Sabitlenmiş Tweet
Avit Khan
8.4K posts

Avit Khan
@cryptokingKhn
Psalms 23 II Freelance ll Crypto mentor ll Influencer Saint Augustine University II Linguistics & Geography
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2023
394 Takip Edilen575 Takipçiler

Hii kitu imenifikirisha sanaa..
Kuna siri gani ndani ya USLAM na utajiri?
Maana Tanzania 🇹🇿 nzima hakuna hakuna billionaire MKRISTO hata mmoja aliye shikiria uchumi au hela za utajiri waliandikiwa WAISLAMU pekeyao??
Rostam-muislam
GSM-Muislam
Said lugumi-muislam
Mo dewj-muislam
Bakhresa-muislam
Petel-muislam
Manji-muislam
Sett-muislam
Kama kuna MKRISTO anaye julikana kwa pesa hapa nchini Tanzania 🇹🇿 mtaje kwenye comment...💬

Indonesia

@EsirEid Kuna sehemu moja Pasians ilikuwa inaitwa Jet Pub inaanza kuchangamka saa 8, ugomvi muda oote na ukitokea ugomvi watu wana mapanga ukilewa ukisinzia tu imekula kwako bia hukuti mezani
Kuna Anko wangu siku moja alijichanganya kuchukua dem weeeeee kesho yake anakojoa usaaa 🤣🤣🤣
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Ukienda Club ambayo wanasubiri Hadi saa nane-Tisa huko ndio waanze kupiga ngoma za maaana…Amapiano na latest Songs…
Jua tu hakuna kitu humo 😅 vibaka,machokoraa na Milaya yenye Gono Sugu wachafu ndio wamejaa huko…
Club za watu wanaojielewa kuanzia saa tatu tu … wanaanza kukiwasha!
Indonesia

@EsirEid Tofauti kati SATIVA na Maria, sativa ni mhanga na maria ni mwanaharakati
Mwanaharakati kila siku anakuja na taarifa mpya ya siri either ya kweli au uongo.
Mhanga ni mtu ambaye anapenda sana kutumia tukio baya iliyomkuta kujadili mambo, kuwaaminisha watu wake
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Hivi kuna UTOFAUTI gani Kati ya MHANGA na MWANAHARAKATI???
utofauti ukiuelezea na mifano hai utakuwa umetishaa saana😅
Indonesia

Nimuogope kivipi?
Mm nasubiri majibu yake BUYOBE na mm nianze kuchora ninayojua kwenye hili.
Bado haijaisha hii. Wote wanaotajwa wapo kimya haimaanishi hatutaongea kabisa.😁
Tumepewa shutuma kwamba tuna njaa, sijui tunaishi mabwenini zote hizo mimi nitajibu.
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact
Mkubwa mbona kama unamgwaya Paratroper kuna mahali pale Hilda kakutag hujatupa ABC kabisa
Indonesia

@Legend_Mtikila Sasa wewe mtu humwon anavyonyoa pia taarifa nyet anazipata wapi bila kuwa kipenyo
Filipino

@millardayo Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo, Mwalimu Nyerere
Indonesia

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Vijana wa Tanzania kutokubali kutiwa maneno na kushawishiwa ili waharibu amani akiwasihi wailinde amani ya Taifa kwa kulindana wenyewe na kuambiana na kuhakikisha yaliyotokea October 29, 2025 hayatokei tena.
Rais Samia amesema hayo leo May 08,2026 wakati akiongea na Wananchi Jijini Dodoma kabla ya kuelekea Dar es salaam.
“Niwaombe sanasana kama kweli mmekusudia never again kama fulana zenu zinavyosema, niwaombe sasa mlindane wenyewe kwa wenyewe na msikubali kutiwa maneno kuharibu usalama wetu na nchi yetu kwa ujumla, lililotokea nyuma halikuwa jema kwa yoyote na mtego ule anaingia aliyekuwemo na asiyekuwemo”
“Wengi walikamatwa kwa mkumbo na walipokamatwa nikasema waachieni walishajifunza, niwaombe Vijana vijiweni na kwenye kazi yenu ambianeni yasitokee tena, yake yaliyotokea yametia doa Taifa, Tanzania ni nchi ya amani yaliyotokea yametutia doa, tuuoneshe ulimwengu sasa kwanba yaliyotokea ni mambo ya kupandikiza, ambizaneni na lindaneni kwamba yasitokee tena”
#MillardAyoUPDATES
Indonesia

