Fasha Babe🌹🇹🇿

8.4K posts

Fasha Babe🌹🇹🇿 banner
Fasha Babe🌹🇹🇿

Fasha Babe🌹🇹🇿

@_adorablefasha

Mama Rannie🤍..God is love♥️__Scorpio♏ l love good music 🎵 @youngafricansportsclubfun💚💛

Katılım Ağustos 2021
3.5K Takip Edilen6.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Fasha Babe🌹🇹🇿
Fasha Babe🌹🇹🇿@_adorablefasha·
Kwaiyo mwanaume type ya ROTIMI ndo sipati eti??🥺🥴💔
Fasha Babe🌹🇹🇿 tweet media
Filipino
54
32
362
20.6K
Kante
Kante@MkulimaKante·
@zumbekhan Ustar mzigo sana yaani mtu hata akitembea zake inakuwa nongwa🗑️
Filipino
4
1
42
12.9K
kunguni
kunguni@Rottadomsi·
Duuh! Maisha Yanabadilika Sana🤔 Leo Aslay Ameonekana Nchini Congo Akiwa Anapiga Show Za Chaka to Chaka🥹 Video Hizi Zimewashangaza Wengi Kuona Msanii Mkubwa Kama Huyu Anapiga Show Za Chaka to Chaka VIDEO📷👇
kunguni tweet media
Filipino
57
36
647
126.3K
LakerGuru
LakerGuru@LakerGuru·
@majestymasculin whoever runs this accnt, you are stupid, selfish, mean, cold, & are never going to have close, happy relationship. you are an incel for a reason.
English
1
0
3
783
MajestyMasculine
MajestyMasculine@majestymasculin·
10 Ways to Destroy Girl's Egos INSTANTLY - Female Psychology Thread -
MajestyMasculine tweet media
English
7
49
284
93.5K
Fasha Babe🌹🇹🇿 retweetledi
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
Washikaji wenye account za 𝕏 lakini hawana muda na kupost chochote, comment tujuane tujenge umoja wetu 😁👊🏿
Alpha Index tweet media
Indonesia
502
76
1.6K
119.9K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Yaliyo Mkuta Blessed Tillah yamemkuta Neypaul sasa hivi 😭🙆‍♂️ But mbona Mimi naona kapendeza tu Jamani 😭😭😂 Angalia Vazi kisha, Soma comments za watu Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Indonesia
123
52
1.3K
253.2K
Fasha Babe🌹🇹🇿 retweetledi
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
Haikuwa ajali ya kawaida, makosa ya kibanadamu zaidi ndio yasababisha ajali hii Msiba uliotikisa Dunia, kuanguka kwa Titanic! Meli iliojengwa kwa kiburi. Ndani yake walikuwemo mabilionea wa dunia, wafanyakazi wa kawaida, na familia zilizokuwa na ndoto mpya za maisha. Usiku wa baridi kali Aprili 14, 1912, meli kubwa zaidi kuwahi kujengwa—RMS Titanic, ilipiga mwamba wa barafu na kuzama kwenye Bahari ya Atlantiki. Ilikuwa safari yake ya kwanza kutoka Southampton, Uingereza, kwenda New York, Marekani. Lakini ndani ya saa chache, meli hii iliyotajwa kuwa isiyoweza kuzama ilitokomea baharini, ikiacha historia ya majonzi ulimwenguni Lakini nini kiini cha ajali hii tofuati na wewe unavyofahamu? Thread 🧵 👇🏾
Alpha Index tweet media
Indonesia
39
113
949
250.2K
Fasha Babe🌹🇹🇿 retweetledi
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
Sema wanangu kuna watu wana-Ujasiri wa hali ya juu.... Imajini walisema hii ngoma mbovu 🙌🏽 Daah 😥
Dullah_theKing🎧 tweet media
Indonesia
48
44
984
69.6K
Arusha Icon
Arusha Icon@SalvatoreBh2025·
Sitawafundisha Kila Kitu Jombaa!👇🥳
Arusha Icon tweet media
Indonesia
115
73
945
126K
Fasha Babe🌹🇹🇿 retweetledi
chuga girl❣️
chuga girl❣️@Lizzie36021·
Mwenyezi Mungu akulinde siku ya leo ikawe kheri kwako 🙏 Good morning 🌹
chuga girl❣️ tweet media
Indonesia
55
48
152
5.2K
Fasha Babe🌹🇹🇿
Fasha Babe🌹🇹🇿@_adorablefasha·
Mpango wa Mungu kwako ni Mkubwa sana na HATIMA yako ipo mikononi mwake pekee. Kwaio usichoke KUMUOMBA na KUMTEGEMEA🙏🙏
