David Bwandilo
1.9K posts

David Bwandilo
@bwandilo_d
Mtanganyika/Mwalimu/Mwinjilisti/Simba SC
Mbeya, Tanzania Katılım Aralık 2022
360 Takip Edilen81 Takipçiler

@bwandilo_d Kitaasis ule unaouzingumzia ulikua ubinifu na kila mtu alikua na mtazamo wake kuna wengne wanaona goli tano wengne pambo tu haikua official reasult
Indonesia

@cleansheet_1 Hii ni jezi ya kuchezea uwanjani...!!?? Hilo moja...
Pili, mimi sizubgumzii ulimbukeni wa mtu mmoja mmoja, nazungumzia ulimbukeni wa kitaasisi. Jezi ya uwanjani kunakshiwa kwa idadi ya magoli...!!
Indonesia

@cleansheet_1 Kwamba ulimbukeni ukiwa ulaya unaigwa tu...!!?? Hebu nionyeshe jezi ya timu yoyote iliyopambwa na idadi ya magoli waliomfunga mpinzani wao...!!
Indonesia

@RevocatusMagum1 @bwandilo_d Hata wale walilalamikiwa Ile penalt, mashabiki wa Simba hamjawahi kuridhika mkifungwa
Indonesia

🚨JE, TANZANIA TUNA CHA KUJIFUNZA?
Leo New Amaan Complex haijashuhudia tu ubingwa wa Simba, bali imeshuhudia somo la uamuzi kutoka kwa jirani zetu wa Kenya. Mwamuzi huyu amethibitisha kuwa soka linaweza kuchezwa kwa ushindani mkali bila refa kuwa upande wa yeyote.
Msimamo wake wa kuruhusu mchezo uendelee na kutoogopa kutoa uamuzi mgumu dakika ya mwisho umewapa Simba SC haki yao na kuwanyima Yanga fursa ya kulalamika kuwa 'wameonewa'. Hii ndiyo 'Professionalism' tunayoihitaji kwenye Ligi Kuu ya NBC ili kukuza soka letu.

Indonesia

@pintinoh @RevocatusMagum1 Mechi ilichezeshwa na mmisri, Simba ikafungwa, wanasimba wakaridhika, wakakubali kufungwa kihalali. Jadili kwa facts, siyo kwa ushabiki...!!
Filipino

@RevocatusMagum1 Raha ya kushinda, matokeo yangekua tofauti leo angekua analalamikiwa kutotoa kadi kwa faul zilizohitaji kadi
Indonesia

Marekani imetutumia salamu za Muungano wananchi wa Tanzania. samia suluhu hassan na genge lake wamepotezewa kwa sababu wapo madarakani kwa damu na uongozi wao hautambuliki. Togo & Sierra Leone Marais wao wametambuliwa.
Kifupi: nchi zote wametajwa Marais na wananchi, isipokuwa Tanzania tumetajwa wananchi tu. Salama hizi zote zimetoka jana na juzi.
#TutaelewanaTu #WananchiWenyeNchi
#TanzaniaMassacre #SamiaMustGo #FreeTunduLissu



Indonesia

@hataweweunaweza @Sativa255 Mazingira yaboreshwe ili waendelee kujipatia kipato...!!
Indonesia

@hataweweunaweza @Sativa255 Unawafukuza waende wapi...!!??
Hata kama Makonda simkubali kwa lolote...!!
Filipino

@Sativa255 Hilo soko tatizo ni siasa.
Halmashauri iliwahi wafukuza wote hapo Makonda akiwa RC akapiga marufuku
Filipino

Mtu anasema Jo Kusaga si afanye watoto wake wawe Billionaires😂
Mtu ana fungu kwa media zenu zote mnadhani watoto wake watakosa 1B?
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
Joseph Kusaga anasema kwa Opportunities zilizoletwa na Internet angekuwa kijana leo basi angekua BILLIONAIRE kabla hata ya miaka 20🙌🏽
Indonesia

