Bm__classic shoes👟

9.7K posts

Bm__classic shoes👟 banner
Bm__classic shoes👟

Bm__classic shoes👟

@MmasiBruno

Nadili na mambo ya viatu vya kike na kiume 👉Mikoan nafanya Delivery 👉Phone number 0623721907 /0767352949

Dar es Salaam,kkoo 🇹🇿 Katılım Temmuz 2019
2.8K Takip Edilen1.4K Takipçiler
Dr Kwala Liwengo
Dr Kwala Liwengo@MankindUwezo·
@RabiaDamari Na mtazoea kupishana na risasi maana mmeamua kusikiliza saut ya malaya mange
Filipino
48
1
21
51.9K
Aunt Rasta..♈
Aunt Rasta..♈@RabiaDamari·
Is this going to be our New Life, !?? Today Sinza Mori.
Aunt Rasta..♈ tweet media
English
82
151
1.5K
166.3K
Masaki
Masaki@selemasaki·
Style za kidigital zaidi yani 🙌
Türkçe
20
50
415
130.9K
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
Nimetumia hizi dawa lakini mabadiliko naona ni madogo sana na dose nimemaliza ilikuwa ya week mbili, Naombeni msaada hapa inabidi nifanyaje ili niwe katika hali nzuri maana bega limeanza kuuma nalo.. 🥲🥲
HUNTER tweet mediaHUNTER tweet media
Filipino
6
8
13
1.9K
Bm__classic shoes👟
Bm__classic shoes👟@MmasiBruno·
@cyancute Milion 100+unafanya masihara kauza albam ngapi kapata 100 nyimbo zake zenyew hazipat hata show ya ndan
Indonesia
0
0
1
1.2K
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
Kwanini nay wamitego ameamia ccm 😭
Cyancute ⭐ tweet media
Polski
35
11
430
81.8K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Ukiweza kusolve hili swali nakupunguzia elfu tano kwa perfume yeyote utakayoichukua.
John kalage 🇹🇿 tweet media
Indonesia
120
36
802
142.6K
Movie Plug🎬
Movie Plug🎬@MoviePlugHQ·
Dah, wakuu nimeisoma hii nikaona sio mbaya niwasogezee.. Watoto wa buku 2 laana yenu ipo kikaangoni msipoangalia. Wengi mnazeeka kabla ya miaka 40, hii inaumiza sana. 🥲🥲💔💔🚮 Mnapenda sana mambo ya kikubwa Hadi kero.🙌 Fungua Uzi 🧵 weka maoni Yako familia.👇🏿 1/4
Movie Plug🎬 tweet media
Indonesia
86
19
452
132.2K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
No one knows my struggle, they only see the trouble.😎
The mandevu tweet media
English
17
43
814
24.5K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Wakuu hiyo Coil Moja uzito wake huwa unafika Tani ngapi.?🤨
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
280
346
4.7K
495K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kutoka Mlandizi mpaka Kibaha kwa Mfipa kuna manyunyu tu ila kuanzia kibamba Chama mpk unakaribia Luguruni kuna wingu la hatari. Vipi uko kwenu kuna hali gani
Indonesia
40
13
326
16.5K
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
Juni 10, 2020, polisi wa Dubai kwa kushirikiana na FBI, walivamia chumba chake na kumtia nguvuni. Walipata Dola milioni 41 taslimu, Magari 13 ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 7, Simu 47, kompyuta 21, na data za wahasiriwa zaidi ya 100,000 Alipelekwa Marekani, akahukumiwa kifungo cha miaka 11 gerezani. Sasa yuko FCI Fort Dix, New Jersey, akisubiri kuachiliwa Agosti 6, 2029. Safari yake ya utajiri wa haraka ilimalizika kwenye kuta za gereza.
Alpha Index tweet media
Indonesia
25
5
98
34.1K
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
Ilikuwa ni usiku wa Juni 10, 2020, Dubai, wakati mji ulikuwa umetulia tuli. Taa za majumba ya kifahari zikivuta kama nyota, magari ya bei ghali yakipita polepole kwenye barabara za Sheikh Zayed Road, na upepo wa joto ukipuliza kutoka jangwani. Lakini katika chumba cha kifahari cha Palazzo Versace Hotel, kelele za milango kuvunjika zilisikika ghafla. Polisi wa Dubai waliingia kwa kasi, kwenda kumkamata mwamba Ramon Olorunwa Abbas, maarufu kama Hushpuppi. Kijana wa mtaa wa Oworonshoki huko Lagos, Nigeria, ambaye kila mtu alimuona ni “mfalme” wa Instagram, akiishi maisha ya kifahari na magari ya mamilioni, jezi za Gucci, na picha za ndege za binafsi. Lakini siku hiyo, maisha yake ya dhahabu yaligeuka kuwa chuma cha gereza cha Marekani. Thread 👇🏾
Alpha Index tweet media
Indonesia
36
102
1.3K
347.1K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Nikasome umeme wa magari sasa au mnanishauri vipi wakuu
Adventure-360 tweet media
Indonesia
122
53
965
93.4K