
@Adv_innocent Masuria sio wachumba ni MATEKA,ubakaji halikua kosa kipindi hicho
Indonesia
SnakeboyWaBarca
44 posts










Siku ya tatu ya maandamano makubwa Nchi Iran.. Maandamano haya yanaweza kuondoa utawala wa mda mrefu wa Ayatollah Khomeini Pamoja na kwamba Iran ni Nchi yenye nguvu kubwa kiuchumi, Nchi inayoongozwa kwa misingi kiimani… nguvu kubwa ya dola.. Katika siku tatu hizo hatujaona maelfu ya watu wakiuwawa kama wanyama mpaka kwenye majumba yao.. Serikali inayoweza kuu watu wake yenyewe kwa maelfu eti kwa kisingizio cha kulinda madaraka ni serikali ya kidkteta.. Madaraka na mamlaka ni ya umma … huwezi kuua maelfu ya watu eti kuyalinda, unalinda mamlaka hayo dhidi ya nani? Dhidi ya mwenye nayo?







