MM 🇹🇿

5.6K posts

MM 🇹🇿 banner
MM 🇹🇿

MM 🇹🇿

@binmuellah

Katılım Mayıs 2018
1.3K Takip Edilen216 Takipçiler
MM 🇹🇿 retweetledi
Msouth small trader Herb’s
AHLU SUNNAH WALIJAMAA TWAAMINI MASWAHABA WOTE NI WATU WALIORIDHIWA NA MOLA WAO NA WAO NI WATU WA PEPONI! NA MWENYE KUAMINI MFANO WA WALIVYOAMIN MASWAHABA BASI ATAINGIA PEPONI TUNASEMA WALIYOSEMA NA TUNAABUDU WALIVYOABUDU NA KWAO NDO TUNAICHUKUWA DINI YETU! ALLAAH ATUONGOZE
Indonesia
0
2
11
194
MM 🇹🇿 retweetledi
ABUWSUHAYLAH
ABUWSUHAYLAH@ABUWSUHAYLAH·
﷽ *Masiku sita ya Shawwaal yanatosheleza kutokana na yale masiku Meupe* *Swali:* Je, ni sahihi kukusanya nia mbili wakati mtu anafunga siku moja, kwa mfano mtu akafunga moja katika zile siku sita pamoja na siku moja katika yale masiku Meupe? *Jibu:* Wakati fulani ´ibaadah moja inadondosha nyingine. Kutokana na ninavojua ni kwamba malengo ya ´ibaadah hiyo yanatimia katika wakati huo pasi na kuzingatia ´ibaadah yenyewe. Kwa mfano mtu akiingia msikitini hatakiwi kuketi chini mpaka kwanza aswali Rak´ah mbili. Akiingia msikitini na akaswali Sunnah ya Raatibah, basi inadondoka zile Rak´ah mbili za mamkuzi ya msikiti. Kwa sababu malengo ni kwamba asiketi chini mpaka kwanza aswali, jambo ambalo ameshalifanya. Vivyo hivyo mtu akiingia msikitini na akamkuta imamu anaswali; atajiunga na imamu na hatokuwa na haja ya kuswali Rak´ah mbili zinazoswaliwa kwa ajili ya mamkuzi ya msikiti. Vivyo hivyo mtu akifunga yale masiku sita ya Shawwaal. Masiku hayo yanafunika yale masiku Meupe. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema: “Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga masiku matatu katika kila mwezi na wala hajali ameyafunga mwanzoni mwa mwezi, katikati yake au mwishoni mwake.”[1] Lakini ikiwa unataka kufunga masiku Meupe, basi funga masiku siku ya Shawwaal mwanzoni mwa mwezi na yakifika masiku Meupe utayafunga. Hata hivyo masiku sita ya Shawwaal yanatosheleza kutokana na kufunga siku tatu. [1] Muslim (1160). *Muhusika:* Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn *Tarjama:* Firqatunnajia.com *Marejeo:* Majmuu´-ul-Fataawaa (20/14-15) *Imechapishwa:* 31/03/2026" firqatunnajia.com/masiku-sita-ya… ⤵️t.me/joinchat/R0tP2…
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
2
6
142
MM 🇹🇿 retweetledi
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Enyi mlio amini! Mcheni Allah, na semeni maneno ya sawasawa. ( Quran 33:70 )
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
1
8
85
MM 🇹🇿 retweetledi
ABUWSUHAYLAH
ABUWSUHAYLAH@ABUWSUHAYLAH·
Jama'ah at Tabligh - Part 1 - Mustafa George youtube.com/watch?v=G-Zw14… Best YT Alternative Apps # Vanced Official
YouTube video
YouTube
Tanzania 🇹🇿 English
0
1
1
108
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@Matallahkhamis @Granitinho85459 Acha uongo ndugu. Masheikh wote Tz wamesoma huko kwa Masufi. Shida ni kuyaishi hiyo Elimu. Mukiambiwa hii ni Sunnah hamtaki. Hii ni bidaa hamtaki. Yaani ni watu Matamanio
Indonesia
0
0
1
12
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@Granitinho85459 Elimu inafutwa vp bhana. Watu si wanasema Uwahabi ni Uyahud. Nenda kasome kwao ndo ujue kuna tofauti yoyote. Si umesoma Maalim? Nenda kathibitishe mweyewe hapa hutaelewa
Indonesia
0
0
0
9
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@Granitinho85459 Mm nakunasihi km uko TZ vituo vya Kisalafi viko Nchi nzima. Tenga muda kasome. Hapa hutaijua hii Manhaji. Allah akufanyie wepesi
Indonesia
0
0
0
51
Granitinho
Granitinho@Granitinho85459·
Labda ungechanganua maana ya neno salaf! na uhusiano wa salaf na saudia na utofaut wa usalaf wa mtume na huu wa saudia
Msta-Arab@WAZIRI_KILIMO

