mzururajonpoint
2.8K posts

mzururajonpoint
@Asha99538587
kikubwa pumzi
Zanzibar South and Central, Ta Katılım Kasım 2016
177 Takip Edilen103 Takipçiler

@babaiftah @Philosophe45141 😷😷sizani hapa duniani kama Kuna haki huyo tajiri simjui jamani mi najiongelesha tu apa😭
Indonesia

@Asha99538587 @Philosophe45141 Nakuelewa,japo namuombea Mungu amuoneshe njia ya haki bwana yule,malalamiko ni mengi juu yake.
Filipino

@Asha99538587 SI mfahamu kwa maana ya urafiki maana nimeiona hiyo habari TikTok tu japo walisharusha namna alivyoanza maisha mpaka kufika level ya kuwa mchimbaji mkubwa maana matajiri na dhuma ndio zao maana unakuta na wao wamesubilishwa pesa sehemu
Indonesia

@WideEdson Bidhaa tufanye zipo location ndo Tatzo ,,,apo linaanza location product inafata
Filipino

@Baradhuli2 Hii # kama ni chai imekolea mdalasini,giligilan,mchaichai,tangawizi nk.🙌
Indonesia

Afrika Mashariki hakuna kama Jaji Mohamed Chande Othman.
Jaji Mkuu wa zamani wa Tanzania, mwanachama wa timu iliyounda ICC, mjumbe wa Independent Expert Review ya ICC, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Uhalifu wa Rwanda na Timori Mashariki, na mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu.
Mpambe wa daraja la juu kabisa. Hakuna anayemfikia Afrika Mashariki yote.🔥

Indonesia

