@bwandilo_d @gabyconscious Sahihi kabisa .
Ingawa naona hoja umeijibu personal .
Umeichapa Bias sana.
Pia umetoka nje ya point yangu.
Una haki ya msingi ya kikatiba ya Uhuru wa kujielezea na kutoa maoni yoyote yale.
Nimekubaliana na hoja yako mkuu .
Indonesia

Naona @MsigwaGerson anawalaumu maafisa habari kwa kutoitetea serikali haram ya Dikteta Idd Amin Mama.
Pumzi imewakata mpaka wanaomba backup kudadeki na bado tutawapelekea moto mpaka mteme ndoano.😂😂😂

Indonesia

@VisitMarangu @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Hayo mamlaka ya kumuamria mtu kutoa ama kutokutoa maoni umepewa na nani...!!??
Filipino

@VisitMarangu @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Kumbe ukiwa mzee unapokwa haki yako ya kutoa maoni...!!??
Ndiyo maana tunaitana nguchiro hii nchi...!!
Filipino

@bwandilo_d @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Wewe Lea wajukuu tu haya mambo ni ya gen z yatakuchanganya
Indonesia

@VisitMarangu @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Umemjibu kwa hasira na uchungu mwingi...
Tusaidie kupata upande usioeditiwa ili nasi itusaidie kutoendelea kuamini alichokiandika
Indonesia

@bwandilo_d @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Sijamshambulia, Hilda tunamuamini tunaamini msimamo wake kwenye kutetea haki. Lakini anapopost uongo na kupotosha kwa picha unayoona kabisa ni edited tusiseme? Kwanini? Kama ataweza kupost hivyo yeye akiamini ni kweli, mangapi wataedit ili kuwapotosha 7bu hawajui editing au lah?
Indonesia

@VisitMarangu @HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Mbona umekuwa na hasira sana, kwani ukitusanua kwa upole tusiojua editing na ukatuonyesha original si tutakuelewa vizuri sana...!!?? Hebu sasa tupatie ile isiyo edited tuione kisha tuungane kumshambulia @HildaNewton21
Filipino

@HildaNewton21 @IsackMahumbi @MsigwaGerson Vitu vingine ni editing bana jiongezeni! Kua mwanaharakati/mwanasiasa sio ticket ya kubeba tu kila ujinga, kushindwa kujua hata kitu kama ni editing au laah inaharibu reputation yako. Mtu anakuamini anaamni taarifa zako gafla anaona unapost ujinga wa kueditiwa! 🚮
Indonesia

@HzMnkai @gabyconscious Mtu hujifunza asichokijua. Ukiona watu hawajifunzi ukitakacho maana yake hawana haja nacho, haja yao ni hizo movie, ndiyo maisha yao. Wewe endelea kujifunza kupitia hizo Wi-Fi za bure
Indonesia

@gabyconscious Ndugu umpe hela ambayo hajaisotea sidhani kama hatokua tegemezi.
Sisi ni wategemezi tukipewa kitu cha bure ndo maana mtu hawezi kutumia Free wifi kujifunzia ila ataitumia kudownload movie na mziki
Indonesia

@Maestrowafact @sinahisa Natamani unipitishe kwenye kifungu cha sheria/katiba kinachothibitisha hiki ukisemacho. Bunge ni muhimili mwingine na swrikali ni muhimili mwingine. Unasemaje uongozi wa serikali ni wasimamizi tu wa muda...!!??
Indonesia

@sinahisa Nchi haiwezi kukaa bila usimamizi wa kila siku. Kwa hiyo, Mawaziri huendelea kubaki ofisini kama Wasimamizi wa muda hadi Rais mpya atakapoapa na kuunda baraza jipya.
Indonesia

Hizi ndizo athari za kukariri majina ya watu bila kujua sheria inasemaje.Waziri anatoka ndani ya Bunge na Bunge lilishavunjwa tangu zamani. Siku ya uchaguzi alikuwa raia kama wewe mkurupukaji
CHADEMA NI IMANI❤️(Nyegere Wa Afrika/Honey badger)@IkindaKani11826
Mjumbe wa Tume ya Chande 🤝🤝
Indonesia



