
Mubah27
128 posts


@BracuszCadabra hivi simba walivuta zile Billions za azam walizokataa kipindi yupo barbra?
Slovenščina

✍️Kwa sababu bilioni 20 ndio Mzizi wa Haya mabilioni yanayomwagika sasa
Bilioni 20 ndio mpandisha thamani hiyo
Bilioni 20 ndio Imani ya makampuni ya kimataifa kuwekeza pale
Jambo la mwisho kwa duniani Vyanzo vikuu vya Mapato makubwa
TV RIGHTS
MDHAMINI MKUU
MAUZO YA JEZI
Mchizi chizi kichizi@mchizidamas
“Samahani watu biashara na mahesabu bila kunifokea hivi inakuaje Simba Sc wapate 20B kwa udhamini wa miaka 3 lakini hao hao Simba Sc wauze hisa 49% 20B for life” Mdau Dm
Indonesia

@ThabitSenior Shambolic and diabolic of barca defences gives us this one side final
English

Huhitaji VAR kwa offside ya vile, iko wazi
mkadimba jnr@Mkadimbajnr
The one who saw, saw it. If a VAR line were drawn on that Simba SC goal, tell me.
HT

Kocha la boli linajua safari ya Ubaya Ubwela ni Zanzibar 👊🏽
Wasafifm@wasafifm
Kocha wa Simba, Faldu Davis amesema kuwa mechi ya Marudiano ya Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Berkane Simba inatakiwa kushinda bila kujali watacheza kwenye kiwanja gani. “Tucheze Zanzibar, Benjamin Mkapa au hata hapa Berkane tunatakiwa kushinda na kuonesha ubaya ubwela” Kocha Faldu. #WasafiSports
हिन्दी

@Kapugiyo @Geoffrey87Lea @MichaelMwebe Sure with due respect kwa geoff ni hamkubali tu Messi nakumbuka after WC kikosi chake bora Messi hakuwepo i was like ni msimamo wake but ilienda mbali
Indonesia

@Geoffrey87Lea @MichaelMwebe Kwani unamchukia Messi? Check his numbers at PSG again
Indonesia

Leo alfajiri nimetazama mechi ya Inter Miami na Vancouver. Messi bado anaupiga mwingi wakati Luis Suarez na Alba unaona kabisa wanahitaji msaada wa mgongo. Choka mbaya. Sometimes genes nazo zinachangia.
365robo@365robo2
@MichaelMwebe Asipojitunza vizuri miaka 25 tu anaweza kuwa hoi kina Rooney walicheza match nyingi umri mdogo walivyofikisha miaka 25 plus Injury ikawa shida sana
Indonesia

@therealselorm How on the earth someone arrange a WC winner and gave 2 penalty to opponent unlikely to win a word cup how about martinez save? Are the french players told to miss a penalty let WC to be a WC bro
English

@SerengetiO @gharib_mzinga Kwahiyo keeper aliecheza mechi 3 za league akapata cleensheet zote 3/3
×100 nae pia awe kipa bora
Filipino

@gharib_mzinga Chukua: (14/21)×100 then chukua : (15/24) × 100. Utapata kipa Bora Nani.
Indonesia

@Master_plan88 wuchereria bancrofti naona wadau wanachanganya na microbilogy
Indonesia

@07banksog Inonga il est vraiment bon
Il a largement le niveau pour jouer en Europe
Français

@CloudsMediaLive Hizi habari zenu za kuokota kwenye mitandao zinawashusha sana clouds players kwa players hasa professional hawawez ongea upuuzi kama huo kwa wachezaji wengine wekeni source kama mnajiamin sio mnasema tu mahojiano mahojiano na nan?

Nyota wa Manchester City Doku amefanya mahojiano na kuulizwa ni yupi bora kwake kati ya Messi na Ronaldo
Reporter: Messi au Ronaldo?
Doku: “Kama mchezaji hajaonesha ubora wake EPL kwangu ni mchezaji wa kawaida ,CR7 ni Legend hapa England , Hispania , Italy na Ureno kwanini umlinganishe na mchezaji aliyefeli Ligue 1 ?”
“Kumlinganisha Ronaldo na Messi ni matusi kwa Ronaldo ,yule ni mchezaji mkubwa hakuna wakufika ubora wake”

Filipino

Freshlikeuuh- Dear Brian: youtu.be/GH2okFccESg?si… 🔥🔥 Jezoos cc @barcitybaby

YouTube
Conroe, TX 🇺🇸 Indonesia

@Kiokote03 Nadhani hakuna taarifa official kutoka kwa club kama wamemuuza sh . ngapi na hutasikia popote sio simba tu hata pacha wake yanga hawatangazi bei ya kuuzia hata siku moja
Indonesia

Kenya Super Weekend ndani ya AzamTV.
Leo Saa 9:00 Mchana, mabingwa watetezi Tusker FC watacheza dhidi Kariobang Sharks
Kesho Jumapili, itapigwa Mashemeji Derby ndani ya National Stadium, Gor Mahia dhidi ya AFC Leopards katika muda ule ule wa Saa 9:00 Mchana.
Michezo yote hii itaruka LIVE kupitia AzamSports3HD.
#AzamTVMAXApp @afcleopards_sc @official_gmfc @tuskerfc @ksharksfc

Indonesia









