Mmari Jr. retweetledi

Mmari Jr.
493 posts

@MmariJr1
football












Neno la msingi hapa ni hii aliloambiwa Max wa Jamii Forum.. “ Tunaweza kukupoteza watu watapiga kelele Mwezi mmoja , miwili , mitatu na watasahau “ Hii neno limesabishwa na tabia mbaya ya wananchi ktk kupuuza kuzingatia masuala ya haki. Tuna umma wa ajabu sana unaojua kualamu lakini haujui kuchukua hatua ktk mambo muhimu. Umma una shida kubwa kuliko watesaji na wauwaji. Nani ataweza kufanya mwenyewe pasipo ushirika mkuu ktk haki ? Pumbavu sana kizazi chetu.





















