Manka akee
2.7K posts

Manka akee
@WitnessJonas
love& care🌹🎶 God above all
Tanzania Katılım Şubat 2023
1.3K Takip Edilen982 Takipçiler

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, kilichotokea leo tarehe 25 Machi, 2026, majira ya saa moja asubuhi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa mshtuko wa Moyo.
Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka.
Marehemu Lukuvi alikuwa akihudumu kama Mbunge wa Isimani Mkoani Iringa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa shughuli za Serikali, pamoja na masuala ya watu wenye Ulemavu.
Rais Samia ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Familia ya marehemu, Ndugu, Jamaa, Wananchi wa Jimbo la Isimani na Watanzania wote kwa ujumla.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@Roma_Mkatoliki MI mwenye dogo kanipigia wanata iyo 40k imenitokaaa woiii
Filipino


@SimbaSCTanzania Alooh ni Chama ama macho yangu yanatongotongo
Indonesia


“Wapenzi wa Simba sasa tunakwenda kufanya mambo makubwa. Lakini la pili tunakwenda kutengeneza kadi za kisasa ambazo hapa Tanzania hakuna mfano wake, itakuwa kadi yenye matumizi mengi kwa mwanachama. Lakini mabadiliko yakikamilika mwekezaji sasa anakwenda kujenga miundombinu. Muda si mrefu pale Bunju panakwenda kujengwa uwanja wa mazoezi wenye nyota tano.” - Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori. #NguvuMoja

Indonesia

@SimbaSCTanzania Lbd umeumizwa wewe ndg admini mi sijaumia na huu upuuzi
Indonesia


@SimbaSCTanzania Mtafte jina lingine la kujiita sasa hili la mnyama haliwafai tena
Indonesia


@MaraHo0d @CatherineRuge Tunamsubiri😳sijui Atatuambia Nn? Wana Mugumu na viunga vyake kwa Ujumla
Indonesia

Karibu Simba SC, Rushine De Reuck.
Kwa taarifa zaidi tumia Simba App, Simba Mastori au Instagram Subscriptions. #NguvuMoja

Filipino
























