
Uncle M.M ...🇨🇦🇨🇦🇯🇲🇮🇳🇰🇪🇲🇿🇱🇸
1.2K posts

Uncle M.M ...🇨🇦🇨🇦🇯🇲🇮🇳🇰🇪🇲🇿🇱🇸
@MsafiriTraver





HABARI MBAYA Huyu kijana anayeonekana kwenye hii picha akiwa amewashika Polisi mabega akijaribu kujikongoja anaitwa Emmanuel Bernard Msele, Mara ya mwisho alionekana katika video hii iliyopostiwa na BBC 29 October majira ya asubuhi maeneo ya ubungo Maji. Huyu ni kati ya watu Waliokamatwa siku hiyo asubuhi kabisa wakati maandamano yanaanza na kupakiwa kwenye gari hilo la Polisi tangu siku hiyo hajaonekana tena. November 6, 2025 Mwezi wa 11 familia yake ilipata taarifa kwamba ndugu yao yupo Hospital ya Mzena anatibiwa, walifika hapo na kuambiwa ni kweli alitibiwa hapo lakin baada ya kupata nafuu Polisi walimchukua na kuondoka nae. Ndugu zake wametafuta vituo vyote vya Polisi bila mafanikio. #FreeEmanuelMsele


















