KengeWaMaziwa🇸🇦🇸🇦🇸🇦
17K posts














Ukijua namna ya kukusanya hela ndogo ndogo za Maskini ushawin maisha.


Bruno Fernandes is set to break the Premier League assist record for a single season 👀: Kevin De Bruyne: 20 assists 🅰️ 17 from open play Thierry Henry: 20 assists 🅰️ 20 from open play Bruno Fernandes: 19 assists 🅰️ 10 from open play


Kipindi tunasoma kulikua na kaUongo eti kuna mitihani wanatunga WANACHUO, hiyo inakua migumu balaa Kufika Chuo wanachuo wanashinda kitambaa cheupe na mabingwa wa kutoa mimba 🤣🚮 unajiuliza “hawa ndo tulikua tunaogopa eti wanatunga pepa?”

Manchester United have become everything they used to laugh at. 1. Celebrating top four places like Arsenal 2. Reckless spending to buy success like Man City (ila wao wanafeli) 3. Judging themselves basing on history like Liverpool. Mda unakwenda kasi Sana 😁😅😂.


@KINGLUDA18 hamtaki maoni ya Wadau 🤠🤠 maana kila show aliekalisha mkato ni ya clouds au kill music

Nyamisati


Ni kama umaskini mara nyingi huja na package ya chuki Yani watu wenye hela ngumu kuwakuta na chuki, kwanza anatoa wapi huo muda! Mungu atufungulie milango tufanikiwe kwenye utafutaji wetu. Tuondokane na chuki bila sababu. Sema umaskini ni mbaya basi tu.


Ukipanda SGR mabehewa ya “wananchi wa kawaida” watu wana furaha na wanapiga stori muda wote. Kule kwenye Business class watu wako busy, wengine wanafanya kazi; wengine wamevaa airphone. Wanawaza mambo makubwa, hawasemeshani hovyo


@privaldinho Ufalme sio serikali, serikali ya Uingereza inaongozwa na prime minister

Challenge time: Name a random footballer NO ONE ELSE will think of…









