Mshauri tu
3.9K posts


@DeFiMarketing_ @kishoka_ Ni kweli alikuwa malaya na sisi wengine ukiona taa ya kijani tunapita na MOTTO.
Filipino

@SaidM5963668396 @kishoka_ Hao Malaya mnawakutaga maeneo gani . ?
Indonesia

@mTusiOriginal Kama dini yako hairuhusu kumuacha unafanyeje ?
Indonesia

The Congressional Research Service just listed the 42 US aircraft lost or damaged so far during the war with Iran.
4 x F-15E Strike Eagles destroyed
1 x F-35A damaged by Iranian ground fire
1 x A-10 destroyed
7 x KC-135 Stratotankers (2 destroyed, 5 damaged)
1 x E-3 Sentry AWACS damaged
2 x MC-130J destroyed
1 x HH-60W helicopter damaged by small arms fire
24 x MQ-9 Reapers destroyed
1 x MQ-4C Triton destroyed

English

@Kephawao @safarimlevi Aliongea Waziri,bila waziri kupitia majibu ya Wizara si tungejuaje hizo qualification zao?basi ansard ya bunge ifutwe.
Indonesia

@IAmHaule ni ubinafsi ,wanao hitimu hawana kazi wenyewe wana miaka 60 wanasaini contract.una kuta maabara mtu hayupo mkishakuwa wengi anakuja kwa kugomba kana kamba halipwi.na watoto wetu full kukatwa makomeo mbona zamani hatukukatwa?
Indonesia

#HABARI Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ambaye hivi karibuni ameibuka kama mmoja wa wajadiliani wakuu katika mazungumzo kati ya Iran na Marekani, ameteuliwa kusimamia mahusiano ya Iran na China.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Tasnim, Ghalibaf amepewa jukumu hilo kama mwakilishi maalum wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala yanayohusu China.
Ripoti hiyo inaeleza kuwa jukumu lake litakuwa kuratibu sekta mbalimbali zinazohusiana na ushirikiano wa Iran na China, taifa ambalo limekuwa mshirika muhimu wa kiuchumi na kisiasa kwa Iran katika miaka ya karibuni.
Hata hivyo, haijawekwa wazi ni nani hasa aliyemteua Ghalibaf kushika nafasi hiyo mpya, jambo ambalo limezua maswali kuhusu ukubwa wa mamlaka yake katika nafasi hiyo.
Uteuzi wa Ghalibaf unaonekana kuwa sehemu ya juhudi za Iran kuimarisha ushawishi wake wa kimataifa huku ikiendelea na mazungumzo nyeti na Marekani kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi.
China imekuwa mshirika mkubwa wa Iran hasa katika biashara, nishati na diplomasia ya kimataifa, hivyo hatua hii inaweza kuwa ishara ya Tehran kutaka kuimarisha zaidi uhusiano wake wa kimkakati na Beijing katika kipindi hiki cha mabadiliko ya kisiasa Duniani. #EastAfricaTV

Indonesia

@HabiibYahyaa Si jlithibitishwa amefariki na yule msaliti.
Filipino

@nyalut23 Nilipangaga kijumba cha hivi.choo kipo ndani lakini unaweza fanya wa nje asiinhie sebureni
Indonesia























