Wazaa

3.1K posts

Wazaa

Wazaa

@Rashfay97

#Aikam

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2022
199 Takip Edilen216 Takipçiler
Wazaa
Wazaa@Rashfay97·
@KipetaBin What the fck. IN MAY We have Furious, Citadel 2
English
1
0
0
123
Kwame Kivaisi
Kwame Kivaisi@kwamekivaisi·
Amini nawaambieni, kuna watu kibao tu chadema na wale wanaharakati uchwara wa nairobi hawataki Lissu atoke jela wala kesi iishe. Kwao ni mtaji. Wanaishi. Kula ya tabu sana.
Indonesia
18
14
17
3.5K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Haki ni haki; si zawadi. Haki siyo hisani. Unasema ‘Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuondoa zuio lililokuwa linaikabili CHADEMA’, hadi hapo, hii inadhihirisha unajiongoza vibaya katika utetezi wako au haupo makini na kazi uliyotumwa kuifanya. Mahakama Kuu haiwezi kufanya ‘revision’ ya uamuzi wake yenyewe katika muktadha wa kuondoa zuio ililolitoa, bali ni Mahakama ya Rufaani ambayo ina mamlaka ya juu ya kutengua au kufuta amri hiyo. Huo ni uamuzi wa Mahakama ya Rufaani (kufuta) zuio (injunction) lililotolewa na Mahakama Kuu (Masjala ya Dar es Salaam) Juni 10, 2025 na Jaji Hamidu Mwanga (ambaye ndiye aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo). Ni kichekesho kuona unajinasibu kwamba Mahakama ni “huru” wakati huo ukimshukuru Rais na “Awamu ya Sita” kwa uamuzi huo. Umeshindwa hata kutofautisha kati ya haki ya kisheria na fadhila za kisiasa? Anyways. Maelezo yako ni dhihirisho namna mfumo wetu wa utoaji haki ulivyooza, ambapo kila hatua ya Mahakama inatafsiriwa kama zawadi na fadhila kutoka kwa mtawala badala ya matokeo ya mchakato huru wa kisheria. Kisheria, zuio hilo linapofutwa na Mahakama ya Rufaani (Court of Appeal), ni ishara ya uongozi wa juu wa kimahakama kusahihisha makosa ya kisheria yaliyofanywa katika ngazi ya chini ya Mahakama. Mahakama inapaswa kuwa mhimili unaojitegemea, ambapo hukumu inategemea ushahidi na sheria, si “hali ya hewa” ya kisiasa. Hapa ndipo ulipo msingi na dhana ya mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers). Kama Mahakama ingekuwa huru kweli, usingehitaji kutaja jina la mwanasiasa yeyote kwenye uamuzi wa kisheria. Kumsifia Rais kwa uamuzi wa Mahakama ni kukiri bila kujitambua kuwa Mahakama ni kikaragosi Ukimshukuru mtawala mahakama inapotoa uamuzi “mzuri,” unabariki dhana kuwa mtawala huyo ana mkono katika maamuzi “mabaya.” Kama uamuzi ni zao la mchakato huru, sifa ziende katika misingi ya sheria. Kuhusisha uamuzi wa kisheria na “weledi wa Awamu ya Sita” kunajenga taswira kuwa mahakama ni kiungo cha utekelezaji wa matakwa ya kisiasa badala ya kuwa mlinzi wa haki za raia. Unathibitisha Mahakama ipo mfukoni. Ikiwa haki inatolewa kwa sababu mtawala ameamua kuruhusu anga ya kisiasa iwe tulivu, basi haki hiyo haina mzizi. Haki hiyo inaweza kupokonywa wakati wowote upepo wa kisiasa ukibadilika. Ipo hivyo. Unaposema uamuzi huu ni kielelezo cha uongozi wa RAIS na utawala wa Serikali, unathibitisha ambacho tumekuwa tukisema mara zote: Kwamba Mahakama hazitoi haki, bali zinafuata maelekezo kutoka juu. Kama ndivyo ulivyoweka, basi huu siyo ushindi wa Mahakama, ni ushindi wa mbinu za kisiasa (political optics). Maamuzi hayajatokana na nguvu za kisheria balo fadhila za mtawala. Huo siyo utawala wa sheria. Kama unampa sifa mtu huyo kwa Mahakama kuondoa zuio la CHADEMA kufanya shughuli zake, basi unakubali pia kuwa mtu huyo huyo ndiye alikuwa ameweka zuio hilo kupitia migongo ya majaji. Mahakama ni kama pambo. Vyama vya siasa vipo kwa mujibu wa katiba na sheria, siyo hisani. Haki ya vyama vya siasa kufanya shughuli zao haipo kwa hisani ya mtu, bali ipo kwa mujibu wa Ibara ya 20 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CHADEMA au chama chochote hakihitaji huruma ya mtawala au “weledi” wa Mahakama zinazosubiri maelekezo kutoka juu; wanahitaji Katiba inayozuia muingiliano huo mnaoufurahia. Sifa za kinafiki. Taifa imara linahitaji mifumo inayolinda haki hata pale mtawala anapokuwa amekasirika, si mifumo inayofanya kazi akifurahi. Kijana wa Taifa hili unatakiwa kujivunia mifumo imara ya sheria siyo fadhila za mtawala Uamuzi wa Mahakama ya Rufaani kufuta zuio hilo unapaswa kulitazamwa kama ushindi wa Katiba, si ukarimu wa Serikali. Kuweka sifa kwa watawala kwenye masuala ya kisheria ni kukiri mifumo imedumaa. Uhuru unaotolewa kwa ruhusa ya mtawala unaweza kupokonywa muda wowote mtawala huyo akiamka vibaya. Acha kuupamba utumwa wa taasisi kwa maneno ya kinafiki. Vijana tulipende Taifa kuliko watawala.
Indonesia
8
42
134
2.9K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Leo ni siku muhimu katika historia ya demokrasia yetu. Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuondoa zuio lililokuwa linaikabili CHADEMA ni kielelezo tosha cha uimara na uhuru wa mhimili wa Mahakama nchini. Chini ya uongozi wa Awamu ya Sita unaoongozwa na Samia Suluhu Hassan, tumeshuhudia mabadiliko makubwa katika kuimarisha taasisi za dola, hususan Mahakama. Uamuzi huu unaonyesha wazi kuwa Mahakama zetu zinafanya kazi kwa kuzingatia sheria, haki na usawa bila kuingiliwa na shinikizo la kisiasa au upande wowote. Ni jambo la kujivunia kuona kuwa Mahakama imeendelea kusimama kama mhimili huru unaolinda katiba, haki za raia, na misingi ya demokrasia. Hii inatoa ujumbe mzito kuwa Tanzania inaendelea kujenga taifa linaloheshimu utawala wa sheria (rule of law), ambapo kila upande una nafasi sawa ya kusikilizwa na kupata haki yake. Hatua hii pia inaimarisha imani ya wananchi kwa vyombo vya haki, na kuonyesha kuwa tofauti za kisiasa zinaweza kushughulikiwa kwa njia za kisheria na za amani. Hili ni somo muhimu kwa wadau wote wa siasa kuwa ustaarabu wa kisiasa na kuheshimu taasisi ndio msingi wa maendeleo ya taifa. Kwa ujumla, tunapaswa kuzipongeza Mahakama zetu kwa ujasiri, weledi na uadilifu wao. Huu ni ushahidi kuwa chini ya Awamu ya Sita, Tanzania inazidi kukomaa kidemokrasia, na misingi ya haki inaendelea kuimarishwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.!!
Martin Maranja Masese@IAMartin_

Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imefuta (imeondoa) zuio (injunction) lililotolewa na Mahakama Kuu (Masjala ya Dar es Salaam) Juni 10, 2025 na Jaji Hamidu Mwanga (ambaye ndiye aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo). Zuio lilikuwa linazuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zozote za kisiasa, kutumia mali zake, kushiriki katika shughuli za chama hadi kesi ya msingi isikilizwe na kumalizika. Kesi (Civil Case No. 8323 ya 2025) ilifunguliwa na Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti wa Freeman Mbowe) pamoja na wenzake wawili (waliohusishwa na mgawanyo wa mali za chama kati ya Bara na Zanzibar). Walidai kuna mzozo wa ndani kuhusu mali na uongozi wa CHADEMA. Jaji Mwanga alitoa amri ya muda (interim injunction) ikizuia chama kufanya shughuli zozote za kisiasa na kufungia mali zake ili kesi yao isikilizwe. Amri hiyo ilikuwa ilikuwa ya muda wa siku 14 mwanzoni, lakini iliendelea kuwepo kwa miezi mingi (hadi karibu mwaka mmoja). Hadi kufikia leo April 15, 2026 ni jumla ya siku 310 tangu kuwekwa zuio hilo haramu kabisa. CHADEMA ililalamika kwamba: Zuio lilikuwa kali sana na liliathiri haki yao ya kufanya siasa. Jaji Mwanga alikiuka taratibu za haki ya kusikilizwa (right to fair hearing). Zuio lilikuwa limezidi muda unaoruhusiwa kisheria. Mahakama ya Rufaa iliyoketi Dodoma ilianza kusikiliza maombi ya marejeo (revision) Machi 24, 2026. Leo (Aprili 15, 2026) jopo la majaji limetoa maamuzi yake na kufuta zuio hilo lililowekwa na Jaji Hamidu Mwanga. CHADEMA sasa iko huru kuendelea na shughuli zake zo za kisiasa, mikutano, kampeni na matumizi ya mali yake bila kizuizi hicho. Hivyo shughuli ya kushughulika na Serikali katili ya CCM inaanza pale ilipoishia. Kesi ya msingi (mgawanyo wa mali) itarudi Mahakama Kuu ya Tanzania, lakini kwa jaji mwingine (sio Jaji Hamidu Mwanga tena) kuamua suala moja tu la msingi, kama kesi hiyo ililetwa ndani ya muda au vinginevyo.. Hakuna zuio la kufanya shughuli za kisiasa kwa CHADEMA. Chama chetu kiko huru kutoka katika minyororo ya ukatili wa Serikali katili ya CCM. CHAMA kitatoa taarifa rasmi kwa umma na kueleza vizuri. NB; Siku 310 za CHADEMA gerezani, ‘vyama mpango wa kando’ wa CCM hawajafanya hata kongamano la jando na unyago. Tumerudi, tupatane kwa ground tuwaoneshe kazi inavyofanywa. PEOPLE’S POWER. MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.

