HERMANN GÖRING
1.5K posts


@gabyconscious Humjui Molega Saimoni Mongate ww 😁😁😁 jamaa anakwambia hata awe mtoto wa mke wake anamfukuza shule
Indonesia

@Mikumifinest @Adv_innocent Kuna mkuu wa mkoa wa Lindi asubuhi alijikuta ameamka ufukweni mwa bahari wakati usiku alilala ndani mbona alihama bila kutaka
Indonesia

@TriciaAbou Uchawi upo Mtwara na Lindi huko kwingine wanaigiza tu.
Filipino

@EJ_Mwita Kazi njema sana Changamoto hii hawezi kuamini. Kwakua aliyewapa imani na dini yao ni Muddy aliyekuja miaka 600 baada ya Kristo. 🤣🤣🤣
ILA ALIYAONA YOTE HAYA NDIO MAANA AKASEMA HIVI KWENYE YOHANA 5:43

Indonesia

Kwakua ni Mungu alizaliwa bila kuumbwa, alizaliwa na mwanamke bila mimba kutungwa, aliruhusu kuvaa mwili wa binadamu, akasurubiwa katika harakati za kuwafundisha wanadamu kumkiri, AKAFA.
Akafufuka katika wafu kwakuwa ni Mungu, Akapaa Mbinguni kwakua ni Mungu.
Liquidity kensei⚡@Abdulrazack972
@EJ_Mwita Mungu anakufaga?
Indonesia

‼️ Chelsea want to bring AC Milan’s Strahinja Pavlović to the Premier League in the summer and are willing to submit a huge offer.
{Calciomercato via Sport Witness} sportwitness.co.uk/chelsea-willin…
English

@Gestonmarc @Sativa255 Hamna cha kufanya imagination bali ni uhalisia dola yoyote kiongozi mkuu wa serikali analindwa kwa nguvu zote.
Indonesia

They called me a mad man😭
Crux@AFC_Oladipo
The first trophy we're lifting next season is the Carabao Cup✅
English

Tumekula kodi za Wananchi. #NBCPremierLeague #NguvuMoja


@Sativa255 Utafkiri unatania, kumbe kweli kama askari amesema ati mgonjwa ndani ya ambulance asubiri rais na yupo tayari kumlinda rais hata Kwa kuua, Imagine😲
Indonesia

@JOH_MCI Ukiipita safi bora ya ulinzi ya yanga,bas tutakutana na kipa bora Diarra,nan sijui wa Italy aliwah kusema ukiipita safi ya kiungo na mabeki wa Italy,bc unakutana na kipa bora Buffon😀
Indonesia

“Diara amamfata refarii hapa anatabia za uongozi maana ameshawahi kuwa captain kwenye kikosi cha stade malieni kule mali kabla hajajiunga na yanga chini engineer hesri pamoja na GSM ambaye amefanya uwekezaji mkubwa hapa yanga”
Alafu watu wanasema ndio unyama😂😂💔🙌

The Last Virgin ☘️@hermiosso
“Ametokea Stade Malien akiwa MVP, akaenda kwenye kikosi cha Kocha gamondi akiwa na depu” “Sijui kama Depu na huyu jamaa kama wanakumbukana” “Huyu Msindo na Mwenda wote ni Serengeti Boys hawa sema miaka ndio tofauti, Mwenda alianza kabla ya Msindo ko Mwenda ni Mkubwa Mzinga😂🙌🏻
Indonesia

@1960Remija Timu inacheza vbaya sana licha ya kuwakosa hao uliowataja lakin Yanga hatujawah kuwa hovyo kiasi hiki.
Indonesia

















