Sabitlenmiş Tweet
Chogorito
16.9K posts

Chogorito
@chogorito
TANGANYIKAN🇹🇿 Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.
Dar es Salaam Katılım Kasım 2021
406 Takip Edilen260 Takipçiler
Chogorito retweetledi

#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿
An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍

English

Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na ukimya tena.
Kwa dhamira yangu binafsi, leo nimejiondoa rasmi kutoka CCM na kurejea CHADEMA kwa kufuata taratibu zote za CHADEMA.
Kwa Watanzania wote, na wanachama wa CHADEMA wale walioumizwa au kukatishwa tamaa na msimamo wangu wa awali, naomba radhi kwa dhati pale nilipokuwa kinyume na matarajio yetu ya pamoja katika safari ya kutafuta haki, utu na demokrasia ya kweli.
Naam, binadamu hukosea, lakini dhamira inapozinduka ni wajibu kusimama upande unaouona kuwa wa kweli na wa haki.
Asanteni Sana.

Indonesia

@ayubu_madenge Ruud Van Persie aliwahi kimbilia UTD kuokoa maisha yake ya soka. Bruno next yr ananyanyua
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@Sativa255 Mbona umeenda mbali bro. muulize wapi alionekana akipiga hata danadana
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

Huyu KIBAKA anatoa milio anasema alikuja kuboost michezo TANZANIA na kutangaza UTALII sio kufanya siasa.
1- Tuonyeshe hata Acadermy moja ya mpira uliyotembelea au huyo JOYCE WOWOW (MATAKO NA MAHIPS MAKUBWA) aliyokutembeza.
Sisi tumeona umeenda BUNGENI, Umeenda Mbugani hilo soka ya "Youth" ulilokuja kuhamaisha ulikuwa unafanyia CHUMBANI na GIRISHONI?
2. Kuhusu kuwa balozi wa Utalii wa Tanzania, tangu umetua Tanzania umewahi kupost kwenye mitandao yako kuijulisha dunia upo Tanzania?
Au huo UTALII ulikuwa unautangaza kwenye kiuno cha JOYCE WOWOWO huko mbugani?
Watanzania sio wajinga-dozi imepelekwa kisawasawa siku hizi 3 sijui mbili ulizokaa zimetosha kukuanika dunia nzima hata bila kupost upo BONGO.
Usicheze na DAMU ZA NDUGU ZETU takataka wewe.

Filipino

@VungaEl74 Kwa hiyo Mwamunyange yule aliekuja Tabora nyumbani 1990's alikuwa ameandaliwa kuwa mkuu wa majeshi
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
Chogorito retweetledi

Anaandika MALISA GJ.
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura (70), amesema kwamba watu wengi wamemkimbia baada ya kuondoka madarakani, licha ya kwamba awali walikuwa wakinufaika na msaada wake alipokuwa IGP.
Akizungumza katika sherehe za kuapishwa kwa Mbunge wa Rwampara Mashariki, Dr.Charles Ngabirano jijini Kampala mwishoni mwa wiki iliyopita, Kayihura alisema kwamba kuondoka katika uongozi mara nyingi hubadilisha jinsi watu wanavyohusiana na wewe.
"Unajua, ukiondoka madarakani watu wengi wanajitenga na wewe. Hakuna mtu anayetaka kukukaribia. Kuna wakati unawapigia simu, hata wale uliowahi kuwasaidia, lakini hawapokei na hawakurudii. Wote wanakukimbia kana kwamba una ugonjwa wa ukoma,” alisema Kayihura.
Jenerali Kayihura alistaafu mwaka 2018 baada ya kuongoza Jeshi la Polisi nchini Uganda kwa miaka 13 kuanzia mwaka 2005. Katika utawala wake alituhumiwa kuelekeza polisi kutumia nguvu kupita kiasi, na askari wake walihusishwa na ukandamizaji wa demokrasia, mauaji ya waandamanaji, na mateso kwa viongozi wa upinzani akiwemo Dr.Kiiza Besigye na Robert Kyagulanyi (Bobi Wine).
Alituhumiwa pia kuwasujudia wanasiasa, na alionekana kama “enforcer” wa Rais Museveni, akitumia polisi kuimarisha utawala wake. Pia alihusishwa na mauaji ya ASP Muhammad Kirumira, aliyekuwa askari polisi na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu.
Hata hivyo, pamoja na kulitumia jeshi la polisi kama chombo cha kumtetea Rais Museveni na kukandamiza upinzani, alipostaafu alikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi na umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Alinyimwa dhamana na alikaa mahabusu hadi mwaka 2023, wakati Rais Museveni alipotangaza msamaha na kufuta kesi yake.
Sasa IGP Kayihura anasema tangu alipotoka madarakani watu wamejiweka mbali naye na hakuna anayetaka kumkaribia. Hata wale aliowahi kuwasaidia hawapokei simu zake. Anasema hali anayoishi nayo kwa sasa ni kama ya mgonjwa wa ukoma, kwani hakuna anayetaka kushirikiana naye.
Nini maoni yako??

Indonesia
Chogorito retweetledi
Chogorito retweetledi
Chogorito retweetledi
Chogorito retweetledi

@Sulphuric_aci17 Kwani sisi tumelipeleka duniani or lenyewe lajiuza pasipo nguvu
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
Chogorito retweetledi

Iran surprises the world with “suicidal artificial dolphins” that could change the rules of naval warfare!
After more than 20 years of secret development, Iran has unveiled unmanned maritime systems designed in the shape of dolphins. These systems blend into the water like real creatures and carry out precise combat missions—similar to kamikaze drones, but underwater.
#IranWar #Irán

English

@Young__guru Huyo nio alifanya nini maana kipindi chote anacheza alikuwa CAF anatoka round ya pili
Tanzania 🇹🇿 Filipino

Unamfahamu Haruna Nionzima vizuri au una tweet kwa mihemuko
Farhan Kihamu Jr@FKihamu
Haijawahi kutokea kwenye historia ya Ligi Kuu Bara Mchezaji kama Clatous Chota Chama, The Greatest ever.
Indonesia

@kikomasta Huyu jamaa waliompiga ni Msauz mwenzao wamejichanganya😅
Indonesia

Wa South Afrika wanaonea sana waafrika wenzao kuliko hata wazungu walio wachapa babu zao.Hii nchi wangepewa wa Israel kama nchi yao ya ahadi tu.
#BilaGanzi


Indonesia



