Filipino
1
0
5
268
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
Watu waliopewa challange inasema "Mtumie text mpenzi wako mwambie "it's Over" alafu screenshot tuone majibu".. Hizi ndio replies zenye vihoja 😂 Check the thread 👇🏾😂😂👊🏿
Alpha Index tweet media
Filipino
155
169
2.2K
559.3K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Wakati mkoa wa Njombe ukiwa na watu 66,979 wanaoishi na Virusi vya UKIMWI, mkoa huo umeendelea kusambaza kondomu ili kukabiliana na maambukizi mapya ya virusi hivyo huku vijana wakitakiwa kuendelea kuchukua tahadhali na janga hilo. Taarifa ya UKIMWI mkoa wa Njombe iliyosomwa na Dkt David Ntahindwa, kwa niaba ya Mganga Mkuu mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na UKIMWI imesema idadi hiyo ambayo ni sawa na asilimia 109 ya wanaojitambua imeendelea kufanyiwa kazi kwa kusambaza kondomu katika maeneo mbalimbali pamoja na kutoa elimu. Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema mapambano dhidi ya UKIMWI, yanapaswa kuendelea bila kupepesa macho kwani suala la unyanyapaa kwa sasa halina nafasi. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Ummy Nderiananga, amesema maelekezo yote ya kamati hiyo ya kudumu ya Bunge serikali itakwenda kutekeleza kwani bado kuna changamoto kubwa ya maambukizi ya VVU kwa vijana. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
144
63
1.2K
157K
Paul Bonaventure
Paul Bonaventure@Phbhimself·
Ni mwaka 1984, kulikuwa na stori moja kubwa nchini Nigeria, stori hiyo ilimuhusu mchungaji Benson Andrew Idahosa na kundi la wachawi. Ngoja nikupe stori. Baada ya wachawi kufanya mikutano yao kwa miaka mingi pale Chicago nchini Marekani. Sasa wakaamua kwenda kufanya mkutano wao mmoja katika Mji wa Benin nchini Nigeria. Wachawi wote wakapeana taarifa kwamba hatimaye mkutano ulikuwa unakwenda kufanyika huko. Stori ikamfikia mchungaji Idahosa, akasema kwamba mkutano huo hautofanyika nchini Nigeria. Watu wakashangaa, inakuwaje mkutano usifanyike? Haraka sana waandishi wa habari wakamfuata na kumuhoji. Akasema ni kweli, mkutano huo hautofanyika.
Paul Bonaventure tweet media
Filipino
56
179
1.4K
437.5K
𝗠𝗮𝗷𝗶𝘇𝗼
𝗠𝗮𝗷𝗶𝘇𝗼@majizo_jr·
SIMU YAKO NAMBA NGAPI? 1. Samsung Galaxy 2. iPhone 3. Google Pixel 4. Huawei 5. Nokia 6. Sony 7. Infinix 8. Tecno 9. Oppo 10. Vivo 11. Xiaomi 12. Red Min 13. Realme 14. ZTE 15. 1+ 16. Alcatel 17. Blackberry 18. Itel 19. Oking 20. OnePlus Yangu Namba 7 INFINIX yako Namba ngapi?
𝗠𝗮𝗷𝗶𝘇𝗼 tweet media
Italiano
517
51
550
113.8K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Mdogo wake Zamaradi Mketema aibuka na kumshataki Dada yake kwa mabaya aliyomtendea Ikiwemo,kumtemea Mate na kumpiga mgongoni Msikilize.... Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
42
9
470
98.7K
Banza Media
Banza Media@banzamedia243·
Mungu ni mwema! Lydia aliyekuwa mshiriki wa BSS mwaka jana amepata umaarufu wa ghafla baada ya video yake moja tu kuzua gumzo mitandaoni. Alikuwa na wafuasi 15k, Na sasa ana zaidi ya 81k! Licha ya kufika Top 5 kwenye BSS, njia yake imekuwa na baraka zaidi mwaka huu. Ni ushahidi tosha kwamba Mungu ana mipango yake!" Soma Zaidi 👇 na video 👇
Banza Media tweet media
Ruiru, Kenya 🇰🇪 Indonesia
61
56
1.7K
268.4K