Modri
716 posts

Modri
@abdul_ibrahim66
To see things in the seed, that is Genius
KSA Katılım Ekim 2014
28 Takip Edilen16 Takipçiler

@millardayo Watu wasenge 10M tu unaua mtu hao ni jela na kifiro kila asubuhi
Indonesia

Raia wa China aliyejulikana kwa jina la Baozhang Ge, Mkurugenzi wa kiwanda cha Xin Li Company Ltd kinachojihusisha na urejeshaji wa makopo kilichopo Mabibo jijini Dar es Salaam, amekutwa ameuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni walinzi wa kampuni hiyo, maarufu kama Morani wa Kimasai, kisha kutokomea kusikojulikana wakiwa na begi lenye shilingi milioni 10.
Mdogo wa marehemu, Denis Jerry ameelezea ameiomba serikali na vyombo vya usalama kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini waliohusika na mauaji hayo.
#MillardAyoUPDATES
Indonesia

I advise you to MONETIZE your beautiful videos, too.. These people shouldn't get your content for FREE....With your Socialite-Like content, you could earn millions of dollars through adventurous videos through various sites.
chiccatheboss🇹🇿@sugarbabe_255
Sooooo anyone gonna take over and do this shit😔😔😔
English

LONDON — Kikundi cha sarakasi kutoka Tanzania, The Rafikiz, kimevutia watazamaji katika mashindano ya Britain's Got Talent 2026 baada ya kuonyesha uwezo wa kipekee wa nguvu na sarakasi.
📸Britain's Got Talent
#HabarileoUPDATES
Indonesia

@HildaNewton21 Lazima waje wenyewe labda kupeleleza ni kama ile ya kenya
Indonesia


“Yeyote anayeua kwa upanga atakufa kwa upanga”
Kwisha maneno! Dikteta mwuaji mwingine Khamenei amemalizwa na siwezi kudondosha hata chozi moja maana ameua maelfu na kutesa malaki na alijivunia ukatili wake!
Yote kwa yote love or hate Trump but he has been clearing the world of some very unsavory characters and dictators so far!
God has a strange way of using people you never thought of!
Mungu haleti malaika kusaidia bali hutumia binadamu hawahawa dhaifu kuleta msaada tusiotarajia!
Iwe fundisho kwa madikteta wanaojiona miungu watu! Jezebel naye ipo siku atakutana na masaibu hataamini! Angekuwa na washauri wenye akili angejiondokea! Ila sasa hata kwa wajomba kumevurugika 😆 sijui ataenda wapi!


Indonesia




















