Gregory Adriano Shangai

244 posts

Gregory Adriano Shangai

Gregory Adriano Shangai

@ShangaiGregory

Katılım Ekim 2022
25 Takip Edilen1 Takipçiler
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Kosa la Yanga ni lipi mpaka leo katiwa na mtoto mdogo ?
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Filipino
1
2
7
307
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@SportsarenatzTz Afadhali hawa angalau wameweza kujiita unbeaten na watu wakakubali wengine wakakerwa na ukweli Kuna makolo kama ni wajasiri wajiite hivyo waone tusipo wapeleka Mirembe
Indonesia
0
0
0
49
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
⌛:FT UNBEATEN IS OVER MUANZE KUHESABU UPYAAA😂 DODOMA JIJI🍇 wamejipigia gongo 3 hapa Airtel Stadium🏟️ na wala hawaringi Kama ulikuwa unaona pointi 5 ni nyingi basi ulikuwa umekosea sana sio kwa Yanga hii😂 DODOMA JIJI 3️⃣-2️⃣ YANGA SC
Indonesia
3
4
120
5.1K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@GuzmnChapo1 Kama umeamua kueleza shida za timu eleza shida za timu zote.Au umebobea kutafuta shida za Yanga tu.Kuna timu ikifungwa tu Mwenyekiti anapigwa vibao ifanyie kazi hiyo utapata PhD ya uchambuzi
Indonesia
0
0
0
3
Chapo Guzmán 🇹🇿
Chapo Guzmán 🇹🇿@GuzmnChapo1·
Shida ya Yanga wao husisi kila wakipata matokeo mabaya basi shida ni kocha wachezaji nao wechoka huyu mwamnyeto anamakosa mengi mengi sana.
Indonesia
9
7
58
1.7K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Ila kusema ukweli kuna wachezaji MATAPELI SANA hawafai kabisa kucheza Yanga, how kiwanja kizuri kama hiki unakula goli 3. Injinia anajitahidi mnalipwa kwa wakati, posho mnapata na Uwanja mnajengewa bado mnacheza ushuzi.
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
1
1
7
645
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@sukununu01 Ukirejea nikuu za fasihi za kidato cha tatu utajua hawa ni wasanii au la kwani sanaa ina kamilishwa na mambo mawili ufundi na ujumbe.Ufundi kazi yake ni kumuwezesha msanii kufikishia ujumbe kwa hadhira na ujmbe unadofa zake kuelimsha.kukumbusha, kusisitiza,kuhamasisha kukomesha
Indonesia
0
0
0
10
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Wasanii wa nchi hiiiiiiiii wapo kama vichaaaaaa
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Filipino
2
0
12
608
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@zoetjesheeftX Namna ya kupata pesa ni kununa SI kujenga hoja kwa nini unataka pesa na kwa nini huna uwezo wa kukipata bila kupewa.Wanaume wananuna kwakuwa wamekutana na walanguzi wa miili
Indonesia
0
0
0
77
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Hawa wanaume wa Siku hizi siyo wale tulio wazoea, siku hizi ukimnunia kidogo Ili akupe hela na yeye anakununia mwezi mzima kumbuka hapo wewe ulimnunia siku mbili tu. Na akikununia usipo mtafuta basi ujue ndo mmeachana hivyo, Yani sijui wame patwa na nini hawa Viumbe, Wana nuna hao. Zamani ukimnunia mwanaume ana hangaika, anakupa mipesa, mizawadi Ili akurejeshe, ila hawa wa Sasa ukimnunia kidogo ni kama umempa nafasi muachane . 🗣️Amber Lulu Wanaume nini shida yenu? Mbona Wana lalamika sana?
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
6
0
34
5.1K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@EngMapundajr Kwamba hamna akili au Mmepewa msichojifunza au Lugha iliyotumika SI rafiki.Na hivyo kama ndivyo Je elimu Ina muandaa mtu kuishi au ina muandaa kufaulu mtihani.Zaidi ungesema maswali unayopimwa nayo hayana uhusiano na maisha halisi ya hicho unachosomea
Indonesia
0
0
0
2
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Hapo DIT unaeza pewa TEST ufanye ikahairishwa ikiwa mmeshaanza mpo katikati.,na siku ya kurudia mkapewa Paper Ile Ile na Bado Darasa zima Mkazurula 😂😆😆🙌🏿
Indonesia
34
54
719
21.4K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@vistovic17 Hii hasira ni kwa sababu Yanga kaonesha kuwa ni timu Bora.Timu SI uwezo wa kiuchumi,miundo mbinu.Kuna mikakati,utawala na uendeshaji,mufaka na maelewano(harmony)
Indonesia
1
0
1
783
