Austin🇮🇹

15.8K posts

Austin🇮🇹 banner
Austin🇮🇹

Austin🇮🇹

@AustinLight2020

Mtanganyika

Italy Katılım Mart 2013
763 Takip Edilen536 Takipçiler
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Uchumi Lugete Mussa Lugete amesema maandamano yaliyotokea Oktoba 29 mwaka huu yanapoteza sifa ya kuwa maandamano na kugeuka kuwa vurugu kutokana na kile alichosema kuwa hakuna haki inayodaiwa kwa kuvunja sheria Akizungumza na Jambo TV leo, Alhamisi Novemba 27.2025, Lugete amehoji sababu zilizopelekea 'waandamanaji' hao kupelekea kuchoma na kufanya uharibifu wa mali za umma na binafsi nk, akielekeza kuwa hilo linadhihirisha kuwa kuna watu sio wazalendo kwa Taifa lao
Filipino
52
5
50
12.8K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: “Wanawaambia chomeni nchi yenu, chomeni barabara, chomeni na hospitali. Mkishamaliza kuchoma hospitali anaugua mtoto wako, hospitali ilishachomwa moto, -yeye na watoto wake wako na hospitali palepale pua na mdomo huko ughaibuni walipo, wamejipa haki wao ndio wapenda Tanzania, mpenda Tanzania gani anayeweza anayeweza kukuambia uichome Tanzania? Mnajua uraia wao? Kiswahili ndicho kinawafanya mseme kwasababu wanaandika kiswahili kwamba ni Watanzania? Wengine wamehifadhiwa ma tunajua, wengine juzijuzi tu walikuwa masikini wakiomba na vocha na hela ya nauli, sasa hivi wameshakuwa matajiri wa kutunza vijana wa kuandika mtandaoni, wametoa wapi hizo? Na yule aliyewapa ana masilahi gani na Tanzania? Na yule aliyewapa atarejeshaje hizo fedha? Wote wale, wote wale, mkichoma zaidi nchi yenu wao ndio wanalipwa Zaidi, wale wanaowalipa wana masilahi gani na Tanzania?”, -Dkt. Nchemba. Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa wilaya ya Ubungo, Mbezi Luis mkoani Dar es Salaam siku ya Jumatatu wakati wa ziara yake mkoani humo.
Filipino
72
4
28
10.6K
Innocent Parsalaw
Innocent Parsalaw@IParasalaw·
@Wakazi Shida yenu kubwa ninyi wanademokrasia wenye mtizamo wa kimagharibi na dhana yenu ya kuwa demokrasia ni kama kiatu cha size moja kwa wote (one size fits all), mtu akiwachunguza ni ama hamna weledi juu ya demokrasia au ni medictator. @CNNAfrica wamekuja na yao, sasa wamejibiwa.
Indonesia
1
0
2
333
Edwin Odemba
Edwin Odemba@chiefodemba·
Faris Buruhani akizoom VAR yake, kuhusu kauli yake ya “Tukiwapoteza Polisi Msiwatafute”
Indonesia
105
338
1.2K
105K
Austin🇮🇹
Austin🇮🇹@AustinLight2020·
@SGahamanyi @neckae @tompaocaya You are not a Tanzanian so you cannot understand the pain we are going through, you cannot understand the loss of our brothers, you cannot understand our people being kidnapped and killed by the government so shut your mouth you idiot
English
0
0
0
4
Simon Pierre Gahamanyi
Simon Pierre Gahamanyi@SGahamanyi·
@neckae @tompaocaya You are just joking! Not only were manifestations funded, they were planned and organized to the point that even the killings were party of the same plan!
English
3
0
2
170
Scorpion
Scorpion@__ez01·
WENJE, "vurugu zilizotokea siku ya 29 zimepelekea uwaribifu wa miundombinu ya umma na mali za wananchi,pamoja na upotezaji wa ajira".
63
22
127
20.2K
Austin🇮🇹
Austin🇮🇹@AustinLight2020·
@PMadeleka huyu dickhead hajui hata sheria za nchi zinasemaje yet anachambua siasa asamehewe tu, aendelee kula pesa ya Abdul.
Indonesia
0
0
0
51
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Ibara ya 74(12) ya KATIBA ya Tanzania INAPIGA MARUFUKU matokeo ya UCHAGUZI WA RAIS KUPINGWA MAHAKAMANI. Sasa hao “WAGOMBEA URAIS” wangepingaje “USHINDI” wa Rais SAMIA?😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
59
36
310
13.6K
Austin🇮🇹 retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Tarehe 29 Oktoba 2025 ikiendelea KUCHUKULIWA KWA MZAHA kwa lengo la KUFICHA UKWELI kwa MASLAHI ya watu wachache, basi Taifa litapitia DHIKI KUU kwa MIAKA 82. UKWELI siyo MALI BINAFSI ya KIKUNDI FULANI CHA WATU.
Peter Madeleka tweet media
Filipino
38
75
456
22.4K
Austin🇮🇹 retweetledi
Rahuuuum
Rahuuuum@RahmaMwita·
Tanzania itapata HAKI nayasema haya katika Jina La Yesu kristo. 🙏🏾
Rahuuuum tweet media
Filipino
205
326
1.9K
54.4K
Hancy Machemba
Hancy Machemba@hancymachemba·
Kama taifa tunapaswa pia kutafakari ni kwann majirani wanatushabikia sana kwa sasa kuliko wakati wowote? Kwann majirani zetu wapo tayari kutupa msaada wowote ili kuhakikisha kimewaka? Kwann majirani wameibeba vita yetu ya kupambania HAKI kama yao? WANATUPENDA SANA?
Indonesia
659
57
332
496.4K
