abbleluv
9.3K posts

abbleluv
@abbleluv
🇦🇧🇧🇱🇪🇱🇺🇻
Tanzania, Dar Es Salaam Katılım Mart 2012
272 Takip Edilen727 Takipçiler

@Jizzlewantandu 😃🤣🤣🤣 Jizzle kama ukipata hela fungua Betting ni hela plus hela hela za bure
Indonesia

@RevocatusMagum1 Waandaaji washukuru Mungu jana Mh. Makonda alikuwepo. Wananchi waliheshimu uwepo wa Waziri otherwise kingenuka pale.
Indonesia

🥊 Sakata la Ibrahim Mafia vs Alvin Camique
Pambano lililomalizika hivi karibuni kati ya Ibrahim Mafia (Mtanzania) na Alvin Camique (Mfilipino) limeacha mjadala mzito katika tasnia ya ngumi Tanzania. Mafia alitangazwa mshindi kwa pointi, huku Waziri wa Michezo, Paul Makonda, akikabidhi zawadi ya milioni 5 kutoka kwa Rais Samia. Aidha, Camique pia alipewa milioni 5 kwa uchezaji wake wa kuvutia kama “entertainer boxer.”
Lakini kilichotikisa zaidi ni mawazo ya mashabiki waliolalamika kwamba Camique alistahili ushindi. Mashabiki walifika mbali kuimba jina la Mfilipino, wakionesha kutokuamini matokeo ya majaji.
🔎 Taswira kwa ngumi ya Tanzania
- Uaminifu wa majaji: Sakata hili linaibua swali kubwa juu ya uwazi na uadilifu wa uamuzi wa majaji. Mashabiki wakihisi matokeo si ya haki, tasnia hupoteza imani.
- Heshima ya mashabiki: Kuona mashabiki wakimpa heshima zaidi mpinzani wa kigeni kuliko bingwa wa nyumbani ni ishara ya changamoto kubwa kwa tasnia ya ndani.
- Fursa ya mageuzi: Tukio hili linaweza kuwa kengele ya kuimarisha mifumo ya uamuzi, kuongeza uwazi, na kujenga imani ya mashabiki.
- Nguvu ya burudani: Zawadi kwa Camique inaonyesha kuwa ngumi si tu ushindi wa pointi, bali pia burudani na mvuto wa ulingoni.
Kwa ushuhuda wa macho yako Nani alistahili kua bingwa?


Indonesia

@zoetjesheeftX Kwani huyu dogo aliwafanya nini wananzengo mbona wanamuua sana😃😃😃
Indonesia

@Addy_Adams Ile V8 ya Prof Assad anayotembelea kali sana imekaa kama ya Tour.!
Indonesia

Mwandishi 🎤 Naskia Irene Uwoya umewahii kukaa Jela miaka miwili, unaweza kutuambia kosa lilikua ni nini na ilikuaje?
Irene Uwoya. 🎤 Ni kweli nimekaa jela miaka miwili kwa kosa la kukutwa na Passport 25 pamoja na pesa Dollar Million moja sawa na (2.5 Bilion) Tsh
Mwandishi 🎤 Hizo passport ziye zilikua za nani
Irene 🎤 Zilikua za kwangu zina picha yangu ila za nchi tofauti tofauti
Mwisho
-----------------------------------
Wakuu nawasihi sana usitamani maisha ya wenzako hujui wanapataje pesa na hujui mangapi wanapitia

Indonesia

@TheRealJongwe 😂😂😂😂😂 Ila Mshua hela ya suti si ulipata humo humo ndani ? Breakeven✅️
Filipino

Hii nchi tumeipambania sana kubabake!
Hapo wadwanzi walichana suti yangu mpya kabisa ya Calvin Klein, MATAKO YAO!😎
#FREELISSU #KATAARIPOTI

Filipino

Tushapika watoto wale kesho shule

miss.nancy🇹🇿@she_is_nancy255
Walioolewa wanaenda sokoni sasaiv kwaajili ya maandalizi ya chakula cha jioni, alafu singles hawajui ata kama watakula na hela wanayo😂😂
Tanzania 🇹🇿 Filipino

@heisnabeel Bora mmalizane na Maema leo leo ! Kule kuna Pacome hacheki na Kima

@SimbaSCTanzania Bashiri Out ! Kante Out ! Maema acheze namba 10 akisubiri kumpisha Chama dakika ya 75 ! Loemba au Mwalimu aingie
Indonesia
