Indonesia
76
10
67
19.1K
kijana mpole
kijana mpole@BesteNicolas·
Hii ndio maana ya Yesu Kristo hafanishwi na yeyote yule duniani na Mbinguni. Hayuko hapa, amefufuka. Heri ya Pasaka Wakristo duniani kote.
kijana mpole tweet media
Indonesia
55
14
134
9.8K
Wazaa
Wazaa@Rashfay97·
@BesteNicolas 🤣🤣🤣🤣yupo wapi tukamuone. ALIPIGWA HADI NA MALAYA NA KUULIWA.
Filipino
0
0
0
175
Wazaa
Wazaa@Rashfay97·
@VungaEl74 @RichardMar36114 HABARI ZAKO NYINGI NI ZA UONGO UONGO. IRAN IKISHAMBULIA TEL AVIV HUSEMI HIVI, IRANI IMESHAMBULIA KAMBI ZA KIMAREKANI HURIPOTI 😂😂😂. WE UNAKAUGONJWA KA CHUKI
Indonesia
0
0
0
59
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Hawa Delta force hawabatishi muulize maduro Waulize magaidi wa dola ya Kiislamu irani leo kimetokea nini Wamechapika huko huko milimani😆 Hogera kwa kikosi cha Delta force🇺🇸
Vunga tweet media
Filipino
39
26
221
6.9K
Wazaa
Wazaa@Rashfay97·
@VungaEl74 😂😂😂😂😂we jamaa ni muongo muongo.
Suomi
0
0
0
9
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Pilot wananchi wa irani walimhifadhi🙌🏽🙌🏽
Vunga tweet media
Filipino
25
13
207
10.3K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Niliwaahidi kwamba tutaendelea kuangamiza utawala wa kigaidi huko Tehran ... na hivyo ndivyo tunavyofanya!" Asante bibi magaidi mpaka waishe
Filipino
2
4
45
1.2K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Spika wa Bunge la Iran na Kiongozi Alisimikwa na Marekani ndo wanaongea na Marekani na hawataki kuweka wazi kuwa wanaongea naona spika wa iran ndo aliachiwa nchi kabla ya kuteua Kiongozi
Indonesia
18
7
87
6.6K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Ndani ya masaa 48 Iran Wamekubali kuachana na nuke Kuachaan na kufadhili vikundi vya kigaidi kama Hezbollah na hamas Wamekubali kuwapa uranium yote waliyikusanya kwa miaka 40 kuunda nuke Wamekubali kuachana na kuunda makombora hatari Trump Kasema atafuatilia Hilo ndani ya siku 5
Indonesia
147
24
211
28.9K
PAUL⚙️
PAUL⚙️@KipetaBin·
Barcelona anapelekewa moto ni balaa.
Indonesia
1
0
0
50
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Akuna gaid mkristo acha ubishi kijana
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Filipino
29
7
71
3.6K
Jackson Hinkle 🇺🇸
Jackson Hinkle 🇺🇸@jacksonhinklle·
"Anyone who shows their greed or seeks to attack or cause harm, will face a decisive blow from the Iranian nation" — Khamenei
English
275
1.3K
8.7K
348.7K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
@privaldinho SHAYO, 29.10.2025 wakati Serikali ya CCM inawaua watu kwa kuwapiga risasi, tena hadi wachezaji wa academy, wewe ulikuwa HONEY MOON?
Indonesia
79
131
1.2K
36.9K
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Israel wameshambulia shule ya Minab huko Iran na kuuwa wanafunzi zaidi ya 60. Tetese zinasema shambulio hilo limefanywa kwa msaada wa Marekani (taarifa mbalimbali mtandaoni). Nimewaza ingekuwa Iran ameishambulia USA na kuua wanafunzi ingekuwaje🙌🏼🙌🏼. Kuna namna mauaji yakifanyika nchi za kiarabu na mashariki ya kati inachukuliwa poa na dunia.
Indonesia
269
30
512
81K
Komu Printing
Komu Printing@Elparton112·
Hawa jamaa TikTok tu wanavuta 13M kwa Mwezi hapo bado Insta Na Facebook 🙌🏿
Komu Printing tweet media
Indonesia
67
31
1K
62.2K
Wazaa
Wazaa@Rashfay97·
@Aruatani Aruatani mchongo upo wap
Filipino
0
0
0
7
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Tuliaminishwa Lissu Ndo Nguli Wa Sheria Yani Uje Na Kesi Umeua Akiwa Wakili Wako Unatoboa. Swali Ni Kwamba Hapa Kwa NASSORO KATUGA Mbona Kashindwa Kifurukuta 😁😁
BARADHULI tweet media
Indonesia
118
28
159
36.9K