Sabitlenmiş Tweet

Mwanangu-sana
3.4K posts

@Bensonb24
LFC MY CLUB❤️…i love liverpool Diogo jota fan …#Anfield…#YNWA









🚨 Hugo Ekitike Jamaa hadi Sasa Ndio mchezaji pekee wa Liverpool amejitoa at least 80% just phenomenal 🔥






Mwanangu Magesa alikuwa na shida ya tumbo. Awali aliambiwa ana vidonda vya tumbo. Kuna nyakati tumbo likimshika alikuwa hawezi hata kutembea. Siku moja alizidiwa. Tukakimbia hosp. Niliitwa pembeni Daktari akaniuliza: "Magesa ni nani yako?" Nikamjenga! 🧵🧵




🇫🇷


