
@MagufuliJP Nikweli kabisa ....waige mfano was amani ya Tanzania.
Filipino
Mh: Magembe Ebeneza.
26 posts

@MhMagembe


Punde nimezungumza na Mhe. Kenyatta kuhusu shambulizi la Jijini Nairobi,zaidi ya watu 14 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa.Pole sana Mhe. Rais na pole sana wananchi wa Kenya.Tupo nanyi katika kipindi hiki cha majonzi. Nawaombea Marehemu wote walale mahali pema peponi, Amina.













@HKigwangalla Asante sana mheshimu. Nashukuru Mungu upo humu napata nafasi ya kukueleza changamoto tunazokutananazo ili kuboresha utalii wetu. Ila kiukweli huduma nyingine zipo safi na nafuu sana mtu yoyote anaweza kumudu. Kuna mabadiliko nimeyaona na wazi napenda kupongeza wizara yako pia