@zed_officially @Mwinshehe07 Kwa haraka haraka kutokana na post yako hii bila shaka hujawahi miliki hata baiskel
Indonesia

@Festo_Mapanga @nassor_01 kwann iyo bebi ingiza kwa chini kdgo umeisoma kwa sauti tofauti na ayo maneno mengne
Indonesia

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imepokea na kuzingatia taarifa na maoni ya umma yaliyotolewa kwa nyakati tofauti katika wiki iliyopita na washirika wa maendeleo na serikali kuhusu Tanzania na matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025.
Taarifa ya leo Desemba 5, 2025 imetaja orodha ya washirika wa maendeleo na serikali ambazo ni pamoja na Ubelgiji, Canada, Denmark, Ujumbe wa Umoja wa Ulaya, Finland, Ufaransa, Ghana, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Slovakia, Uhispania, Sweden, Uswisi, Uingereza, Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, Marekani, na Wakfu wa Thabo Mbeki.
Tanzania imeeleza wasiwasi wake kuhusu yaliyomo katika matamko hayo licha ya ushirikishwaji wa wazi kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na wanachama wa Kikosi cha Kidiplomasia kilichoidhinishwa Tanzania, uliofanyika tarehe 28 Novemba 2025.
Tanzania imesema kuwa ingawa inatambua jukumu la jumuiya ya kimataifa katika kukuza demokrasia na maendeleo ya kijamii na kisiasa nchini, ni muhimu pia kutambua kuanzishwa kwa Tume ya Uchunguzi ambayo itachunguza vurugu za baada ya uchaguzi na kutoa ripoti hiyo na kubainisha kuwa matokeo ya ripoti hiyo yataleta uelewa wa matukio mabaya yaliyotokea na kuunda msingi wa ushirikishwaji wa kujenga wa siku zijazo.
“Tanzania inasakia kujitolea kwa ushirikiano wa kujenga wa kimataifa kwa ajili ya amani na maendeleo na kwa heshima inawaomba wadau wote kuruhusu mifumo ya kitaifa kutekeleza na hatua zilizochukuliwa na serikali.” imesema sehemu ya taarifa ya Tanzania.
“Zaidi ya hayo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inataka kuwahakikishia jumuiya ya kimataifa na washirika wa maendeleo kuhusu utayari wake na kujitolea kwake kuendelea kushiriki katika masuala yote yenye maslahi ya pande zote, kama washirika sawa”— imesema
#KitengeUpdates

Indonesia

#TajiriLaKihaya
Naam naaam naaam…
KIJANA wa CHUO anataka kushindana na Sisi wazee wa kazi chafu😅😂🙌🏽
Filipino

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeendesha operesheni maalumu ya msako na doria katika maeneo ya milima na mapango yanayotajwa kuwa maficho ya wahalifu, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kutokomeza uhalifu mkoani humo.
Akizungumza wakati wa doria hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa, amesema operesheni hiyo ilianza rasmi Novemba 29, 2025 ikihusisha maeneo ya Kata za Mkolani, Buhongwa, Isamilo, Mhandu, Igoma Kati na Mahina Wilaya ya Nyamagana pamoja na Kitangili, Bwiru Ziwani, Kawekamo na Ibungilo, Wilaya ya llemela.
Aidha, Kamanda Mutafungwa amesema jumla ya watuhumiwa 12 wamekamatwa wakiwa wamejificha katika mapango hayo huku wakiwa na vifurushi vya bangi na kuongeza kuwa wanaendelea kuhojiwa na watafikishwa kwenye vyombo vya sheria baada ya upelelezi kukamilika.
Pia amesema operesheni hiyo ni endelevu na Jeshi la Polisi litaendelea kushirikiana na wananchi kuhakikisha ulinzi na usalama vinadumishwa katika Mkoa wa Mwanza.
Sambamba na hayo Kamanda Mutafungwa ametoa wito kwa wakazi wa maeneo ya milimani, misituni na jirani na mapango kutoa taarifa mapema endapo watabaini uwepo wa watu wasiowafahamu au wanyama wakali ili hatua zichukuliwe mara moja.
Endelea kuwa karibu na mitandao yetu ya @crowntvtz @crownfmtz na sikiliza 92.1 Mhz au Redio Box/ Garden na kutufuatilia live YOUTUBE channel ya CROWN MEDIA.
#CrownMedia #HapaNiNyumbani


Filipino















