Prasidius

578 posts

Prasidius banner
Prasidius

Prasidius

@PrasidiusNovat

Health Administrator Data processor Qualitative and Quantitative research skills

Tanzania Katılım Ekim 2021
169 Takip Edilen67 Takipçiler
Yoel
Yoel@623de4f5f8f048e·
@IKawahi @PrasidiusNovat @INFLUENCERjr Mwakajana, ilitokea ajali wilaya ya chemba Dodoma, watu walijeruhiwa na wengine walikufa vibaya sana, Madaktari na wafanyakazi wa hospital ya Halmashauri waliitwa karibia wote, Emergency ikajaa kukawa na shortage ya wahudumu wa Afya, Halafu katibu wa Afya haoni umuhimu wowote
Indonesia
1
0
0
15
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Nchi ngumu sana hiii
WHYMYCATISSAD tweet media
Filipino
77
39
612
24.9K
S t e w a r d
S t e w a r d@madeinmusoma·
Umeelewa nini kwenye hii picha ?
S t e w a r d tweet media
Filipino
110
45
558
60.1K
Yoel
Yoel@623de4f5f8f048e·
@INFLUENCERjr Sasa, Katibu wa Afya katika Halmashauri mfano, ndie anaetengeneza Bajeti na sera za Afya pia, Watu sipojua alama za barabarani watapata au kusababisha ajali, Tayari ni mzigo wa sekta ya Afya indirectly, kwanini usijibu maswali ukatulia?
Indonesia
6
0
5
1K
Prasidius
Prasidius@PrasidiusNovat·
@Hunaiya153989 Hii kazi lazima aipate tena bila kipingamizi ni hatua kubwa ya Ushindi kwa huyu Binti
Indonesia
0
0
0
30
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
@cooler1134180 Nchi hizi zote kiarabu ukiwa na ngoma aka UKIMWI sio sehemu ya kukaa chimba fasta hivyo vitu hawa entertaining kabisa
Indonesia
2
0
26
3.6K
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Ukiwa na UKIMWI au TB Dubai sio nchi ya kukanyaga wala kushanga shangaa hautopata document ya aina yoyote na hautoweza ku survive watakudaka tu na utapandishwa ndege na kurudishwa kwenu maana kuna siku utaumwa ukienda clinic tu wakikupima wakijua una HIV wanaita POLISI
Indonesia
34
44
680
41K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kwenye fikra za huyu bwana, pamoja na udokta wake, Waislam Billion 2 duniani, Wahindu Bilion 1.2, Wachina na wengine wote wenye imani tofauti na Ukristo ambao ni zaidi ya billion 6, wote hawatambuliwi na Mungu. Strangely, wanaotambuliwa ni Wakristo tu! Natamani kumuuliza, WAKRISTO WAPI HASWA??🤔 Wakatoliki, Walutheri, Methodist, Wasabato, Waanglikana, Wapentekoste, au wapi haswa???🤔🤔
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
15
2
32
5.6K
Star Lord🎇
Star Lord🎇@Kinetclops·
@Therealngassa Punguza kukalili kaka, walotoka six hlf jkt sio kwamba wanaenda military science direct Ile kitu ni kiwaki sana kwa mana wale dogo wanaingia pale hawan ujuz wwte ninao masela wamepitia kote huko ila wameishia kuwa private tu. KUWA COMMISIONED OFFICER NI PROCESS NDEFU
Filipino
3
0
24
3.7K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
sema wale majanja waliosoma science wakaendaenda jkt wakachaguliwa military science wanakuaga wameula sana
Indonesia
13
23
631
31.6K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Iran imefika Islamabad na timu inayoonekana kama ya mkutano wa kitaaluma… watu wanne wenye shahada za uzamivu (PhD), uzoefu wa miongo kadhaa katika diplomasia, na vyeti kutoka vyuo vikuu bora. Marekani imeleta mfanyabiashara wa mali isiyohamishika, mkwe wa Trump, mwanasheria na jenerali wa jeshi… Inaonyesha tofauti ya mtazamo katika namna ya kushughulikia mambo, haha.
Indonesia
32
35
285
14K
Prasidius
Prasidius@PrasidiusNovat·
@mTusiOriginal Bora waliletwa Africa tena ya mashariki kama wangejikuta kwa mbele ingekua tabu, maana ua wanajikuta so special😃
Indonesia
1
1
1
56
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Mi nikisema huwa mnaona kama napost uongo, hapana. Huyu jamaa yangu nilimwambia: usioe Mnyarwanda kama wewe siyo Mnyarwanda… akakataa. Leo ananipigia simu analia kabisa, anasema: “mtu wangu, nataka nijiue.” Nikamuuliza vipi tena? Akasema: shemeji yako amesema hawezi kuzaa na👇
mTusi original 👦 tweet media
Indonesia
10
6
47
5.4K
saint malone
saint malone@second_born02·
@emabilly2001 Mbn huna confidentiality na kazi yako hapa unamtangazia nan ajue unafanya kazi dp mkubwa
Filipino
2
0
5
1.1K
Beast
Beast@emabilly2001·
Wafanyakazi wote waliosajiliwa na Dp' world wana nafasi ya kuomba mkopo kiwango cha chini kuomba kwa mtu wa level ya chini kicheo ni million 60😄...muhandisi wenu nauwezo wa kukopa mpaka million 100 within a week na zikaingia je ninunue gari au nyumba 🥲💣
Beast tweet media
Indonesia
23
9
258
23.3K
TheProtégéTZ
TheProtégéTZ@giboretz·
📌Windhoek, Namibia🇳🇦 Namibia🇳🇦 ni moja ya nchi zenye watu wachache zaidi duniani kulingana na ukubwa wa eneo, ina watu mil 2 tu
TheProtégéTZ tweet media
Indonesia
9
6
173
7.8K
Prasidius
Prasidius@PrasidiusNovat·
@cristensen_ @giboretz Nenda hapo mkuu ukipata mama ya kinamibia unapata uraia moja kwa moja hakuna maswali
Indonesia
1
0
0
14
Traveler
Traveler@cristensen_·
@giboretz nataka kwenda kuish huko but naona kama idadi ndogo ya watu pia hata fursa za kaz zinaweza kuwa chache
Filipino
1
0
0
220
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Hii imetokea Keko Usiku Huu Uzuri Jeshi Letu La Police Limefika Kwa Wakati Kuja Kuwachukua Anaehusika Kuiba Nyeti Na Kijana Alieibiwa Nyeti Zake. Anaehusika Ni Msichana Na Inasemekana alisema awezi kuzirudisha mpaka atakapofika polisi kwaajili ya usalama wake. Ila dawa za kuzirudisha alidai anazo. Jamani tahadhari muhimu haya mambo yapo achaneni @mangekimambi na wanaharakati ambao kila kitu kwao ni kama ajenda. Hii imetokea kweli Keko na hapa ni mtaani kwa ndugu yangu (Photogenic Mtoto) Taharuki Ni Kubwa Sana. Video nyingine Ipo Chini.
Indonesia
25
23
75
13.4K