Othorong'ong'o

7.3K posts

Othorong'ong'o

Othorong'ong'o

@MichaelObunde

Tanzanian🇹🇿 Luo Katılım Mart 2014
1.1K Takip Edilen227 Takipçiler
Bansho
Bansho@Bansho255·
@MwanzoTv We do not accept being dictated to from outside. Tanzania will continue cooperating with all nations based on mutual respect and shared interests. 🇹🇿
English
1
0
0
19
MwanzoTV
MwanzoTV@MwanzoTv·
#BREAKING: U.S. SENATE BILL THREATENS TANZANIA WITH SANCTIONS OVER RIGHTS ABUSES The United States Senate has introduced a bipartisan bill that could redefine relations with Tanzania, following allegations of political repression and violent crackdowns during the country’s October 2025 elections. The legislation, co‑sponsored by Senator Jeanne Shaheen (D‑NH) and Senator Ted Cruz (R‑TX), calls for a sweeping reassessment of America’s diplomatic, security, and economic ties with Tanzania. It comes after reports of protestors being brutally suppressed, hospitals raided, and internet services shut down during the polls. Shaheen said the measure underscores Washington’s obligation to defend democratic principles and human rights, while also countering China’s growing influence in East Africa. Cruz accused Tanzanian authorities of orchestrating religious persecution and manipulating ballots, warning that the U.S. cannot overlook such abuses. If enacted, the bill would suspend aid and trade support until reforms are certified, impose sanctions on officials linked to violations, and block Tanzania’s access to Millennium Challenge Corporation funding. Read More: mwanzotv.com/u-s-senators-d…
MwanzoTV tweet media
English
10
31
95
2K
Acholi goddd
Acholi goddd@sk_bongomin93·
I will keep posting pretty luo babes here until y'all change your narrative about our women 🥹😍
English
67
26
466
29.7K
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Kama Tanga Refinery itamilikiwa na Mzee Dangote kwa 50%, Serikali za Afrika Mashariki kwa 25% na Wananchi wa nchi za @jumuiya kwa 25% maana yake ni kwamba kila mwananchi awe na haki ya hisa 1 sawa na usd 12.5 ( shs 30,000). Inaweza kuwekwa sokoni EAC kote a Tanga Refinery Bond!
Filipino
42
41
400
26.3K
okello ..
okello ..@visidady·
@LarryMadowo @apochieng Luo is not his first language Nini....nathagoraa na ok nathagara...how luo in Tz na Kenya n Tofauti?
Filipino
1
0
0
969
Larry Madowo
Larry Madowo@LarryMadowo·
Andrew Ochieng’ could not find Luo books to teach his daughter the language so he wrote them “Wapuonjre Dholuo.” So proud of him for doing this for the culture. Inyalo nyiewo ka in Kenya kata loka. Nyithindi ong’eyo Dholuo?
English
118
850
3.5K
187K
Othorong'ong'o
Othorong'ong'o@MichaelObunde·
@fbuyobe @EsirEid Deposited ni mshabaha sio msuya sasa endelea kudanganya vinyangarika kumbuka tu njia ya mwongo ni fupi kama njia za kariakoo
Indonesia
0
0
6
632
Osei Tutu
Osei Tutu@UmeingiaTarime·
@MwananchiNews Wajaluo akina Marando waliishia wapi? Nadhani ccm wampiga stroke. Hawa Odero na wenje ni wajaluo wajinga kuwahi kutokea nchi hi, hawa warudishwe Uganda . Nanai anawapa mic 🎤?
Indonesia
1
0
1
228
Mwananchi Newspapers
Mwananchi Newspapers@MwananchiNews·
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, ambaye sasa ni kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ezekiah Wenje, amesema mazungumzo ndiyo njia itakayoliwezesha Taifa kutoka kwenye mikwamo ya kisiasa iliyopo. Amesema kiongozi yeyote wa kisiasa anayekataa maridhiano hana mapenzi na Taifa. Wenje amesema hayo leo, Mei 16, 2026, alipozungumza katika moja ya majopo wakati wa Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu lililokuwa na kaulimbiu ya “Never Again”.
Indonesia
34
3
33
10.2K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Uwanja wa Ndege wa Mwanza kujengwa wa kisasa na kuwa wa kimataifa. 🔥🔥🔥
Polski
7
15
106
1.9K
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
Rais wa Kenya, William Ruto amesema Bandari ya Tanga bado inaonekana kuwa eneo sahihi kwa mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Afrika Mashariki kutokana na ukaribu wake na mradi wa bomba la mafuta wa EACOP. Akizungumza katika mkutano wa Africa Forward Summit jijini Nairobi, Ruto amesema uamuzi wa mwisho kuhusu eneo la mradi huo utabaki kwa wawekezaji wakiongozwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote. Ruto alisema mradi huo wenye thamani ya kati ya dola bilioni 16 hadi 20 unalenga kuimarisha usalama wa nishati kwa Tanzania, Uganda na Kenya na kupunguza utegemezi wa mafuta kutoka nje. Aidha alisema serikali za Afrika Mashariki zinapanga kuwekeza moja kwa moja katika mradi huo pamoja na sekta binafsi ili kuhakikisha manufaa ya kiuchumi yanabaki ndani ya ukanda huo.
Filipino
5
1
37
3.7K
Ng'engeri
Ng'engeri@ensungwe_·
Bado Tanzania tunayo nafasi ya kushinda hii vita maana tuna mahusiano mazuri na Aliko Dangote . (2) Mwekezaji hawezi kukubali kiwanda kijengwe Mombasa alafu aingie gharama za kusafirisha. TISS pambaneni na hili hadi kiwanda kijengwe, hilo litakuwa moja ya urathi wa SSH
CEO East Africa Magazine@CEOEastAfrica

