Petermsaki
13.5K posts

Petermsaki
@Petermsaki941
C.e.o Ndichielectronics Company LTD Ndichi_Automotive Founder: Oppotanzania Undefeated Mind🇹🇿🇰🇪🇨🇳 🇦🇪 for Bussiness kindly dial https://t.co/xbCuhW0V9U
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2018
1.7K Takip Edilen5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

Huyu mwenye vyuma puani anaongea lugha gani?
GG@GIVENALITY
Mmarekani kutoka Chitoholi alikuwa na haya ya kusema🎤
Indonesia
Petermsaki retweetledi

GIRISHONI alijua akiongea kwa KUFOKA kama anaongea na watoto wake ndio CNN watagwaya.
Haya Kumbe YEYE GIRISHONI alitumiwa maswali akapotezea nafikiri hapo shida itakuwa LUGHA.
NAONA Larry nae kwenye hii taarifa ameona atumie kiswahili ili GIRISHONI AELEWE huenda LUGHA ni tatizo kwa GIRISHONI.
Jana anaongea kwa mbwembwe nyingi kumbe Limelaza mshale lugha haipandi.
TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia

@swahilitimes Hii ni danganya toto wenye haiba ya uwajibikaji tunawajua
Indonesia

@YerickoNyerereT @freemanmbowetz unapuyanga masta Fam alishapoteza reputation yake ana zero endorsement haina come back hiyo tena tafuta wakuwazungumzia ila sio madalali wa kisiasa
Filipino

Pichani ni Mh Freeman Mbowe akimkumbatia Godbless Lema. Mimi binafsi, Nitajitahidi angalau niwe na hata robo tu ya moyo wa Mh @freemanmbowetz katika maisha yangu…. Moyo wa kutowachukia wabaya wako, waliokuumiza, waliokuvunjia heshima, waliokutusi matusi ya nguoni. Haw nitawapa nafasi ya kuwashika mkono popote niwezapo!
Moyo kama huu wa Freeman Mbowe niliusikia na kuusoma kwa Papa wa Roma John Paulo wa pili aliyepigwa risasi katika jaribio la kuuawa mwaka 1981 na Bwana Ali Agca kwa misukumo ya kiimani.
Papa wa Roma kiongozi wa Kanisa Katoliki John Paul wa II, baada ya kupigwa risasi, alilazwa wodini kwa majuma kadhaa, na kisha baada ya kupona alikwenda gerezani alikokuwa amefungwa muuaji wake akakutana na akazungumza na Ali Agca ambae muda huo alikuwa jela kwa kufanya jaribio hilo la kumuua Papa huyu Mei 13 mwaka 1981 mjini Vatican Roma Italia.
Katika mshangao wa ulimwengu, Papa wa Roma alimsamehe na kumwachilia moyoni mwake na kumuombea msamaha kwa ulimwengu wa sheria. Kisa hiki ni kirefu na kina nadharia nyingi na maswali mengi yasiyo na majibu.
Hivi ndivyo leo Mh Mbowe anafanya, anamkumbatia na kucheka nae Bwana Godbless Lema mmoja ya genge la wahuni waliotembea nchi nzima wakimtusi na kumvua nguo zote Mh Mbowe, mmoja wa watu waliomtweza na kumfedhehesha kwa viwango ambavyo hata shetani mmiliki wa uovu aliviogopa. Lakini kwa Mbowe hilo ni sadaka kwa ulimwengu wa wema anasema kwa vitendo njooni kwangu enyi wa ovu nami nitawatakasa na kuwa wema. Nimfananishe na nani mtu huyu? Mbona mimi siwezi hata kushika kamba za viatu vyake?
Ninapata somo kubwa sana, nitajitahidi sehemu ya maisha yangu angalau nichote makuzi na maonyo ya Freeman Mbowe hata robo tu, na katika hili nimeanza, najitahidi kupokea na kuvumilia matusi na udhalilishaji wa mashabiki zangu mitandaoni nimejizuia sana kublock yeyote, nahisi nitaweza japo inahitaji moyo mkuu, pengine nikizeeka nitakanyag nyayo za mwalimu, baba na mzee wangu Freeman Mbowe.
Na Yericko Nyerere


