCI KINGAI AMEJIANDAA KUMKAMATA HECHE KWA UHAINI🙄
Uongozi haramu wa Samia Suluhu kupitia DCI imepangs kufungua kesi ya uhaini dhidi ya John Heche na wamepanga kumkamata kesho!
Lengo ni kusambaratisha chama cha CHADEMA na wanataka akae ndani muda mrefu ili warudishe wasaliti ktk uongozi na/au wamdhuru Heche wakati wa ukamataji!
Kaka @HecheJohn huu si muda wa kusema huna hatia so huogopi kukamatwa! We can’t afford ukamatwe! Wananchi wote tumlinde Heche kwa wivu mkubwa! Na tusipoamka watatumaiiza wote - we need to organize!
#TutaelewanaTu#SamiaMustGo
@UTDTrey We never had one so far, at least we have found the one who has restored us back to the grand football stage of UEFA. He has shown class, resilience, dependability, loyalty and stability. As for me, these elements are good enough to get us to the end of the tunnel.
I’m still very worried about Carrick’s appointment, I just want someone we can build with and win trophies. Tired of sacking managers.
I’m not entirely sure but all we can do is back him. COME ON CARRICK❤️
‼️🚨REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES THREATENS CHADEMA‼️
As expected, Samia Suluhu and her cabal are nerve wrecked by recent Chadema rallies and press conferences
So now they cite some unconstitutiinal represive laws and threaten Chadema with deregisttation!
Deputy Registrar Sisty Nyahoza signed the letter and he is just a faithful servant of the regime! #Tanzania is headed the wrong way!
Sisty Nyahoza! Hivi huyu baba anawaza maisha baada ya utumishi huu? Hapa ni wazi mafedhulii wanawaza kufuta usajili wa Chadema hakuna kingine!
Ila #TutaelewanaTu
Msajili wa vyama, Sisty Nyahoza.
Mpango wowote muovu mnaoletewa na jaribio la kutaka kuzia chadema kufanya kazi zake au kukifuta chama chetu utabackfire vibaya.
Hatutakubali Chama chetu kiwe kibaraka wa ccm..
Tunajua Kesi ya Said Issa na vibaraka wengine ni ya kwako..
mahakama imetuondolea zuio umekuja tena.
Kauli ya Mwenyekiti wa vijana ccm kupoteza watu, na kweli watu wanapotea Popole, Mdude na wengine wamepotezwa.
Kauli za kina Makala za Mpox na Ebora.. kauli za mauaji na kuchinja watu za viongozi wa ccm .. Zipo nyingi
Je umewahi kuwaandikia ccm barua kuhusu hayo?
Acheni tushindane kwa hoja na ccm…
Ndio maana miongoni mwa mabadiliko, ambayo lazima yafanyike ni kufuta hii ofisi ya msajili inayotumiwa na ccm kudidimiza demokrasia.
Makamu Mwenyekiti wa @ChademaTZ2 Bara Mhe.@HecheJohn akiongea na wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vya kati mkoa wa Mwanza katika kongamano lililoandaliwa na CHASO Mwanza.
Kichwa cha James Temba kimepatikana Maeneo ya Kitunda Kibeberu Dar es salaam, James alitekwa kisha akakatwa kichwa na mwili wake ukatupwa mto Msimbazi
Ikumbukwe mwili wa James ulishazikwa alhamis iliyopita leo kichwa kimepatikana-familia inaingia msiba mwingine wa kuzika KICHWA
@Sativa255 The guy is simply the football itself!!
No CR7 no football!
By the way, I don't like but I Love what you do champ....keep moving man, we support you ile mbaya✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻❤🔥