@Matallahkhamis @Granitinho85459 Y unautukana na kuusema vibaya ukiwa huujui! Ungeuliza kwanza maana yake kabla ya kuuchukia. Kiongozi wa salafi ni Mtume Muhammad swallallahu 'alaihi wasallam Wanaofata salafi swaalih wanafata wema waliotangulia akianza Mtume mwenyewe. Sasa wazazi wangu wameona kumfata nani?

Indonesia
2
0
0
50
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@EsirEid Bhana Munich wamepata Mayor Choroko. Hadharani wana Kiss na mishenzi inashangilia
हिन्दी
1
0
2
135
ABUWSUHAYLAH
ABUWSUHAYLAH@ABUWSUHAYLAH·
Hii nayo ni DINI? Aya mteteeni tena.
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
6
1
7
657
MM 🇹🇿 retweetledi
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Na Sisi hatukumjalia mwanadamu yeyote kabla yako ( Muhammad ) kuwa na maisha ya milele. Basi je! ukifa wewe, wao wataishi milele? ( Al-Anbiyaa #34 ) La hasha! Mola wetu Mlezi, ufanye mzuri mwisho wetu. Na hakika uzuri wa mambo uko mwisho.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
1
5
8
95
MM 🇹🇿 retweetledi
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Amesema; Mtume wa Allah! Sijapata kuona chombo chenye shari kubwa kwa mtu, kama mtu huyo kulijaza tumbo lake. Basi mtu na aweke utaratibu mzuri juu ya chakula chake, na aligawe tumbo lake sehemu kuu 3. Aache sehemu ya chakula, maji & hewa. Magonjwa yatatuepuka.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
3
6
109
MM 🇹🇿 retweetledi
ABUWSUHAYLAH
ABUWSUHAYLAH@ABUWSUHAYLAH·
*JE ANAWEZA KUROGWA, MWENYE KUSOMA QUR’AN NA ADHKAAR ?* Swali: Uchawi unaweza kumpata mtu ambaye anasoma Adhkaar za asubuhi na jioni na za wakati wa kulala  na kusoma Qur-aan? Jibu: Mara nyingi mtu akizisoma kwa kuhudhurisha moyo… bali uhakika wa mambo ni kwamba hasibiwi. Mtu akisoma Adhkaar kwa kuhudhurisha moyo, kumuamini Allaah (´Azza wa Jall) na kumtegemea Allaah hali ya kuwa na yakini hasibiwi. Ama akizitumia hali ya kughafilika au si mwenye kuamini kwa kukata kuwa zinanufaisha, bali anaona kuwa huenda zikamfaa kweli kama ambavo huenda zisimfai, huyu anasibiwa. Kwa sababu hakumtegemea Allaah na wala hakuamini kuwa Adhkaar hizi zitamzuia na yachukizayo. Yakini na kumtegemea kwake Allaah kumedhoofika. Huyu anasibiwa. Ama yakini yake ikiwa na nguvu na kumtegemea Kwake Allaah (´Azza wa Jall), hatosibiwa kabisa. Amesema (Ta´ala): وَمَن يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ فَهُوَ حَسْبُهُ “Yeyote anayemtegemea Allaah, basi Yeye humtosheleza.”[1] Hii ni ahadi kutoka kwa Allaah (Ta´ala). [1] 65:03 Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan Tarjama: Firqatunnajia.com Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) ajurry.com/safrawy/choroh… Imechapishwa: 03/03/2019 firqatunnajia.com/mwenye-kusoma-…
