Mkulima wa Kahawa
17.6K posts

Mkulima wa Kahawa
@ItsTemba
Baba|Mwenyekiti Vijana Kaskazini mwa🇹🇿 |MP-Rombo🤲🏾Mkatoliki&Mseminari|Mpiganaji Duniani&Mwandaa Makao Mema Mbinguni|Ardhi University X-President|Arsenal Fan
Rombo-Tarakea Katılım Temmuz 2015
1.8K Takip Edilen13.5K Takipçiler
Mkulima wa Kahawa retweetledi

Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki rasmi kama wakenya kwa uovu huo. Ndugu zetu wa Tanzania jueni hatujamtuma mtu! Tunasimama na haki, demokrasia na uhuru wa wananchi katika kanda hii yetu na hatuezi kuonekana kutambua uongozi wa ki imla.


Indonesia
Mkulima wa Kahawa retweetledi

@JamesMbowe4 James ndugu sikuizi umekua kituko na kichekesho machoni pa jamii!??
What happened with you chief??
Indonesia

Baba Mchungaji @revdrelionakimaro kwanza nianze kwa kukupa pole kwa taarifa hii ya Uzushi dhidi yako iliyotengenezwa na wanaharakati na kusambazwa kimkakati ili kuchafua Heshima yako na Heshima ya Kanisa.
.
Kwanza kabisa walioandaa Bango hili Hata hawajui Muundo wa Kanisa ndio maana kwenye hili Bango wameandika KKKT Dayosisi ya Kijitonyama. Kwenye Kanisa hatuna hiyo Dayosisi. Bali tuna KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Usharika wa kijitonyama.
.
Najua umetukanwa sana mtandaoni kwa jambo ambalo Hata wewe hulijui nachoweza kukuambia jipe moyo Mkuu kwani Muda ni mwalimu mzuri kuna Siku Watanzania watakuja kugundua mpango na nia Ovu ya wanaharakati ya kuzusha na kusambaza taarifa za Uongo ili kuchafua na kuharibu reputation za watu. Maadamu sasa wamefika kwa Mtumishi wa Mungu tena kwa jambo ambalo halina ukweli wowote uwe na Hakika Mungu hatanyamaza.


Indonesia

Aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania 2025 kupitia CHAUMMA na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA upande wa Zanzibar Salum Mwalimu amesema kuwa ana imani kubwa na Tume ya Jaji Chande inayochunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea Wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Salum amesisitiza kuwa Tume hiyo ni ya Watanzania wote kwani inakwenda kutibu majeraha yaliyokotea na amesisitiza umuhimu wa Maridhiano pale ambapo tume hiyo itakuwa imetoa majibu yake
Indonesia
Mkulima wa Kahawa retweetledi
Mkulima wa Kahawa retweetledi

"@TunduALissu's remains imprisoned for his advocacy for electoral reforms and civic freedoms in Tanzania. I call on Tanzanian authorities to drop their charges against Tundu and release him from detention immediately." -@SenatorShaheen
Tundu Antiphas Lissu@TunduALissu
Today marks one year since Tundu Lissu was arbitrarily detained and denied his fundamental rights. Please share this and visit freetundulissu365.com for more information. #FreeTunduLissu —Admin
English
Mkulima wa Kahawa retweetledi

Today marks one year since Tundu Lissu was arbitrarily detained and denied his fundamental rights. Please share this and visit freetundulissu365.com for more information.
#FreeTunduLissu
—Admin

English

Amenukuliwa akisema bei ya mafuta kwa lita 1 Marekani ni $ 800 sawa na Tsh 2,072,000 Ulaya ni €600 sawa na Tsh 1,814,940
Kwa mujibu wa takwimu za Aprili 6 -7 kutoka vyanzo vya kimataifa kama vile Global PetrolPrices na European Commission Oil Bulletin(fuel-prices.eu)



Indonesia

@FeliusFesto Hakuna kitu kama Mwenezi wa Chadema Kanda….hii nafasi kwneye chama chetu haipo
Indonesia

Mkulima wa Kahawa retweetledi

Machi 31,2026 niliongoza Viongozi na wanachama Kanda ya Pwani Kuungana na Makamu Mwenyekiti Taifa Mh. @hechejohn kushiriki ktk msiba wa Mbunge mstaafu wa Kilwa Kusini Seleman Bungara Bwege.
Bwege tutamkumbuka kwa misimamo yake imara ya Kupigania haki na Demokrasia nchini



Indonesia

@jwise017 Poverty mentality nchi hii n matokeo ya utawala wa Ujamaa na ccm yake…
Indonesia

Acheni hizi poverty mentality, watu wanapata pesa kwenye siasa wanakua wafanyabiashara kwa kuwekeza pesa zao. Akifa Sugu leo mtasema aliwaibia akajenga hoteli? Tuache haya mambo!!
Disclaimer: Wizi na Ufujaji wa pesa za umma haukubaliki
JAGUAR.@Jaguar_455
Ata nyerere mwenyewe akuwa na mjengo wa hotel ya namna hii.
Indonesia

@Sativa255 @Michael_Goodwil Mrema na wajinga wenzie wamejiaibisha sana machoni pa umma.
Mpaka kuuza account ya chama wapate pesa ya visungura🙌🏾🙌🏾
Indonesia

Akaunti ya X (Twitter) ya Chadema iliyokuwa ikijulikana kama ChademaTz. Akaunti hii, ambayo kwa muda mrefu imekuwa chombo muhimu cha mawasiliano na taarifa za Chama, imechukuliwa na kuuzwa kinyume na taratibu na maadili ya Chama.
Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa aliyekuwa Afisa wa Chadema, Abdulkarim Muro, alihusika kuiuza kwa John Marwa, ambaye sasa anaitumia kupitia chombo chake kingine cha habari cha Royal Television.
Kwa kuzingatia hali hii, tunatoa wito kwa Abdulkarim Muro na John Marwa kurejesha akaunti hiyo kwa Chama ndani ya muda wa siku tatu kuanzia leo.
Iwapo watalazimika kupuuza wito huu, tutatangaza hatua ya pili ya kuchukua.
REPOST 200

Indonesia











