Sabitlenmiş Tweet
ArikooMarge
29.5K posts

ArikooMarge
@Marge_DTM
Experiencing Life
Beverly Hills😁 Katılım Şubat 2010
1.9K Takip Edilen9.6K Takipçiler
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi

Last week marked one year since @TunduALissu was arbitrarily detained for calling for democratic reform in Tanzania. We will continue to seek international pressure until he is released. The Hassan regime should be in no doubt: this will not be forgotten.
English
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi

Bwana Chalamila, Mimi nimehudumu kwenye kamati ya Nishati na madini ya bunge kwa miaka mitano.
Najua utaratibu wa uagizaji wa mafuta kama ninavyojua kiganja cha mkono wangu.
BPS imeundwa nikiwa mbunge nimeshiriki .
Mnatakiwa kujibu maswali rahisi nyie watetezi mafisadi na Cartels.
1. Mafuta yanatumia siku ngapi kuanzia kununua mpaka yanafika Dar?
2. Mgogoro umeanza tarehe 28/2/2026, mafuta hutumia siku 50 mpaka 60 kufika bandari yetu ya Dar, hivyo mafuta yaliyonunuliwa baada ya mgogoro kuanza na bei kuanza bado hayajaingia nchini.
Kwanini mafuta yaliyonunuliwa na kuingia Nchini kwa bei ya chini yauzwe kwa bei ya juu?
3. BPS wananunua mafuta kwa wingi na mara zote yanatumika miezi mitatu au minne kama alivyosema katibu mkuu wa wizara… imekuaje mafuta ya kwenye reserve yapande bei?
4. Kuna tozo na kodi kwenye lita moja ya mafuta zaidi ya 18 au 31% yaani kila sh 100 anayotoa Mtanzania kununua mafuta anakatwa sh 31, achilia mbali 4% ya logistics ikiwemo Demurrage ambayo ni uzembe unasababisha Watanzania kubeba mzigo huu.
5. Muhimu sana tenda ilitangazwa lini na wapi? Nani na nani walishindana? Nani alishinda na kwa bei ipi? Wewe umesema mama ndio aliwambia TPDC waagize!!! Hii ni sawa na Richmond nyingine.. sheria inasemaje?
Sisi tunasema:
1. Mafuta yaliyopo hayastahili kupanda bei kwasababu yaliagizwa na kuingia kwa bei ya chini.
2. Mzigo wa kodi na tozo uondoke kwasababu ni nyingi na kubwa mno kuliko Nchi zote Afrika mashariki, ndio maana hata Nchi zisizo na bandari zinauza mafuta chini kuliko sisi.
3. Kuendelea kukandamiza Watanzania na dhuluma hii ya wazi kutaleta balaa kubwa kwenye maisha hasa ya mtu wa chini.
Maana mafuta yakipanda kila kitu kinapanda..
Bwana Chalamila na yule kijana jifunzeni kwanza mambo haya.
Indonesia
ArikooMarge retweetledi

Nilijua tuko kwenye mjadala. Umeanza lugha za kejeli na kudogosha. Mimi binafsi ni “candidate” wa upadre. Ndio maana nimekuwa na uvumilivu kukuelewesha. Miongoni mwa wanandoa,sio wote watakuwa mashuhuda stahiki na wa uhakika wa wito/sakramenti. Naishia hapa,lugha yako si nzuri.
Rugata@rugata0005
@kanagana_gete Ushahidi wa kulazimishwa kuwa mapadre au kutokuoa? kama ni ushahidi wa kutokuoa hili swali sikujibu, ni la kitoto, kama uko curious, nakupa homework nenda parokiani mtafute baba paroko muulize hili swali.
Filipino
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi

MWACHIENI MH @TunduALissu hana hatia acheni kibri cha madaraka ya mtutu wa bunduki mwachieni akapate matibu asitokee mpumbavu akasema tunalialia No Tunataka haki Kwa Mwenyekiti Wetu Maelekezo Makamo Mwenyekiti Mh @HecheJohn Vijana Wa Kitanzania Wenye Akili timamu tunayafanyiakaz

