kupira

9.1K posts

kupira banner
kupira

kupira

@KupiraJr

Sadistic pleasures.

Katılım Ağustos 2021
1.5K Takip Edilen1.8K Takipçiler
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, muda wowote kuanzia sasa, anaweza KUKIFUTIA USAJILI Chama cha Mapinduzi (CCM) kutokana na kauli ya MARY CHATANDA 👇😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
69
37
326
21.3K
kupira retweetledi
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Klabu ya Zamalek SC ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi kuu ya soka Nchini humo kwa mara ya 15 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Ceramica Cleopatra na kumaliza kileleni mwa msimamo wa Ligi hiyo wakiwa na alama 56. Mabingwa mara 45 wa Ligi hiyo, Al Ahly wamemaliza nafasi ya tatu wakifikisha alama 53, nafasi inayowalazimu kushiriki Kombe la Shirikisho msimu ujao. Mabingwa wapya Zamalek na Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Pyramids wamefuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. FT: Zamalek 1-0 Ceramica Cleopatra FT: Pyramids 2-1 Smouha FT: Al Masry 0-2 Al Ahly MSIMAMO 🔝 4️⃣ 1. Zamalek — pointi 56 2. Pyramids — pointi 54 3. Al Ahly — pointi 53 4. Cleopatra — pointi 44 #KitengeSports
Maulid Kitenge tweet media
Filipino
9
23
585
24.2K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Wazee Chanika mbali kinoma, sijui kwanini mnaisemaga Kigamboni. Ule ni mkoa mwingine kabisa😂
Eesti
49
44
710
22.7K
kupira
kupira@KupiraJr·
@Sativa255 Marehemu Tindwa aliekuwa mfanyakazi wao alipigwa chuma akiwa home na hakuna alinyanyua mdomo.
Indonesia
0
0
14
1.3K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Clouds media imetumika sana kukandamiza watanzania kufikia hapa tulipo. Redio imejaa laana ile.
Suomi
42
160
1K
55.1K
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
"Utekaji kila siku kuna mama kazika mtoto wake hana KICHWA" Godbless Lema
Indonesia
4
98
460
6.5K
kupira retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa nitakuwa Uyole Jumapili hii pamoja na Viongozi wengine wa ngazi mbalimbali za chama…Ni mkutano wa hadhara na Wananchi wote wa Mbeya Mjini njooni tuendelee tulipoishia…✌🏾✌🏾 #LiMwenyekiti #NyasaMpya #FREELISSU
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
57
362
2K
19.7K
kupira
kupira@KupiraJr·
@millardayo Huyu Fala anaacha kuongelea tope la kitunda anatoa pongezi ambazo hazina maana
Suomi
0
0
1
62
millardayo
millardayo@millardayo·
Mbunge wa Jimbo la Kivule Jijini Dar es salaam, Ojambi Massaburi amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani cha NCCR Mageuzi, Everlyne Munisi kuwa Mbunge na Naibu Waziri wa Ajira, Kazi na Mahusiano akisema hiyo ni hatua kubwa inayodhihirisha kuwa Rais Samia ni Mwanadiplomasia nguli. Massaburi amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja kwenye hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 iliyowasilishwa na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso. “Nampongeza Dkt. Samia Suluhu Hassan Mwanadiplomasia nguli, mara ya mwisho niliposema Dkt. Samia ni Mwanadiplomasia nguli wapo Watu walibeza kauli ile kwenye Vyombo vya Habari lakini leo ameuthibitishia umma na Dunia, Tanzania na Bara la Afrika kwa kumteua aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani (NCCR) kuwa tu sio Mbunge bali Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Mahusiano” “Dkt. Samia ni Kiongozi anayeamini kwenye Siasa za kujenga, hoja mbadala na ni Kiongozi aliyevuka mipaka ya kisiasa Tanzania, Dkt. Samia sisi Wananchi wa Kivule wakati anaingia madarakani, kwa takwimu za mwaka 2018 Jimbo la Kivule lilikuwa na maji 0% leo Dkt. Samia amejenga tenki kubwa la maji la lita milioni 9” #MillardAyoUPDATES
Indonesia
9
4
88
8.4K
kupira
kupira@KupiraJr·
@Wakazi Jasus la Mbinguni hawawezi kumteka huyo Malaya naye kelele nyingi tu
Indonesia
0
0
0
691
