Prince Of Mwanza
2.9K posts

Prince Of Mwanza
@SamJrTZ
𝓦𝓮 𝓔𝓿𝓮𝓻𝔂𝔀𝓱𝓮𝓻𝓮 𝓨𝓸𝓾 𝓝𝓮𝓿𝓮𝓻 𝓣𝓱𝓮𝓻𝓮
Mwanza, Tanzania Katılım Ekim 2014
298 Takip Edilen71 Takipçiler

Hivi ndio vitu napenda kuviona,uongozi ni kuacha alama.
Jokate Mwegelo@jokateM
Wow. Sio kwa DIVISON ONE hizo, Mabinti wetu wamefanya jambo kubwa ikiwa ni Form Four ya kwanza tunawapongeza sana. Hongereni sana uongozi Mzima wa Wilaya ya Kisarawe na Mkoa wa Pwani kwa kuendeleza kazi njema hii kwa viwango vya juu na hasa Mbunge wangu wa siku zote wa Jimbo la Kisarawe Mhe Jafo 🙏🏽

@eastafricatv analeta kauli za FAM hapa ..ila akienda kwenye uchaguzi na Chino anakalishwa
Filipino

Legend wa muziki wa bongo fleva Tanzania @princedullysykes ameonesha kuchukizwa na wadau ambao hawampi heshima yake ya kuwa mwanzilishi wa muziki wa bongo fleva.
Akipiga story na #BbcSwahili #Sykes Amesema..........."Kama wenyewe wanataka kumchagua mtu mwingine awe ni founder (Mwanzilishi wa bongo fleva) wamchague halafu mimi nitakua ni mtu niliyeigiza kutoka kwa huyo mtu'' @princedullysykes
"Unaposema Bongo fleva malizia na muziki wa kuimba ambao tunaimba sasa hivi ambao wanaimba pia kina #Jaymelody ,#Alikiba #Diamond #Harmonize #Nandy kwahiyo muziki niliyouanzisha ndio huwa wanauimba hao niliowataja'' @princedullysykes
✍️ @mkogoty
#HainaKuchoka #EastAfricaTv

Indonesia

@iamBandanaJr Huyo ni Shoga..Anaanza kuwa mkali afu anatoa kauli ya kike eti nipige basiii😂😂😂😂Mwanaume unapigana sio nipigie basii
Filipino

@godbless_lema Tuhakikishe TAL anakuwa Chair kuepushe huu ukumer
हिन्दी

@TitoMagoti Tuko byeeeeeee..Tunasubiri ushindi wa Mwisho wa TAL
Filipino

@chapo255 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kakakakaaaaaa Wana Simba tunakutana wapi
Filipino

Uno ni moja kati ya wasanii wachache ninaowapenda kutoka moyoni.. tuzingatie hilo 📌
EastAfricaRadio@earadiofm
Rapper @onetheincredible anasema kuwa Legend @FidQ amewahi kumpatia kiasi cha milioni 4 na hakutaka amrudishie @rich_msafii @piwamagic @februaryomar @mauki_tz #PlanetBongo #EastAfricaRadio
Indonesia


@Ibrahhimmalcom @fbuyobe Unataka kusema baba yao ni mmoja?
Filipino

Huyu jamaa ametekwa na polisi akiwa kwenye eneo la Ubungo plaza
kosa lake ni kugundua kuna gari jekundu lina kura fake
baada ya kutokea patashika, Team FAM wakaita polisi akakamatwa
Ametekwa na Polisi hajulikani alipo kwa maagizo ya Serikali ya Samia , Polisi walikuwa na plan ya kumteka toka jana

Indonesia






