Dangote to Construct $17B Oil Refinery in Kenya, Drops Tanzania Plans Nigerian billionaire Aliko Dangote is shifting plans for a mega East African oil refinery to Kenya’s port city of Mombasa, abandoning earlier discussions centred on Tanzania’s Tanga port. Read the full story: ceo.co.ug/dangote-to-con…

Indonesia
1
0
0
142
Ng'engeri
Ng'engeri@ensungwe_·
@ReutersAfrica Bado Tanzania tunayo nafasi ya kushinda hii vita maana tuna mahusiano mazuri na Aliko Dangote . (2) Mwekezaji hawezi kukubali kiwanda kijengwe Mombasa alafu aingie gharama za kusafirisha.
Indonesia
1
0
0
51
Reuters Africa
Reuters Africa@ReutersAfrica·
Nigerian billionaire Aliko Dangote is looking at Kenya as the site of a 650,000-barrel-a-day oil refinery that he intends to build in East Africa, the Financial Times reported on Sunday, citing an interview with him. reuters.com/world/africa/a…
English
132
1.1K
3.1K
308K
Othorong'ong'o
Othorong'ong'o@MichaelObunde·
@VungaEl74 Dangote anaijua Tanzania aliwekeza kiwanda cha saruji , changamoto alizokutana nazo anazijua mwenyewe
Indonesia
0
0
2
103
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Hili dili la DANGOTE hatupaswi kulikosa kwa namna yoyote maana tutapata experience ya uzalishaji wa mafuta serikali hapa ipiganie hili dili kwa namna yoyote Ile hata Rais ruto atafutwe na tufanye nae mazungumzo pamoja na DANGOTE. DANGOTE nazani kunawasi wasi amaupata kwetu siku Ile ya ziara ya ruto, Ruto hapa lazima kichwa kimuume kabisa maana akisema akubali Ije bongo wakenya wata mulaumu ila Tanzania bado tuna nafasi kwa hili Hili dili ni kwaa jili ya Tanzania tulipiganie
Vunga tweet media
Filipino
32
10
106
9.1K
Ole King’oso
Ole King’oso@KingosoC·
Issue yoyote ya kuiweka Tanzania 🇹🇿 nje ya makubaliano itakula kwao. Maana ili Refinery iwe Mombasa lazima kua tena na bomba la mafuta ghafi kutoka Tanga kwenda Mombasa ili kulisha hiyo refinery. Lakini pia Refinery ikiwa Tanga, lazima kuwe na bomba ya mafuta yaliyosafishwa toka Tanga kwenda Mombasa. Yeyote anayeiweka Tanzania mbali na majadiliano hajui anachofanya.
Indonesia
3
0
12
2.2K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
“Napendelea zaidi Mombasa kwa ajili ya kuanzisha kiwanda cha mafuta kwa sababu Mombasa ina bandari kubwa na yenye kina kirefu. Kenya pia ina matumizi makubwa na uchumi mkubwa zaidi. Mpira uko mikononi mwa Ruto, chochote atakachoamua ndicho nitakachofanya.” Bilionea Aliko Dangote
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
80
131
1.9K
38.5K
Othorong'ong'o
Othorong'ong'o@MichaelObunde·
@14Menengai @Jasiri_D30 Bro when you Kenyans were complaining about Gen Zs being abducted in Subaru vehicles, did that mean those young people were being abducted by Kenyans or by the Government of Kenya?
English
1
0
0
37
Jose Wainaina
Jose Wainaina@14Menengai·
@MichaelObunde @Jasiri_D30 Kenyans who have traveled to both Uganda and Tanzania complain how they are treated in Bongo. No complains from visitors to Uganda
English
2
0
1
88
June 25th
June 25th@Jasiri_D30·
Hii Nairobi uko kwa jam, you buy a hat from a Tanzanian, bananas from a Burundian, then go to your Rwandese barber and finally drive home to be welcomed by your Ugandan maid ... Jumuiya kweli.
English
115
1.4K
6.7K
120.9K
Jose Wainaina
Jose Wainaina@14Menengai·
@Jasiri_D30 Kenyans are too nice on Tanzanians and the way they hate Kenyans.
English
1
0
0
346
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Wakenya wanajua rais ni mtumishi wa umma sio Mfalme wala Mtume.. Wakenya wana katiba na sheria bora na wanaziheshimu, wanajua kukosoa serikali au kumkosoa rais sio kosa na sio kosa la kufanya utekwe , kuuwawa au kupotezwa. Kama kiongozi anasema wazi kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake!!! Vipi mama kijijini ambae yeye hana kamba wala urefu wa kula? Watanzania tusikubali.
Indonesia
40
230
946
23.8K
MustakhabaliWaTaifa
MustakhabaliWaTaifa@KimaniN75295726·
@atienomyname @HecheJohn Naona husomi vitu vya maana, UNASOMA DIMBA TU! Soma Afrobarometer Reports zinazofadhiliwa na hata EU , World Bank etc uone Tanzania INAONGOZA KWA GOOD GOVERNANCE IN EASTERN AFRICA REGION FOR 6 YEARS MFULULIZO!
Filipino
2
0
0
35