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Don’t Kill the Messenger…. Rafiki yangu Rachel ana ujumbe huu kwa Waumini wa Kanisa la Gwajima na Walinzi wake There’s an alleged issued manhunt for Askofu Gwajima, led by the infamous Mafwele Everyone who has been critical of SERIKALI HARAMU, please take precautions. SAFETY!
English
25
125
737
34.4K
kupira retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kuhusu kifo cha JAMES aliekatwa KICHWA-jeshi la polisi limesema wanafanya UCHUNGUZI. Ni wakumbushe ni hili hili jeshi la polisi linafanya UCHUNGUZI mpaka leo kifo cha mzee KIBAO (miezi 16/17 sasa) Ni hawa hawa Jeshi la polisi wanafanya uchunguzi mpaka leo KUTEKWA kwa mdude (Mwaka sasa). Ni hawa hawa Jeshi la polisi wanafanya uchunguzi kutekwa kwa POLE POLE (miezi 6 sasa). Countdown ya JAMES TEMBA inaanza leo pia, tutawakumbusha. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia
23
142
1K
40.4K
kupira retweetledi
Markay 𝕏
Markay 𝕏@Markay744·
Osasuna 🇪🇸 1 : 2 🇪🇸 Barcelona Arsenal 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 2 : 1 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Fulham Como 🇮🇹 2 : 1 🇮🇹 Napoli 🎉🎉🎉🎉
1
20
309
9.8K
kupira retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mpaka familia inazunguka vituo vya polisi kumtafuta mpendwa wao bila mafanikio inamaanisha huo sio UKAMATAJI NI UTEKAJI. #FreeNinja
SIR TIVA tweet media
Indonesia
12
156
374
5.7K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Sema hapa Anko zangu wahuni walituokota Mno kmmk..,Hamna Kanali wa NaTo Hapa 😅😹🙌🏿
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
128
68
749
58.7K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️CONFIRMED‼️ Kuna mtu yupo Mahakamani kanijulisha kwamba amemuona Mhe. Lissu Mahakamani asubuhi hii. Najiuliza kwanini Serikali haram imeamua kumpeleka Mhe. Lissu Mahakamani kimya kimya bila kuwajulisha Mawakili wake wala Chama? Cc. Mhe. @HecheJohn @jjmnyika @rugemeleza
Hilda Newton tweet media
Indonesia
52
226
1.2K
26.2K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Ulikua na umri gani ulipojua hii kazi yake SIO kuoshea vyombo tu 🤔👇🏿
Headboy wa mtaa tweet media
35
34
126
24.4K
kupira
kupira@KupiraJr·
@millardayo Ukiona mtu ameiba pesa nyngi kiasi hicho halafu anekamatwa juu hakuiba hiyo pesa au ametapeliwa na yeye Bongo hakuna Police wa kukukamata na 40M alafu mshindwe kumalizana hizo ni drama za Jeshi la Police.
Filipino
0
0
2
612
millardayo
millardayo@millardayo·
Mwanamke mmoja Mjane Mkazi wa Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora, Fatma Nassoro, ametapeliwa zaidi ya Shilingi milioni 40 na Watu wanaodaiwa kujifanya watoa huduma ya ‘lipa namba’, fedha ambazo ni sehemu ya mirathi aliyoachiwa na marehemu Mume wake. Tukio hilo limetokea baada ya Watuhumiwa hao kufika katika eneo la biashara la Mwanamke huyo wakidai kumsaidia kuunganisha huduma ya malipo ya kielektroniki, ndipo walipofanikiwa kupata namba yake ya siri na hatimaye kuhamisha fedha hizo kutoka kwenye akaunti yake. Aidha, Jeshi la Polisi Mkoani Tabora limethibitisha kuwakamata Watu watano kuhusiana na tukio hilo, ambapo Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, SACP Richard Abwao, amesema Watuhumiwa hao wamekamatwa Babati Mkoani Manyara walipokuwa wakijaribu kutoroka baada ya kufanya uhalifu huo. Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha ameliagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha Watuhumiwa hao wanarejesha fedha hizo haraka iwezekanavyo kwa Mwanamke waliyemtapeli fedha zake za mirathi na sheria ichukuliwe kwa dhidi yao ili iwe fundisho kwa wenye tabia kama hiyo. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
25
10
187
23.5K
kupira retweetledi
Mr Blossom 👑
Mr Blossom 👑@iammrblossom·
Na this kind game person go stake 1st half over 0.5 😂
Mr Blossom 👑 tweet media
English
23
10
324
18.3K