Indonesia
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi

Today 9 marks one year since Tundu Lissu’s unjustly arrest—part of a reflection of a dangerous erosion of freedoms in #Tanzania.
Today, we stand with Tundu Lissu, WLC member, and with all Tanzanians who continue to demand dignity, accountability, and the right to speak freely.
#FreeTunduLissu
English
ArikooMarge retweetledi

WORLD LIBERTY CONGRESS@WLCongress
Today 9 marks one year since Tundu Lissu’s unjustly arrest—part of a reflection of a dangerous erosion of freedoms in #Tanzania. Today, we stand with Tundu Lissu, WLC member, and with all Tanzanians who continue to demand dignity, accountability, and the right to speak freely. #FreeTunduLissu
QME
ArikooMarge retweetledi
ArikooMarge retweetledi

So these Pan-African “geopolitical experts” want us to turn into medieval Middle Eastern countries, running around burning American and Israeli flags and shouting “dèâth to America” like some kind of strategy?
How do you claim to be a geopolitical expert yet fail to understand the basics? Everyone, even the strongest countries, needs allies. Instead of pushing for African leaders to learn how to use our resources as leverage for better alliances, you are busy buttering up weaker countries that do not believe in human rights. Countries with supreme leaders instead of people’s leaders. What benefit would that be to us in Africa? Or is Pan-Africanism another way to promote dictatorship?
Geopolitics is not about vibes, anger, or historical grudges. It is about interests, power, and survival. If you are not one of the dominant powers, you align, you negotiate, and you extract value. That is how the world works.
Japan after Pearl Harbor and the atomic bombings of Hiroshima and Nagasaki, they had every reason to stay angry at America. They could have chosen to permanently join the dêáth to America chorus and no one will blame them but they didn’t. They aligned, rebuilt, and became one of the most powerful economies in the world.
Imagine if they had people like you advising them and stayed angry at America and refused to build alliances with the West. Where would they be today?
So what exactly is the plan here? Is the goal development or to join the “dêâth to America” chorus for some kind of emotional satisfaction or revenge?
Because we cannot scream “dêâth to America” and expect investment, technology transfer, security cooperation, or global influence to magically follow. That is not how power works. Even Russia and China, which are America’s rivals, will avoid you or use you and abandon you, like they are doing to Iran today.
Someone needs to call these people to order, because what the puck.
English
ArikooMarge retweetledi

AS TANGANYIKAN'S WE DEMAND THE FULL TRUTH
1. Where are the persons who were abducted, and who is responsible for their abduction?
2.Regarding those who were killed on October 29, 2025, whose bodies were allegedly disposed of or disappeared, and whose relatives were forced to bury symbolic items such as shoes and clothing in place of their remains where are their bodies?
3. Who committed the acts leading to the mass killings of October 29, 2025, and how will those responsible be held accountable?
4. What was the role and contribution of the Electoral Commission, the Police Service, and the Office of the Registrar of Political Parties in causing democratic unrest, inciting division and hatred, and contributing to the killings of October 29, 2025?
5.What has been the impact of the suppression of fundamental freedoms including freedom of expression, freedom of association, academic freedom, and economic rights, particularly the right of citizens to own and benefit from natural resources?
6. To what extent, and through what mechanisms, will justice be delivered to citizens whose property was destroyed both by demonstrators and by state agencies, including unlawful acts such as the burning and destruction of youth-owned economic assets by state authorities?
Justice, truth, and accountability are essential for national healing.
BAK MWABUKUSI.

English

I was monitoring the situation😀
Nimelala saa 10😁
NASA@NASA
@RyanRosenblatt Everyone who watched the mission with us is the coolest!
English
ArikooMarge retweetledi

@RyanRosenblatt Everyone who watched the mission with us is the coolest!
English
ArikooMarge retweetledi

ArikooMarge retweetledi














