Adamagashi

2.5K posts

Adamagashi banner
Adamagashi

Adamagashi

@MagashiAdam

๐•ฏ๐–”๐–“'๐–™ ๐–‹๐–Ž๐– ๐–™๐–๐–Š ๐•ญ๐–‘๐–†๐–’๐–Š, ๐•ฑ๐–Ž๐– ๐–™๐–๐–Š ๐–•๐–—๐–”๐–‡๐–‘๐–Š๐–’ .

๐•„๐•จ๐•’๐•Ÿ๐•ซ๐•’ Katฤฑlฤฑm Eylรผl 2018
257 Takip Edilen205 Takipรงiler
Adamagashi retweetledi
Inspiration Wiz
Inspiration Wiz@Inspirationwizยท
15 Deep Lines About Self-care: 1.
Inspiration Wiz tweet media
English
22
963
8K
373.9K
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Gwajima is an Opportunist and a Conman. Wanasema hata Saa mbovu husema ukweli twice a day (kwa muda ambao mishale imesimama), but that is not enough kumfanya awe msafi. Hafanyi kitu kwa haki bali ni kwa maslahi yake binafsi. Na ana โ€œMisukuleโ€ yake inayomfata, na wanaharakati wanaopenda sensationalism bila ku-reason vitu kwa kina.
fatma karume aka Shangazi@fatma_karume

Mtu yeyote anayetaka kubadilisha MISKITI ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ikawa Sunday School si MWEMA kwangu na hana JEMA lolote lakuniambia. Gwajiboy anadiriki kusema WAZI hataki Waaislamu wawe na HAKI ya ku practice dini yetu leo mnataka kuniaminisha ni MPENDA HAKI? Nonsense kabisa.

Indonesia
227
24
290
96.5K
Adamagashi
Adamagashi@MagashiAdamยท
@HecheJohn VPN bro tunazo no reform no election๐Ÿ˜Ž
Espaรฑol
0
0
0
15
John Heche
John Heche@HecheJohnยท
Mtandao wa Twitter ni kama umeshushwa haufanyi kazi vizuri. Dalili za uoga na udikteta.
160
434
3.4K
81.9K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadelekaยท
@Sativa255 Ndiyo maana โ€œWASHIKAJIโ€ walikufanya walivyokufanya.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Indonesia
424
17
373
287.7K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255ยท
Kama hujawahi kushinda KESI yoyote kama WAKILI WA YANGA utawaweza TUME?
SIR TIVA tweet media
Indonesia
71
64
1.3K
90.2K
Mwigulu Nchemba, PhD
Mwigulu Nchemba, PhD@mwigulunchemba1ยท
TUTAILINDA NCHI YETU KWA WIVU MKUBWA, TUSICHEZEANE.
Indonesia
488
92
683
75.7K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tzยท
@MzalendoDaily Nilisema mm Lema anakula Pesa ya Tone Tone nikatukanwa na Wana CDM .
Indonesia
4
0
2
222
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Bonifaceยท
MIMI NIMESHAPITA LEVEL ZA KUTISHWA. HUYU MPUMBAVU mwenye No Hii 0792 705831 anajaribu kunitisha. Nimemtaarifu kuwa haitaji kunivizia kama alivhosema ninarudi mbeya kushughukikia sula la Mdude Nyagali na nimeaama hiki mdiyo kiyama vha ujinga huu na nina hamu ya kuonana naye. Huu ndiyo Ujumbe wake Unapenda sifa sana jiandae kuacha mjane na yatima ww njoo mbeya kama ulivo sema tuowindane ulipo tupo njoo uone kama mdomo wako utakusaidia zaidi ya kukuangamiza kuma nyoko kama uwakili umekushinda iambie familia yako na kuiaga kuwa uko vitani Mambo vip naona unabwabwaja sana unatakasifa au. Ww mwambie pengo ajiandae vizuri hii dunia ni ndogo mbeya iko kiganjani na ww acha kamdomo. SINTA BABAISHWA,SINTA TETERESHWA NA SINA KIPAJI CHA WOGA.
Filipino
395
632
2.8K
218.7K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255ยท
MBUNGE WA CCM anasimama BUNGENI mishipa imemtoka anapinga USHOGA wakati chama CHAKE CCM kinatetea HAKI ZA MASHOGA. Lini uliwahi sikia KIONGOZI mkubwa Wa juu serikalini anapinga USHOGA? Mashoga TANZANIA wapo hawapo? Wanachukuliwa HATUA gani? Leo kwakuwa mmegoma kujadili ISHU YA LISSU mnataka tujadili USHOGA acha Tupasuane hapa. Na tuzo mkapewa ya USHOGA.๐Ÿ˜‚ BOSI HANUNIWI. #FreeTunduLissu #FreeMdude #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO๐Ÿซต๐Ÿพ๐Ÿ˜Ž
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
45
102
545
37K
Adamagashi
Adamagashi@MagashiAdamยท
@Alvn_360 We mwenyewe choko coz umeshadadia Ka umeikalia๐Ÿ˜Ž
HT
0
0
0
224
One Sister
One Sister@Rahma_Simbaยท
Lisu ni mbinafsi saaana,chanzo cha chadema kuvunjika ni yeye hafai kabisa kuwa hata kiongozi wa nchi hafai๐Ÿšฎ
One Sister tweet media
Indonesia
12
11
16
1.6K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehaiยท
โ€ผ๏ธTHIS IS THE FACE OF THE DEATH SQUAD LEADER MKOMA WHO TOOK MDUDEโ€ผ๏ธ Huyu ndo ameondoka na @mdudechadematz na ni kiongozi wa task force anafanya kazi na Mafwele anaitwa PROSPER MKOMA Mwenye taarifa zake nyingine anitumie #FreeMdude #FreeMdudeNyagali
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
42
198
836
80.7K
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š
Chama kinachotaka kushika dola lazima kiwe na mifumo madhubuti ya kusikiliza, kujadili, na kujenga maridhiano. You canโ€™t run a country if you canโ€™t even run your party democratically. Ndani ya chama kutakuwa na ideas nyingi tofauti โ€” hiyo ni healthy. Kuwanyamazisha watu wenye mawazo tofauti ni kutengeneza chama cha hofu, si chama cha matumaini. Na bila matumaini, huwezi kushinda mioyo ya Watanzania. Tusome historia. Tusikie kila sauti. Tuamini maridhiano. Hapo ndipo siasa inakuwa na maana. Haya ni maoni yangu binafsi โ€” nayawajibikia kikamilifu kwa kuwa nina haki ya kuwa nayo. Uwe na jioni njema.
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š tweet media
Indonesia
40
5
29
12K
Joffrey Baratheon, NDC
Joffrey Baratheon, NDC@Baratheonzeยท
Wafuasi wa Kasongo wanajua ndugu yao ni shujaa kumbe EU wanamtambua kama Mwanaharakati wa Ushoga. Nimelia sana, naanza kuelewa kwanini Ikungi kwao hauziki wala kukubarika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Joffrey Baratheon, NDC tweet media
Indonesia
53
17
36
9.5K
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTvยท
Salum Mwalimu: kabla ya kujiunga na CHADEMA nilikuwa naishi maisha mazuri, niliamua kuacha hayo na kujiunga na chama hiki kwa ajili ya kuwapigania watanzania.
Indonesia
93
8
208
35.9K