BEBERU BIDEN

180.8K posts

BEBERU BIDEN banner
BEBERU BIDEN

BEBERU BIDEN

@WemaKako

Advocate| Traveller| Challenger| Music Addict. Being myself is all that matters. I never look down on people coz I'm not the author of my path. 🇹🇿 by birth|

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2012
3.3K Takip Edilen133K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
BEBERU BIDEN
BEBERU BIDEN@WemaKako·
So one day, I'm going to raise a girl child who's an orphan, make her see the truest dad in me and make her feel no lesser to my biological children. Then I'll have my happiness fulfilled on this earth. Help me God.
English
76
175
1.3K
0
Siyoi
Siyoi@Siyoi7·
@WemaKako Baadhi ya vijana sijui watoto wetu watarithi nini kama uwezo wa kufikiri ndo huu! Wamenufaika wakati ni kodi zao?? Na zimeliwa kwa miaka 60 ndo wakaambulia hako ka maji ka kampeni??
Indonesia
1
0
0
350
BEBERU BIDEN retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Ukipata nafasi wikiendi hii kamsalimie SC Tundu Lissu gerezani Ukonga. Atafarijika sana. Utabarikiwa🤲
Indonesia
18
143
1.3K
20.6K
BEBERU BIDEN
BEBERU BIDEN@WemaKako·
Nchi imefika mbali. ... Tutafika tu. 🤲🤲
Eesti
4
8
83
3.4K
BEBERU BIDEN retweetledi
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
“Stop lying. You abducted Ndiang’ui Kinyagia,” Man interrupts court proceedings to blast DCI lawyer for claiming they did not abduct the missing blogger
English
353
3.7K
9.3K
432.9K
BEBERU BIDEN retweetledi
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
“I am not interested in your drama. Produce Ndiang’ui Kinyagia, whether dead or alive,” Justice Chacha Mwita tells IG Kanja and DCI boss Amin Mohamed
English
401
6.1K
15.1K
554.5K
BEBERU BIDEN
BEBERU BIDEN@WemaKako·
Waswahili walisema, "Ukichamba sana..." Anyway, shamba boy yake maelekezo. Mimi naelekezwa tu, hata nani awe boss wangu nitafuata. Karibu kamanda. Siku hizi nimegeuka kuwa mtazamaji hadi litimie ninaloliona. 🙏
BEBERU BIDEN tweet media
Indonesia
5
9
58
2.4K
sarafina
sarafina@SaraZone222·
@WemaKako Pole sana Ukawe mzima tena kwa Jina la Mungu mwenyenguvu Amen
1
0
0
35
BEBERU BIDEN
BEBERU BIDEN@WemaKako·
Actually kimya changu kinangoja msiba mkuu. Naomba nisiulizwe sana kwa nini niko kimya. Niliyoyapitia ni mengi, hasa ktk maradhi. Nimemwambia Mungu atende. Tuvute subira. Siku Kuu yaja. 🙏🙏🙏
Indonesia
98
77
912
33K
BEBERU BIDEN
BEBERU BIDEN@WemaKako·
Nabii Samia 🤣🤣🤣🤣
BEBERU BIDEN tweet media
Polski
13
7
60
4.7K
BEBERU BIDEN retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Nawaona, ila mkilinganisha elimu ya Tundu AM Lissu na elimu ya mama yenu.. sitaki kusema, Lissu is a G!! Na pia, hawezi kubali kushindana na Lissu kidemokrasia sababu ya uwezo mdogo. Yes, ana uwezo mdogo sana! Poleni. #NoReformsNoElection
Indonesia
40
205
1.5K
46.7K
BEBERU BIDEN retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Hi guys, nimefanya maamuzi magumu. Nimeamua kusitisha ajira yangu ya umbea kwa muda wa miezi 5, nitarudi kwenye umbea November 1 2025. Kuanzia leo for 5 months straight nitafanya siasa tupu! I think wito wangu hapa duniani ni huu wa kufanya harakati, nashindwa kulala na kuishi kwa raha knowing I can use my platform to make a change. Najua nitapoteza a lot of money ila naamini nitakuwa sawa tu for 5 months plus shemeji yenu ananisapoti 100% kwenye hii decision. Kaniambia kama hii ndio itakupa amani basi fanya for as long as you need to. Mtakao unsubscribe kwenye app yangu au hapa insta kwenye subscription I understand, kwa mtakaoendelea kulipia Mungu awabariki na ahsanteni na wengine naomba mjiunge kama kuniunga mkono. Kama mimi mmbea mkuu nimefanya maamuzi magumu ya kuacha umbea kwa miezi mitano naomba na nyinyi Watanzania muingie kwenye mfungo wa umbea kwa miezi mitano. Hakuna kuwa distracted na habari za mastaa mpaka uchaguzi utakapoisha, hata wavue nguo wanye barabarani hatushadadiii, hatuna time. Tunawafungia vioo wasaniii na mimba zao za plastic, na mahusiano yao ya plastic, na pete zao kupotea kiplastic, na kuachana kwao kiplastic na kurudiana kwao kiplastic, na beef za kiplastic. Yani umbea wowote au habari yoyote ya mastaaa kwa miezi 5 ijayo hatutaki. Kila ukioa habari ya umbea sehemu kemea kama unakemea pepo. CCM wamefanya investment kubwa ili kupambana na vita ya kwenye mitandao maana mitandao ndio imekuwa adui yao mkubwa ambae wanashindwa kumteka. Wameandaa matukio ya mlolongo ya wasaniii kuhakikisha watanzania wanapata burudani mpaka wasahau mateso yao, maumivu yao, malalamiko yao, haki zao, manyanyaso yao. WATANZANIA for the next 5 months tutadai haki yetu ya uchaguzi wa haki na uchaguzi huru, tutadai reforms ili tupate uchaguzi wa haki. Watanzania tuna haki ya kuchagua Rais tunaemtaka na tuna haki ya kuchagua wabunge tunaowataka ili tupate maendeleo. Tusikubali tena kuchaguliwa Rais na wahuni. Tusikubali kuchaguliwa wabunge na wahuni Sasa tunahitaji content, naomba wote mjitolee kuleta content za shida, mateso na maisha ya wananchi ambayo hawapati kesi ya taifa. Nitalipia pesa kidogo kwa content zenu. Sema NO REFORMS NO ELECTION!!!!!!!!
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
615
1.3K
6.2K
298.4K
BEBERU BIDEN retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kaswahili bado hapatikani !!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Who will be the next ? Good guy
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
55
334
1.9K
47.9K