Baba'ke

14.8K posts

Baba'ke banner
Baba'ke

Baba'ke

@babaiftah

Imani || Uvumilivu || Mafanikio ||Mume||Baba

Zanzibar West, Tanzania Katılım Mart 2021
277 Takip Edilen238 Takipçiler
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@cw_pedro Atakurudisha kulekule kwa Mwalimu.
Indonesia
2
0
0
99
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Taa ya wese haishtui tena 🤣
हिन्दी
11
5
86
4.1K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
I have been in this platform long enough, lesson kubwa humu ni kwamba wote humu ni wanafiki, yes mimi na wewe wote wanafiki 😃
Polski
59
72
592
18.3K
Jumanne Mtambalike
Jumanne Mtambalike@Afruturist·
Huu ni mjadala hatuko tayari kuufanya ila unaimpact kubwa sana kwenye taifa letu... 1. Kuna mdogo wangu ni "degenerate gambler" anabet kila kitu kilicho mbele yake. Alishabet mzigo wa biashara niliompa wote. Watu wanaficha mpaka hati za nyumba na document za msingi. Nimenyoosha mikono nabaki nasikitika tu... 2. My high school mate and a close friend started slowly. Mshikaji sasa hivi ni kama teja. Ameshauza Kila kitu chake, cha washikaji na cha family members. I struggled helping him for two years nikaishia kupokea vimeo vya polisi daily kila akizingua... 3. Recently, I met a Bolt driver, kijana muuza magari alikua na mtaji mkubwa in millions akabakiwa na 15 Million only, kaishia kununua gari kufanya Bolt. Thankfully, amejitambua amelipia huduma za recovery anaendelea vizuri. I think we need; 1. To educate people to gamble responsibly, and be intentional about it... 2. To better regulate these companies to make them more responsible to the society... 4. To create more special places to support people with gambling addiction. We are going to have a lot of them in the next few years with our current trends...uko uswahilini kwenye "Madude" yale hali ni mbaya...kids bellow 18 there all over them... 3. Radically, to search for alternative revenue sources and models that create wealth without messing up our people... Mtazamo wangu...
Lubasha Jr@MarekaMalili

Ukijua namna ya kukusanya hela ndogo ndogo za Maskini ushawin maisha.

Indonesia
30
43
220
29.1K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@Addy_Adams @bajabiri Adui wa pamoja hayupo,pambana na adui unaemmudu,usiyemuweza ikiwezekana ungana nae muyajenge.
Indonesia
0
0
0
158
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Cancel Culture tuwaachie Wapemba Jana M/kiti wa Kanda Sugu kaandaa show imemjumuisha Mbunge na Naibu Waziri chama Tawala. Mimi nikawa Unfollow Mbogamboga & Simba SC kumbe wakubwa wana shirikiana nao Nilichojifunza Suala la Ugali huwa halina Itikadi ya kubaguana kwa vyama
Filipino
21
30
293
19.1K
mzururajonpoint
mzururajonpoint@Asha99538587·
@Philosophe45141 Kama kun adhabu Allah anatoa kwa wazurumaji wa pesa ya mtu basi lolote limkute uyo jamaa Ako😭😭😭😭😭😭
Indonesia
3
0
26
11.4K
Deogratius||🕊️
Deogratius||🕊️@Philosophe45141·
Kuna tajiri huko mbeya anaitwa aidani mwidimi alivuta umeme kwa mil600. Ana kwambia alienda kukopa billion1 alafu anatakiwa kurudisha kwa mwezi na riba juu. Mkuu wa mkoa wa kipindi hicho bwana omera alikuwa humble alivyosikia mtu ana kopa bil1 anatakiwa kurudisha bil1 na riba juu
Indonesia
11
17
570
62.5K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Miaka ya 90’ kuna bia ilikua inaitwa BINGWA, picha linaanza unaambiwa kabisa haijatengenezwa kunywewa ya moto. Sasa wewe jichanganye unywe ya moto uone😂😂😂
Indonesia
65
24
507
32.6K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@MarekaMalili Hawana jema,tutakufa vibaya tusipomshirikisha Mungu.
Indonesia
1
1
1
288
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Watu ambao wana kawaida ya kupekenyua mambo binafsi ya watu hawana mipaka. Atatafuta kama unacheat akikosa atataka kujua wewe na mama yako mnaongea nini, au na baba yako, na Siblings na marafiki. Usikubali.
Hika Lyimo@iamthatfemale

Ila mambo ya simu jamani ni private. Ndio maana inaitwa simu ya mkononii… mnapataga wapi ujasiri wa kuipekenyua simu ya ‘ntu’ 😅 unakuta msg ur man/woman labda anasemwa kwenye family group now thats not a good thing to see no? 😅 my point is kuna vitu hutakiwi tu kuona.

Indonesia
13
6
77
6.8K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@Addy_Adams Ni wale watu siasa ndio imempa daraja kufika mjini,hawezi ishi nje ya hapo.
Indonesia
0
0
1
295
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Jasusi wa Mbutu anapambania chama kuliko mke wa Machame,,, inatupa sana wasiwasi 😆
Indonesia
6
8
125
5.5K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@Maryftaddoh Kuna siri za familia yako,huyo mbaba hatakiwi kuzijua,zile hata nyie wenyewe familia hamzirudii kuziongelea,kufa nazo hizo.
Indonesia
0
0
0
31
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@fredkavishe Ofisini hadi mkuu wa kitengo Anatolea macho safari na huku ana maposho mlima.
Indonesia
1
0
6
862
Fred Kavishe
Fred Kavishe@fredkavishe·
Ma ofisini unafiki mwingi sana watu wanaweza logana kisa safari na per diem
Indonesia
39
64
544
27.5K
Gery
Gery@Gery_Gerrald·
Sasa mashabiki hapa wakimchukia Edmund atakua na lipi la kusema? Watoto wengine ni mafala sana.
Filipino
26
4
231
12K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@MarekaMalili 1-Mume/Mke 2-Usafiri/Kipando 3-Makazi/Nyumba 4-Watoto Hayo kama unayo,mshukuru Mungu amekupa dunia uenjoy.
Indonesia
1
1
20
1.2K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kuna Bro hapa kaniambia, Mungu hawezi kukupa Afya, Hela na Muda at the same time. Bado natafakari.
Indonesia
64
117
1.1K
33.7K
Baba'ke
Baba'ke@babaiftah·
@FamWorld2025 Uko ndani ya ndoa na kwa makusudi unaamua kuzaa na me mwengine?unakomoa au inakuwa imetokea kama ajali wakati wa kuhunika?
Indonesia
0
0
0
231
fifi_catering_service
fifi_catering_service@FamWorld2025·
hujui wanawake vizuri kijana tulia tukufundishe😆 unaeza mzalisha hao watoto non stop na kwenye hao watatu hakuna hata mmoja wa kwako mwanamke akiamua kuwa mshenzi hata umtoe wapi atakua tuu mshenzi
Rubani@cag_wa_mtaa

@fintanjr_ Unaoa Demu aliepo Dar😂😂😂😂 Toka chombo mkoani kizalishe Non Stop wakifika watoto watatu hana cha kukwambia akicheat atarudi tu

Indonesia
17
6
50
5.5K