mwamba

1.8K posts

mwamba

mwamba

@KunHamis

simba sports club and Manchester United supporter 💪💪💪💪💪+ Madrid halla

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2013
1.5K Takip Edilen991 Takipçiler
Adam Vunge
Adam Vunge@AdamMkali2·
@curldenny @Roma_Mkatoliki Yan bado pesa zao hawazifaidi wee ukiwa na M50 alaf upo hospital mwaka mzima zinakusaidia nn hizo pesa au wanao Wana Raha gan ya kula Bata wakat wew unamwa kl
Indonesia
2
0
0
32
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Mbunge anakunja mshahara plus posho, milio kama 12-18 💴 hivi kila mwisho wa mwezi!! Tufanye 12M kadirio la chini!! So kwa mwaka anakunja 144M. Kwa term moko (5yrs) muhula mmoja anakunja 720M (Bilioni kasorobo) Whaaaaaao!! Ukiwa mbunge kwa miaka 30 unatengeneza 4B+ Kumbuka hapo kuna mpiga kura wake ana umri wa miaka 35 na hajawahi kushika hata laki tatu tu ya pamoja KMMK Walahi🥹 (I’m sorry) Again, mpiga kura huyo hana maji, hana umeme, na akiumwa hana bima ya afya!! Mbunge huyo ana kila kitu sio shida zake!! Na kwa kipindi chote hicho anaweza asiwe tu mbunge, akapewa na uwaziri…… means mshahara uta-double!! Hapo sio tena 12M monthly So kwa miaka 30 mtu anatengeneza 6B plus!! Mixer fursa shindili, yeye na familia yake na ukoo ikimpendeza!! Lakini jimboni kwake ukifika hakuna chochote kilichobadilika, shida,ufukara,umasikini,changamoto milioni!! Na hii ndio legacy wanayoipambania, not otherwise!! Ndio maana mtu huyu anakuwa tayari kukupoteza ikibidi kukuua ili ku-secure bag lake 💰
Indonesia
72
265
1.5K
73K
Only Gigs
Only Gigs@Onlgig·
Anyone from Tanzania? Fluent in Swahili?
English
175
48
502
64K
mwamba
mwamba@KunHamis·
@FutureTrader01 @nyuki_malkia Then who is to blame? The giver or the receiver? If the allegations are true then they have act against the source of all billions
English
0
0
0
14
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Hapa ndio tumefika sasa Watanzania 🙌
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Filipino
104
33
490
223.5K
KOUJA || The TOFF
KOUJA || The TOFF@koujja19·
@Baraka__Mpenja Em! Kuwa mwelewa Kaka shida hapo sio bei shida ni kiatu kuchoka yaani kimeisha Hakina muonekano wa kile kiatu kipya ila thamani ya kiatu kipya ndio bei hiyo Kaka Embu! Fikiria akitaka kuuza used atauza kwa bei hiyo? Usd 1668
Filipino
6
0
1
910
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿@Baraka__Mpenja·
😂😂OOOH! MBONA RABA YA ALASSANE KANTE IMECHOKA, imechakaa vibaya mno, UNAIJUA?😂😂😂😂😂😂 Mabibi na Mabwana hicho kiatu alichovaa Mchezaji mpya wa Simba SC, Alassane Kante, kwenye picha yake ya utambulisho ni Adidas x Bad Bunny Forum Buckle Low 1/2
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿 tweet media
Filipino
46
32
393
19.4K
mwamba
mwamba@KunHamis·
@CAFCLCC Poor decision making by CAF ! Probably your decision have external influence to prevent simba freedom of manouvre towards the game. Poor you
English
0
0
0
70
Anne
Anne@Anne_OF_cum·
@KunHamis @iammpemba Tujilinganishe na m23 sasa, unaona vifaa vyao??
हिन्दी
1
0
0
42
mwamba
mwamba@KunHamis·
@big_BALLS_doge @iammpemba Matumizi hayo yanatokana na factor nyingi sana! Ya kwanza ni uchumi wa nchi, teknolojia pia na aina ya adui ambaye unaweza kupambana nae! Marekani na Urusi ni level za juu sana kujilinganisha nao
Indonesia
1
0
0
39
Anne
Anne@Anne_OF_cum·
@KunHamis @iammpemba Wakati ww unaendelea kutumia smg wamerekani walishaacha kutumi m16 kitambo
Indonesia
2
0
0
45
Anne
Anne@Anne_OF_cum·
@KunHamis @iammpemba Concept ni kwamba wanasema hivo ni vifaa vya mazoezi tu ! Sasa inakuwaje ufanye mazoezi ni vitu hutumii uwanja wa vita
Indonesia
1
0
0
198
Anne
Anne@Anne_OF_cum·
@iammpemba Hebu acheni utani eti mazoezi😂😂😂 yani ufanye mazoezi n kisu alafu vitani ukafumie kifaru! Acheni ujinga bana JWTZ ni ill equiped fullstop! Hamuwazidi Uganda kwa modern military gears
Indonesia
13
0
18
9.3K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
@moodewji Amna tajiri anayejielezaa saaana 😂wewe ni Maskini kama Maskini wengine
Indonesia
5
0
11
655
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
“Uongozi ni uwezo wa kutekeleza maono na kuyafanya kuwa halisi.” — Warren Bennis #NguvuMoja🦁
Mohammed Dewji MO tweet media
Filipino
67
83
1.8K
38.3K
GUMBO_1 +255⚽
