
Mtumishi yupi ni tapeli zaidi kati ya hawa?
Erasto William Mayala
40 posts

@WaterMe65619922
Limited

Mtumishi yupi ni tapeli zaidi kati ya hawa?


Arusha ikifika saa 3 usiku maduka yamefungwa, watu wamelala na maskini ni wanahesabika. Dar watu wanafanya kazi usiku na mchana, pale Buguruni saa 8 za usiku unapata pilau la Moto kabisaaa lakini bado umaskini NI mkubwa Sana Shida inaweza kuwa NI nini?


Ma ofisini unafiki mwingi sana watu wanaweza logana kisa safari na per diem

Hivi ni biashara Gani Ninaweza kufungua mbele ya Kituo Cha polisi, ikanilipa 🤔🤔

Kama hamuajiri basi vyombo vya ulinzi iwekwe Shelia vichukue watu waliopita jkt kuliko kuwapa watu mafunzo na kuwaludisha mtaaani @Maestrowafact @Adv_innocent @SeekNaturalLife @BakizaHamiss @nguchiro47 @Allypapala @AloyceGarani @bajabiri

Huyu hata akivujisha Dm zangu sawa tu.....ila not that kasuku 😄🙌 ila @BrendaRupia your looking cute aseeee



Mansa Kan Mussa-Ripoti zinaonesha ya kuwa utajiri wake haukuweza kupimika. Alikuwa ana dhahabu nyingi sana kiasi kwamba angeweza kuwa tajiri wa muda wote duniani mpaka sasa📌

Mwanafunzi kufeli ni kosa la mwalimu au kosa la mwanafunzi?




Kati ya vitu as a woman usije ukakosea ni mwanaume wako akuje yan never be predictable utanishukuru, huu ni ushauri wa kikongwe kwa wadogo zangu🤝😉



