Mkulima

14.7K posts

Mkulima banner
Mkulima

Mkulima

@Wolfugang2

Let's feed the future.....

Mbeya, Tanzania Katılım Aralık 2016
890 Takip Edilen261 Takipçiler
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Magoli yangu bora msimu mpaka sasa 1️⃣ Henry David vs KMC FC 2️⃣ Paul Peter vs Fountain Gate 3️⃣ Fabrice Mgoy vs Prisons FC Mengineyo 4️⃣ Chama vs Mashujaa 5️⃣ Joseph Akandanwaho vs Prisons FC 6️⃣ Shekhan Khamis vs JKT TZ Wananchi kadi za Yanga zinapatika matawi yote ya @CRDBBankPlc ukitumia kadi hiyo kwenye malipo basi unaingia kwenye droo ya watakaoenda Marekani kushuhudia kombe la dunia
Indonesia
37
1
62
8.1K
Ben
Ben@benKEofficial·
@SevillaFC_ENG You posted this thinking it would blow. Tanzanians aren't on Twitter bro and the small portion that are here don't understand English
English
59
3
80
7.6K
Mkulima retweetledi
Sevilla FC
Sevilla FC@SevillaFC_ENG·
#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿 An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍
Sevilla FC tweet media
English
271
1.2K
9.8K
163.9K
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
71
28
92
31.6K
Fadher d
Fadher d@2712father·
@ayubu_madenge Kabisa mimi mwenyewe ni liverpool ila kiuhalisia Raya alistahili
Indonesia
1
0
0
331
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Max Dowman mtoto wa miaka 16 ana kombe la EPL, lakini mchezaji bora wa msimu anapewa Bruno Fernandes mwenye miaka 31 ambaye hajui hata kombe la EPL linafananaje. Hii ni robbery ya hali ya juu katika historia ya tuzo hizi. Tuzo hii alistahili kupewa David Raya kipa wa Arsenal.
Ayubu Madenge tweet media
HT
166
27
561
17.4K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Sad hii ndio shida yetu wengi tukiwepo sehemu zenye fursa, tunataka kuonekana tupo hapo ila tupate picha zakupost na story za kusimulia ila hatufaidiki na chochote kifursa Sitaki sema Jemedari alimkuta Juma Offguard but trust me chukua waandishi wote waliokuwepo kwenye huu msafara wa Rio, hata ule wa Drogba na mingine mingi itakayokuja na uwaulize same questions amini hawatakua na positive context wala majibu ya maana zaidi ya kuruka ruka Nazijua changamoto za wanahabari na maripota (nimeishi huko) ila kuna muda tunatakiwa kujua aim ya msingi ya kila tunachofanya au kushiriki na sio tu kuonekana ulikuwepo au ulishiriki halafu basi utaishia kupost tu picha na kuhadithia kwa wanao Content creators wanapata content kwenye mambo kama haya sababu ya field yao ila Mwanahabari ambaye amekua kwenye msafara wote amesikiliza speechs, amefanya interview lakini still hana anything ya maana yakuzungumzia ziara aliyoishiriki 🚶🏾‍♂️kazi ipo
Indonesia
45
57
408
69.3K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Ni vile tu Bongo kuna USIMBA na UYANGA ila MEENA alikosea sana kuleta mambo ya Chama kwenye ujio wa RIO FREDINAND. ✍️ : Kwanza Chama si Mtanzania ✍️ : Rio hajaja kwa ajili ya NBC kaja kwa AFCON ✍️ : Msigwa alimwambia unaharibu na akaendelea kuposti
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
66
5
161
19K
Mkulima retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
“Hili linaweza kushinda tuzo ya goli bora la mwaka duniani.”- haya sio maneno ya semaji au admin, haya ni maneno ya mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand kuhusu uzuri wa bao la Clatous Chota Chama dhidi ya mtani Young Africans. Basi kuna watu wanaumia 😂😂😂 🎥 @CloudsMediaLive #NguvuMoja
Indonesia
25
80
771
15.9K
arnold
arnold@arnold148037·
@prolific_88 Azam hata uwe na LG curved bado utaona ukungu tu mamae,..sjawahi kuwaza kufunga Azam nyumbn kwangu
Indonesia
2
0
9
743
Williard
Williard@prolific_88·
Dstv HD yake 🙌🏿 utangazaji wa game hakuna historia wala makelele yasiyo na mpangilio "weka kule ooooooooooh amesema anajiamulia mambo"
Indonesia
20
7
207
8.1K
Mkulima
Mkulima@Wolfugang2·
@MarekaMalili Hawa vijana hawafai kabisa 😂🙌🙌🙌🙌
Indonesia
0
0
0
10
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mimi nilikua natania tuu wakuu 🤣
Indonesia
90
53
582
35.2K
🇪🇦 mzenji the big brain 🧠
Millennials walidhani prof. Ndalichako alikuwa anasahihisha Paper zote peke yake Tanzania nzima 😁🤣🚮🤣
Filipino
29
49
250
19.9K
Mkulima
Mkulima@Wolfugang2·
@privaldinho HBD kk, Shentembo kakupa zawadi bora kabisa
Indonesia
0
0
0
185
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
🙏🏾🙏🏾🙏🏾 🎂
Privaldinho tweet media
QME
29
6
325
45.1K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Kuanza 12 OCTOBA hadi 28 OCTOBA Kuna watu waliwekwa mahari kupewa mafunzo ya kushiriki ghasia. 🙆‍♀️
Indonesia
19
24
50
4K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Mfahamu Jaji Mohamed Chande Othman. Mtu Bingwa sana na Makini Mno!
MR BEN tweet media
28
19
58
5.9K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Mapendekezo ya Tume ya Uchunguzi; 1. Majeruhi wapatiwe matibabu na vifaa saidizi bure. 2. Itengwe siku ya maombolezo ya kitaifa ya kuwakumbuka waliofariki. 3. Kutolewe msaada wa kisaikolojia na kijamii kwa waathirika. 4. Katiba Mpya ipatikane ifikapo 2028. 5. Serikali iunde Tume ya Maridhiano. 6. Liundwe Baraza la Wazee kuisaidia Tume ya Maridhiano. 7. Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi itekelezwe kikamilifu. 8. Iundwe tume ya uchunguzi ya kijinai ili kushughulikia tuhuma zilizopo. 9. Polisi waimarishe uhusiano wao na jamii. 10. Serikali na vyombo vya dola vitekeleze majukumu kwa kuzingatia misingi ya demokrasia. 11. Maadili na miiko ya viongozi na watumishi wa umma visimamiwe kwa karibu. 12. Baraza la Taifa la Vijana liundwe na litumike pia kama jukwaa la maridhiano. #UkweliOktoba29 #UkweliOktoba29 #UkweliOktoba29
MR BEN tweet media
Indonesia
7
8
32
6.7K