Lushona M
5.5K posts

Lushona M
@Lushona2
@ACT WAZALENDO//Deputy shadow minister of infrastructure//MedicalLaboratoryScientist:


Mh @mwigulunchemba1 waziri mkuu mimi nami najiuliza Maswali yafuatayo 1. Ikiwa waziri mkuu hana majibu ya nani aliyetaka kupiga mabomu na kupiga risasi ni Raia gani akijiuliza atapata majibu? 2.Ni nani walioenda kutoa CCTV kamera majengo ya serikali Dodoma mara baada ya tukio la kupigwa risasi Lisu wewe ukiwa wazir wa mambo ya ndani? 3. Ni kweli kuwa majeshi yetu yamedhoofika kwa kiwango cha kuwa sasa utekaji unaanza na mtu wa 1 mpk wa 700 na hayawezi jua mtekaji ? 4. Ni lini serikali itaacha kuwa mlalamikaji kuhusu utekwaji na kuwa mtafuta suluhisho?. 5.Hapa nchini ni nani mwingine anayemiliki pingu wanazofungwa waliotekwa ukiondoa majeshi yetu? 6.Serikali ambayo Raia wake wanatekwa na waziri mkuu wake anawataka Raia wajiulize maswali badala ya kukabiliana na watekaji ni serikali ya namna gani?

















