#Μβεʏαβσʏ

65.2K posts

#Μβεʏαβσʏ banner
#Μβεʏαβσʏ

#Μβεʏαβσʏ

@Kunde0

truck driver by pro||Alistair Team|| @simbasctanzania @yangasc1935 ||The surest way to be happy is to seek happiness for others. thankz lord 🙏.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2017
5.4K Takip Edilen4.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
#Μβεʏαβσʏ
#Μβεʏαβσʏ@Kunde0·
Kuna siku nikikua natoka nakonde naelekea DRC. kuna dada mmoja hivi alikua dereva wa kampuni na ASAS aliniletea fujo nyingi sana kisa tu ana gari inauwezo kuliko mpilipili wangu bas mimi nikawa nimepuuza safari ikaendelea mida ya mchana hivi tunakalibia sehem moja hivi inaitwa Mpika gari yake imezingua na hakuna mtu wa kumsaidia namimi ndio nilikua nyuma yake nikaona wacha tu nisimame maana panaweza kua na hatari pale mazingira hayakua rafiki hasa kwa mwanamke nilivyofika pale nikamuuliza gari yako inashida gani kasema anashangaa tu gari imezima ghafla nikajaribu kuutumia ule ufundi wangu kwenye XT mungu akasaidia ikawaka na akaendelea na safari lakin kabla ya kuondoka nikamkumbusha ya kua mimi ndio yule umenifanyia ubaya Asubuhi tuendelee na safari sasa👊yule dada kila tukikutana siku hizi ananisalimia sana imefikia hatua hadi ananitaka yaan anataka uvulana wangu😂huku mwishoni niuongo
Indonesia
45
24
452
56.1K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Zee senge sana hili😂
ProsperNow. tweet media
हिन्दी
84
38
814
41.4K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Humu kuna wakati tuliaminishwa Netanyahu Ameuliwa na Waajemi ila wanetu sijui mnatuonaje.,MATAKO YENU 😂😂😂
Indonesia
54
33
467
21.8K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Page za “ROAD LIFE” hasa matruck zinamaliza sana MB ZANGU sikuizi.😁
Indonesia
16
41
642
26.7K
#Μβεʏαβσʏ retweetledi
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
Maisha ni kama gear za gari 🚛 Ukikomaa kwenye gear moja sana, injini inachoka. Jifunze kubadilika kulingana na mazingira. #Elimikawikiendi
IbRaH tweet media
Indonesia
11
20
75
2.3K
#Μβεʏαβσʏ retweetledi
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
Ukiwa huna kazi zakufanya ni kama vile masaa yanaganda…. Nani yuko Tunduma tuzinese akishinda anapiga gear kwenye XT.
IbRaH tweet media
Indonesia
9
7
50
1.4K
Doctor Mishy🇷🇺
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20·
Hawa wangeweka mawakala Tanzania wangeuza Sana, Unga wote ni Maziwa matupu🙌🙌
Doctor Mishy🇷🇺 tweet media
Indonesia
17
11
119
8.4K
#Μβεʏαβσʏ retweetledi
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Mtu anaweka status ya msiba anaomboleza halafu status inayofuata anaweka memes. Nashindwaga kuelewa hawa watu😅🙌
Indonesia
22
20
231
5.7K
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
Hapa LUBUMBASHI depo ya GROUP SIL madereva tenk kila mtu analia upande wake,mana shoti unalipa kulingana na bei ya sheri yenu ya kwanza iliyo tunduma kama sheri kwenu lita moja ni 3900 na wewe unalipa hivyo hivyo kwa kila lita😅
Filipino
4
7
100
4.9K
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
Hakuna mtu muhimu duniani tunaishi kwa kutegemeana. #Elimikanasuka
Indonesia
6
22
90
2.1K
Chris Bennet
Chris Bennet@ChrisBennet_·
Vya mZungu havihitaji nguvu MAN HB4 equiped with 12 speed Tipmatic transmission
Chris Bennet tweet media
3
5
67
2K
#Μβεʏαβσʏ
#Μβεʏαβσʏ@Kunde0·
Kwahiyo kasulu hakuna watu wanatumia X humuu?
#Μβεʏαβσʏ tweet media
Filipino
2
0
4
187
#Μβεʏαβσʏ retweetledi
Speedline
Speedline@speedlinexx·
🚨🤯Fenerbahçe fans celebrating Kanté’s arrival.
Speedline tweet mediaSpeedline tweet media
1.5K
2.7K
62.3K
7.5M
Mbaade 🤠
Mbaade 🤠@Mbaade_·
Huyu nae hapa Bar kalewa anatuambia alishawai kuwa na UKIMWI akapona 😂😂😂🚮
Indonesia
13
23
170
9.9K