Austin🇮🇹 retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨BREAKING NEWS‼️ #EnforcedDisappearances #Tanzania Murderous cabal of @SuluhuSamia has abducted medical staff of Mwananyamala mortuary and they are been held and tortured by the death squad to cover up the massacre! @commonwealthsec @SGCommonwealth @LAZARUSCHAKWERA what the hell? The mediating team is sleeping soundly in a five star hotel while courageous health workers are torturef in order to cover up the massacre!? @UnitedNationsTZ @volker_turk @OHCHR_EARO @WGEID @antonioguterres @UN @AmnestyEARO @HRF @hrw @SFRCdems @SenateForeign @StateDRL @FCDOGovUK We urgently need an internatuonal team on the ground and halt any financing of this illegitimate violent govt #SamiaMustGo #TanzaniaMassacre Hivi @jwtztaarifa mnataka tuamini kuwa tuna jeshi na tuko salama kwa haki hii? Na nyie @association_mat hebu ingilieni kati! Tangazeni mgomo wasipoachiwa wenzenu! Na mgomo huu uanze mara moja! Hawa wahuni kwani wote wakiumwa na familia zao si zinakuja kwenu kutibiwa? Hakikisheni wanaelewa kuwa hawaishi in a bubble! Msiruhusu huu ufedhuli! Utekaji komesheni @tanpol 🚮
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
108
1.9K
5.2K
251.7K
Austin🇮🇹 retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Sijui ilikuwaje tukaruhusu ikulu ikaliwe na mtu mshenzi kiasi hiki😡.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
13
98
533
16.8K
Austin🇮🇹 retweetledi
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Wakazi anaongea facts alindwe
Română
51
173
2K
36.6K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya ziwa Victoria na Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje, amesema kuwa uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Tanzania uliendeshwa kwa utulivu mkubwa katika maeneo mengi, akibainisha kuwa wagombea wote 17 wa Urais hawakuwahi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais ambapo Dkt. Samia Suluhu Hassan alishinda, wala kudai kuwa kulikuwa na wizi wa kura- jambo analoliona kama hoja muhimu katika mjadala unaoendelea kuhusu uhalali wa matokeo na matukio yaliyofuata. Akizungumza katika mahojiano maalumu na TV47 nchini Kenya, Wenje ambaye kwa sasa ni kada wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameeleza kuwa kati ya vyama 18 vilivyoshiriki uchaguzi, vyama 17 vilikuwa na wagombea wa Urais ambao hakua yeyote kati yao aliyewasilisha malalamiko ya kupinga matokeo kwa tume wala mahakamani. Amesisitiza kuwa hoja ya msingi katika kuelewa kilichotokea nchini ni kutenganisha jambo la maandamano na utaratibu wa upigaji kura, kwani kati ya 90% na 95% ya vituo vya kupigia kura-zoezi la kupiga kura lilikwenda vyema. Amebainisha kuwa changamoto zilijitokeza katika maeneo machache kama Dar es Salaam, Arusha na Mwanza, lakini kwa ujumla mchakato wa kupiga kura ulikuwa shwari. Wenje ametumia nafasi hiyo kutuma pole kwa familia za Watanzania na Wakenya waliopoteza ndugu au kujeruhiwa katika matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi, akisema kuwa ni muhimu mataifa ya Afrika Mashariki kuwekeza katika misingi ya amani na utatuzi wa migogoro kwa njia ya majadiliano.
Indonesia
141
15
149
33.3K
Austin🇮🇹 retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Kimewaka tayari!!! Evidence of Mass Graves; Satelite verified.
English
30
283
1.2K
19.1K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Wakili Peter Madeleka, amesema anaiamini kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyoeleza kuwa vurugu za Oktoba 29 hazikuhusisha vijana wa Tanzania, akisisitiza kuwa kauli hiyo haiwezi kupuuzwa na inapaswa kuwa chanzo cha uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama. Akizungumza na Jambo TV, Madeleka amesema kuwa wakati baadhi ya watu wanafafanua tukio hilo kama maandamano na wengine kama vurugu, kauli ya Rais imeweka wazi kuwa matukio hayo yalifanywa na baadhi ya watu kutoka nje ya nchi waliovuka mpaka na kuingia Tanzania kwa lengo la kuhatarisha usalama wa taifa. Amesema anamwamini Rais Samia kwa sababu kama mkuu wa nchi anazo taarifa na vyanzo vya uhakika, na endapo taarifa hizo zinaonesha kuwa walioanzisha vurugu si Watanzania basi ni lazima kuwe na hatua za dharura dhidi ya vyombo vinavyohusika na ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani. Madeleka amesema hatua ya Rais kuomba Bunge lisimame na kuwaombea dua waliopoteza maisha inaonesha uungwana na kuheshimu utu wa binadamu, lakini bado inalazimu kuwe na uwajibikaji ili kufahamu namna watu hao walivyoweza kuvuka mpaka na kuingia kwenye eneo la tukio bila kudhibitiwa.
Indonesia
61
22
169
17.8K
Larry Madowo
Larry Madowo@LarryMadowo·
BREAKING: Tanzanian President Samia Suluhu Hassan claims protesters were paid to "burn the country" as she launches commission of inquiry into post-election violence
English
1K
1.3K
5.3K
716.4K