Mamaa Manka
34 posts

Mamaa Manka retweetledi

Leo ninakumbuka sana nyumbani kwetu Singida na ndugu zangu. Popote pale maisha yanapokupeleka, kamwe usisahau ulipotoka. #tbt



Tumeshapendekeza hivyo kwamba mtihani wa taifa utungwe kwa lugha ya Kisw na Kiingereza halafu mtahiniwa achague lugha anayotaka kutumia. Na hiyo ndiyo spirit ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014
Richard Mabala@MabalaMakengeza
@AustinLight2020 @JifunzeSwahili @expedia_team @DrOnesmoMushi1 @SwahiliBible @kitilam @Udadisi @HakiElimu angalau mtihani wa taifa utungwe kwa kiswahili pamoja na kwa kiingereza
Filipino

Hongereni kwa ndoa @mzeewakaliua Baba Mzungu na Mama Mzungu wa Tanzania @EsterMaongezi1

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Filipino

@SuluhuSamia aamin, aamin, yarabilaalamin inshaallah, MWENYEZI MUNGU, AZIDI KUKUPA AFYA NJEMA, NA MAISHA MAREFU YAILLAH, NA INSHAALLAH, MWENYEZI MUNGU, AKUZIDISHIE BUSARA NA HEKMA KATIKA UTENDAJI WA KAZI ZAKO.
Indonesia

@SuluhuSamia 🙏,,, piga kazi mama, tanzania yetu izidi kusonga mbele.
Indonesia

Nawakumbusha walimwengu kwamba SAMIA SULUHU HASSAN ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mkuu wa Nchi, Dola na Serikali; Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Taifa; Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri na Mwenyekiti wa Chama Tawala - Chama Cha Mapinduzi #CCM

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia