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 Edo Kumwembe akitoa maoni makali kuhusu Project ya Azam FC: “Uwezi kutumia billions za fedha kwenye project kama hii ya Azam na kushindwa kuwa underdog wa Simba na Yanga. Hii timu nilidhani itakuwa kama Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini — kuchukua utawala kutoka Orlando Pirates na Kaizer Chiefs. Lakini kwa Azam ni story tofauti kabisa. Wanashindwa hata kuchukua vikombe vidogo kama Muungano na FA Cup, wakati wana miundo yote ya mpira, academy, facilities na kila kitu. Ni kundi la watu tu ambao hawajui wanachotaka.”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Filipino
31
35
931
54.8K
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vike·
Bhasi enzi nimemaliza la saba nikapelekwa shule fulani huko USHIROMBO YA SEMINARI kufanya INTERVIEW kumbe lengo la WAZAZI niende kuwa PADRI 😂. Bhasi kufika pale stendi wakaja kunipokea mapadri kunipeleka shuleni sasa . Bhasi lle kwakuwa ilikua jioni wakasema wapite BAR KWANZA 👇
Indonesia
18
26
402
40.9K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Kama hukusoma moja ya hizi shule basi we bado sana 😂. Tambaza Azania Zanaki Jangwani Kigonsera Benja Pugu Malagalasi Kibaha Tosamaganga Iyunga Umbwe Lyamungo Tabora Bwiru Minaki Loyola Makongo Kantalamba Ndanda Kilakala Ilboru Old Moshi Mazengo Kibiti Ifunda Mzumbe Jitegemee
Indonesia
81
27
159
28K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@ALugandu Inatumia vipuri navyo vimepanda bei aidha mwendesha baiskeli ana mahitaji yake yamepanda bei ulitaka aishije
Eesti
0
0
0
12
DOCHA 
DOCHA @ALugandu·
Waendesha Baiskeli Wa Tabora, Shinyanga, Geita, Sengerema Na Simiyu Wamepandisha Bei Ya Nauli Kisa Kupanda Kwa Bei Ya Mafuta Sasa Sijui Baiskeli Inatumia Petrol au Diesel...!!😂😂😂
Indonesia
4
5
20
924
SIMA
SIMA@abelsima45·
Ushauri wenu please. Hivi baada ya kumaliza chuo wapi ni sahihi kuanzia. Kurudi nyumbani ukajipange upya au kukaza huko huko ulipo?
Filipino
33
23
141
10.6K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@Adventure_36 Mpaka watueleze mafuta yanachangia kiasi gani kwenye gharama za uendeshaji kwani Kuna wakati walishawahi kupandisha nauli kwa kigezo cha mafuta kupanda mafuta yakashuka nauli zikabaki zilezile zilizopanda kwa madai kwamba SI mafuta tu yanayo ongeza gharama za usafirshaji.
हिन्दी
0
0
0
46
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mwenyekiti wa chama cha Wamiliki wa Daladala mkoani Dar es Salaam anasema hizi ndo nauli walizopendekeza wao kutokana na kupanda mwa mafuta. Nauli ya 600 iwe 850 Nauli ya 700 iwe 1300 Nauli 800 iwe 1700 Nauli ya 900 iwe 2100 Nauli ya 1100 iwe 2500 Nauli ya 1300 iwe 3000 Lakin
Indonesia
139
74
876
69.2K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Mnaona hizi dini zenu zilivyo za kijinga? Et mke mmoja ukioa wa pili ni dhambi Wake wanne ukioa wa tano ni dhambi. Mungu gani anapanga hivyo?
Indonesia
19
1
63
3.9K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Humu vijana wengi washamba sana. EQ yao ipo chini mnooo. Vijana wanablokiana kisa kutofautina mlengo wa kisiasa. Vijana wengi humu bado wamerithi siasa za watangulizi wetu,siasa za chuki,siasa za kuchukiana na kuharibiana mpaka maisha binafsi. Hii mara nyingi ni kutokana na kukosa exposure na utashi binafsi. Ni kweli kuna mambo yanaumiza, na hata sisi tunaumia kuona namna baadhi ya viongozi na wanachama wa upinzani wanavyotendewa. Hata hivyo, si sahihi kumlaumu kila mtu au kugeuza tofauti za kisiasa kuwa uadui. Ni mjinga pekee anaweza kutuchukia vijana wa CCM kwa matendo au uonevu wa dola. Siasa si uadui bahati mbaya tu waafrika ndiyo tuna hii dhana.Tofauti ya kufuata sera za chama fulani haimaanishi kuwa mtu ni adui yako. Ni muhimu tujifunze kubishana kwa hoja, si kwa chuki au matusi. Uhasama usio na msingi mara nyingi hujengwa na kukuzwa na watu wasiokuwa na uelewa mpana wa siasa au kufuata mkumbo. @gabyconscious, umewaza hivi kwasababu ya exposure uliyonayo na hilo ni jambo jema. Kama vijana, tunaweza kutofautiana kiitikadi, lakini kuna mambo ya msingi yanayohusu maslahi ya vijana na Taifa kwa ujumla ambayo tunapaswa kuyasimamia kwa pamoja licha ya utofauti wa itikadi.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious

Ifike POINT kama Vijana wa TANZANIA tujifunze kuheshimu HUSTLE HALALI za watu Me naeza kasirishwa sana na mitazamo ya @KennedyMmari na @Thommunkondya kwenye SIASA ila naweza heshimu namna gani walianzia Chini wenyewe hadi kuwa na makampuni makubwa na BIASHARA kubwa Maana Sio rahisi ndomana 99% yetu hatuwezi

Indonesia
19
4
17
5.1K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@rayasel94 Kwani Mke wa Rutu alikuwa ndio WA mwisho?Waliomuona walikiwa nyuma yake.Na nasikia wenzake walikuwa wanaangamia walikuwa wanamwita
Filipino
0
0
0
65
Ray Asel
Ray Asel@rayasel94·
Kama mke wa Lutu aligeuka nyuma akawa jiwe la chumvi, Je ni nani alimuona ilahali walikua hawageuki? 🤔
Indonesia
70
29
389
46.8K
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@sukununu01 Maskini wanaroho mbaya kutokana na aina ya malezi,aina ya chakula na namna ya kukipata,mazingira anayoishi na watu anaokutana nao,umihimu na thamani anyopewa katika jamii,Lugha na mitazamo ya watu wa karibu yake na tofauti ya kundi lake na kundi la waliofanikiwa.
Indonesia
0
0
0
7
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Sijui kwanini maskini wana roho mbaya
Indonesia
2
0
0
131
Gregory Adriano Shangai
Gregory Adriano Shangai@ShangaiGregory·
@Thommunkondya Ni vizuri andiko au hoja yako ingejikita pia kwenye suluhu kwa kutupitisha nchi zinazofanana na yetu zinafanyaje,nchi zilizo endelea zinafanyaje kulaumu tu haitoshi.Onesha njia,na mbinu za kutatua tatizo baada ya kueleza.Ndio maana ya kuelimika na kutumia elimu
Indonesia
0
0
0
22
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Moja ya mambo ya ajabu tuliyoruhusu ni kuwepo kwa masoko au minada barabarani tena kwenye main road kabisa. Mtu anasimamisha gari katikati ya barabara ili tu anunue nyanya, na matokeo yake ni kusababisha foleni zisizo za lazima 😁🙌🏿. Ni kweli, hatufuati ipasavyo mipango miji ila Hili la kufanya masoko au minada barabarani si sahihi kabisa.
Indonesia
10
2
16
4.2K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Roho wa bwana akikujia leo ndotoni akakwambia umuue mama yako au mtoto wako kwa sababu yoyote ile, utafanya hivyo?🤔 Vipi akikwambia umuue jirani yako ambaye ni muabudu sanamu au haamini chochote?🤔 Why??🤔
Indonesia
19
1
16
1.8K