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
5
11
334
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@MwangaHJ @Rahim_Meghji Ideologies zake ziko kwenye Vitabu vyake. Nenda katafute Usul thalatha, Kitab Tawheed, Usul Sitta, Qawaida arba. Zengine hzo pauka pakawa
Filipino
0
0
0
23
Mwanga
Mwanga@MwangaHJ·
@binmuellah @Rahim_Meghji Sio sio ibn wahab. Je si ndio ideologies zake zinaongoza Saudia. Na je aliyoyafanya ibn Saud na mwenzie huyo babu yake na King of Jordan yapo kwenye Uislam. Na je Quran 5:51 inasemaje?
Filipino
1
0
0
28
بو سالم 🇹🇿
بو سالم 🇹🇿@Rahim_Meghji·
Hawa Salafi wa mtandaoni hata wajiveke usalafi miaka 500 hawawezi kufanana na Salafun Swaaleh...hata kwa unyoya! Bila Muhammad Bin Abdelwahab kupewa assisst na Muingereza leo tusingekuwa na hili kundi , binafsi nawaona kama wanywa kahawa wenzangu..
Indonesia
11
7
28
2.4K
MM 🇹🇿 retweetledi
Masjid Ibn Abbas
Masjid Ibn Abbas@Masjid_IbnAbbas·
📢 Update — Masjid Ibn Abbas Conference 📚 Join Us — April 17–19, in shā’ Allāh A weekend of beneficial knowledge and spiritual purification The Disease and the Cure by Imām Ibn al-Qayyim al-Jawziyyah (رحمه الله) 🎙 Taught by: @IbnAkhdar @hikmahpubs @anwarphilly @RahaBatts
Masjid Ibn Abbas tweet media
Català
0
37
56
2.7K
Shaaban Raashid
Shaaban Raashid@AbuJuwayriyyah·
Ninachojua kamera ziligunduliwa karne ya 19 lakin utakuta masufi wana picha za shekh Muhammad bin Abdilwahhab aliyeishi karne ya 18 sijui huwa wanazitoa wap Hii ni miongoni mwa propaganda zinazoendeshwa na mashia
Indonesia
3
0
8
109
بو سالم 🇹🇿
بو سالم 🇹🇿@Rahim_Meghji·
Shekhe huna clue yoyote kumbe halafu unajitia ujuaji mwingi, Muingereza alichangia pakubwa sana kuuangusha utawala wa Ottoman na kuzaliwa Salafi Movement zikiongozwa na Sheikh Ibn Abdelwahab. Hii ukiuliza Masheikh wenu watawaona makhawaarij 😃. YT ipo makala nzima kajifunze
بو سالم 🇹🇿 tweet mediaبو سالم 🇹🇿 tweet mediaبو سالم 🇹🇿 tweet media
MM 🇹🇿@binmuellah

@Rahim_Meghji 😂😂😂 Sasa Muhammad Abdulwahab alikutana wapi na Waingereza. Muogope Allah. Siku utaambiwa toa Ushahidi itakua kazi.

Indonesia
21
1
10
1.4K
MM 🇹🇿
MM 🇹🇿@binmuellah·
@Rahim_Meghji Sio habari za kulazimishana. Sisi tunasoma Vitabu toka kwa Imam Ahmad,ibn Taymiyah, Imam Zanjani, Al Askarani tunakuta Manhaji ndo hiyo hiyo. Nyie mnaleta stori Movement zimeanza kwa ibn Abdulwahab.
1
1
4
185