
@IAMartin_ @HecheJohn Jambo la nchi hii linahitaji kuwa validated na TEC?
Filipino
Yeggo
565 posts














Wakili Mwabukusi asema CCM ni chama chenye kiburi sana kwani wao kama TLS walifanya kila namna kuhakikisha mazungumzo yanafanyika kabla ya Oktoba lakini hawakufanikiwa.




Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. @HecheJohn na Katibu Mkuu Mhe. @jjmnyika wakisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu, Jimbo la Kondoa katika Misa ya maziko ya Askofu Bernardin Francis Mfumbusa.



Mh waziri mkuu @mwigulunchemba1 mchumi na msomi hasa. Naomba kujua kwann serikali inapambana sana kuinua wananchi wake na wakati huo huo Kuna baadhi ya taasisi za serikali zinauwa uchumi wa watu hao hao? Unakuta supplier anadai tasisi kwa miaka pengine mtaji kakopa bank.










