Sabitlenmiş Tweet

@IAMartin_ @SuluhuSamia @kitilam Maza kuna watu nyuma wanamng'ong'a kwakweli haiwezekan taarifa anazopewa ziwe matango kila siku
Indonesia
Mwidini_Z_Msang
110.8K posts

@DMsangii
|Mjumbe B Ardhi Wilaya 2014-2019|Spain & Madrid....Arsenal.


Rose mambo.? Samahani una umri gani.? Na level yako ya elimu.? Nataka kujua hilo halafu nikwambie kitu. Sawa ni wa njombe ila nataka kujua hivyo🤔.


Zanzibar naona wenzetu bei ya Mafuta haitishi sana kama ilivyo Tanganyika... Nafikiri Muungano unawanufaisha Zaidi ndugu zetu wa visiwani.




Tuseme mtu alikua na Stock kisiman 10,000ltrs aliyonunua kwa 2,500/= 25,000,000/= Bei imepanda anafaa anunue kwa 3,500/= Ili areplace hio lita 10,000 aliyokuwa nayo… Inafaa awe na 35,000,000/= Hio extra 10m anaipataje?? Au unataka afirisike afungesheli? Alafu wewe kesho utapata mafuta wapi?




Bring back TOT Bonanza