GUMBO_1 +255⚽@255Wilfred·
@bvrbvra Hivi ni vita vya ndani kati ya pande mbili za ghaibu. Adui huyu hapigani kwa nguvu ya moto bali kwa habari potofu. Uwanja wa vita hauonekani, na upo kila mahali. Vita si suala la kudhibiti tena eneo; inahusu kushawishi na kudhibiti mtazamo.
Indonesia
4
0
12
858
Barbara Gonzalez
Barbara Gonzalez@bvrbvra·
This is an internal war between the dualities of the unseen. This enemy doesn’t fight with firepower but with misinformation. The battlefield is invisible, and omnipresent. Warfare is no longer a matter of controlling territory; it’s about influencing and managing perception.
English
153
136
1.6K
76.5K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
🚨🌍 𝐋𝐀𝐓𝐄𝐒𝐓 𝐎𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐀𝐅𝐑𝐈𝐂𝐀𝐍 𝐅𝐎𝐎𝐓𝐁𝐀𝐋𝐋 𝐋𝐄𝐀𝐆𝐔𝐄: ✪ Dr Patrice Motsepe is holding on to the start of the new African Football League (AFL) next season. ✪ CAF and the AFL organizers are striving to find a formula to maintain the organisation of the upcoming 2024/2025 season and see where best to fix in and not distract the calendar. ✪ Dr Motsepe is in negotiations with the new sponsors to provide the financial flow to host the AFL in its second edition. ✪ 90% there is a high percentage of holding the AFL next season. ✪ The number of teams participating will increase as expected but also depends on the financial position. ✪ Mamelodi Sundowns, the defending champions will be in to defend their title. ✪ Only Enyimba may be kicked-out but the rest of the teams in the inaugural edition all confirmed their participation. ✪ Al Ahly, Simba, Wydad, TP Mazembe, Petro Luanda and ES Tunis are all set. Africa, are you ready for another edition of the African Football League and what do you think need to improve from going forward? 🤭 #aflwithmicky #africanfootballleague
Micky Jnr tweet media
English
36
41
848
60.2K
mwamba retweetledi
Kiah
Kiah@UtdKiah·
Why Manchester United's FA Cup Victory is HUGE!! A thread. 🧵
Kiah tweet media
English
189
1.9K
33.3K
4M
mwamba
mwamba@KunHamis·
Wakutembelea maeneo ya kisemvule kuelekea mkuranga karibuni sehemu ya utulive Melody lodge!
mwamba tweet media
Indonesia
0
0
0
46
mwamba
mwamba@KunHamis·
mwamba tweet media
ZXX
1
0
0
82
mwamba
mwamba@KunHamis·
@kennedyfransis @EduTalkTz Kwa hiyo mfano Israel kwa sasa yuko vitani na Hamas! Mbona infantry wanapambana? Au naye hana technology???? Tungeona wamekaa kwao technology inapambana peke yake
Indonesia
0
0
0
13
kennedy francis
kennedy francis@kennedyfransis·
@EduTalkTz Ao makomando ni useless labda kama wanawatumia kwa chaddema, nenda nunua F16 nenda Iran nunua makombora yenye uwezo wakufika Rwanda 💀 alaf rudi kaa zako kinyaa!
Indonesia
12
0
13
4K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Karne ya Artificial Intelligence ukionesha vitu kama hivi unaonekana kituko tu.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
237
61
941
104.3K
Dr Calipso
Dr Calipso@nulphin·
Lieutenant Commando ⭐️⭐️⭐️ yes hiki ndio cheo ya Muuza madafu wa ikulu tena jamaa ana bawa kifuani yes maana yake ni kwamba amemaliza kozi zote za ukamando 92KJ Ngere What? Yes Ngerengere Alipohojiwa na @millardayo muuza madafu alijibu Ukija bila gadi nagawa wastani kwa idadi
Dr Calipso tweet media
Indonesia
207
115
2.2K
250.9K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Naitwa Charles Samwel Wambura ni Askari wa JWTZ niko Lugalo Nili nunua kiwanja Madale mwaka 2018 nikajenga na kuhamia mwaka 2020 akajitokeza boss anaeitwa KUMBAKUMBA nakudai hilo eneo lote ni lake,zipo zaidi ya Hekari 5 kwamba alinunua kama Shamba pori, Huyo tajiri akawa anaendesha kesi na mtu ambae ndie alieniuzia hilo eneo, mimi binafasi sijawai kuitwa mahakamani, mwisho wasiku jana amekuja na askar zaidi ya 15 akidai ameshinda kesi na kapewa ulinzi na Mkuu wa Wilaya ya kinondoni, miminilikua kazin nikapigiwa simu nyumba yangu inavunjwa kuanzia fansi hand ndani Naomba msaada wako kaka mimi ni wakufa kila baada ya masaa napoteza faham eeeeeh mungu wangu, sioni hata thaman ya kua mwanajeshi nalala nje, raia naowalinda ndan ya nchi yangu wana chukua maisha yangu duuuuh 😭. Namba yangu ya simu +255 658 796 717, Naomba nisaidie wakubwa serikalini waone nipate haki yangu.
Filipino
190
105
381
96K