Indonesia

@hancymachemba 😂😂😂kaka usifanye nikutoe kwenye kundi la wenye akili timamu,
kwa yanayoendelea kwetu hata tusiposhabikiwa na majirani but the law of nature mast operates iwe mvua iwe jua kwa amani au kwa upanga haki itapatikana tu, majirani has nothing to do with our country
Indonesia

@MelaninAliyah1 kauli ya raisi sio sheria mpaka hapo inaonyesha kua mhimili wa utaoji haki hauko huru na umewekwa makwapani hakukua na haja kuiweka hiyo kauli na haikua sehemu ya uchafuz wa 29
Indonesia

𝐌𝐀𝐊𝐎𝐒𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐒𝐔𝐃𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐕𝐈𝐃𝐄𝐎 𝐘𝐀 𝐂𝐍𝐍 𝐘𝐀 𝐋𝐀𝐑𝐑𝐘 𝐌𝐀𝐃𝐎𝐖𝐎
Larry hajaeleza tamko la Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu kuwaachia huru vijana waliokamatwa kufuatia vurugu zilizotokea tarehe 29 Oktoba.
Hajaeleza pia hatua ya Rais Samia kuhoji mbinu zilizotumika kuwadhibiti waliosababisha vurugu hizo, akisisitiza kuwa kulipaswa kuwepo na njia mbadala zilizo salama zaidi.
Vilevile hajaeleza maagizo ya Rais ya kuhakikisha uchunguzi wa haraka unafanyika ili kubaini chanzo cha vurugu hizo za Oktoba 29.
Ameeleza kuwa vijana waliingia barabarani kwa sababu uchaguzi haukuwa wa haki. Hoja hii haina ushahidi wa kutosha, kwani waliotajwa kuanzisha vurugu hawakuwa na mabango ya kueleza madai yao, na wengi wao walijikita zaidi kwenye vurugu badala ya kueleza malalamiko yao.
Taarifa ya uchunguzi wa CCN haiko sawia (balanced), kwa kuwa imetoa takwimu ambazo hazijathibitishwa kikamilifu. Kwa mfano, idadi ya vifo imedaiwa kupatikana kutoka kwa viongozi wa upinzani, lakini haijafafanuliwa ni kwa wakati gani au kwa utaratibu gani walizipata takwimu hizo.

Indonesia

@UhtredBebenberg @DrTaxs Kura hata kuhesabiwa hazikuhesabiwa. Zilitangazwa tu. Tulijribu kulinda kura tukashindwa. Tumekiri. Ni muhimu tuungane pamoja kupigania haki za watu.
Indonesia

Naungana na Msimamo huu madhubuti. Pamoja na wajumbe wengine wote kutokidhi vigezo vya UCHUNGUZI HURU lakini kuwemo kwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi @DrTaxs kwenye Tume ilhali JWTZ ni watuhumiwa ni UTANI wa hali ya juu kwa Watanzania waliouwawa, kujeruhiwa na kupoteza mali zao.
ACTWazalendo@ACTwazalendo
TAARIFA KWA UMMA Chama cha @ACTwazalendo kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais @SuluhuSamia kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Indonesia

@MiriamMkanaka Tanzania kuna the so called wasanii kioo cha jamii sijui wachekeshaji baadhi ni narrow minded they dont know even their role to the society yet they want to be influencers na wapate deals kuinfluence society🚮
English
Petermsaki retweetledi

@PMadeleka Utalipia maiti mpaka lini? pigania Reforms zipatikane acha uduwanzi
Filipino

@rollymsouth eee Mungu Baba na mimi nipe Rozi rozi sitawatambia watu wako
Indonesia

Huwezi kusikia hizi kauli kwa watoto waliotoka familia tajiri, masikini wakipata ndio huwa wanaona wasio na kazi ni wavivu
Latto 𝕏@Rydx_017
Diamond..
Indonesia

@VitusNkuna @ChademaTZ2 @HecheJohn @HildaNewton21 @IamLyenda @ItsTemba @AbroadTanzania imekuaje tena mbona mapema hivyo
Indonesia



















