Dickson Eremiah.
8.2K posts

Dickson Eremiah.
@dicksoneremiah
God's Prosper|Thinking the Eternity that brings us together with Yahweh|Email:[email protected]|Proudly TZA. The Bible is for the whole Universe.
Mwanza, Tanzania Katılım Mart 2014
25 Takip Edilen131 Takipçiler

@Aria_570 500÷1/2+50=
500×2/1+50=
500×2+50=
1000+50=
1050
🤗🤗🤗😂😂😂

@TBoundBuses Mt 03 ni 300cc kwa hiyo bei iwapo ni mtumba ni sahihi ila changamoto ni usajili na clearing kule ports
Lakini JP bei zake ziko chini sana baadhi ya machimbo issue ni regi. na revenue
Filipino

@waziri_mbeya98 Huku sii Ugweno kutokea Lushoto kweliiiii
Nawaza tu mjukuu wangu
Indonesia

@AmRosalinee Baada ya kuotesha kila mti ukawa haukuwi ikabidi wajengee cement
😂😂😂😂😂
Wajukuu watasema umepandwa hapooo
Indonesia

@dicksoneremiah @mananajr_ 😃😃 mzee tena jamaa akiwa na chupi tu
Indonesia

@Anglina_2210 Theresa
Taivina
Tina
Tonia
Tasha
Trina
Threa
Suomi

@keengeorge44 @SWEBE_10 Mchoke wenyewe chuma inabakia active.
😂😂😂😂
Indonesia

@SWEBE_10 Hii chuma niwe nayo porini😅😅. Niliwai kuishi na hardtop moja site fulani. Niliitesa mpaka nikaishiwa mbinu za kuitesa,nilikua naitumia kuanzisha njia kwenye vichaka😅, naipaki kwenye magema uko inakaa kama imekunja nne😅. Ulikuwa ni utoto,lakini chuma haikuwahi kuzingua.
Filipino

@kirigitim @TBoundBuses Bila shaka sii Johamvia tu tu hata kule kwenye busbora hii kitu iko hivyo gari imeandikwa saa moja jioni au mbili usiku lakini stand inatoka saa tatu usiku mpaka
Indonesia

@Mbunge_ @mananajr_ Oyaaa wajukuu tochi saa nne after breakfast
😁😂😂😂😂
Indonesia

@mananajr_ Nakumbuka ilikua 2008 JJ Mungai Sec, kuna mtoto mmoja wa kishua alikuja nayo skuli, Bas wazee km watano hiv tukaivamia 😃😃😃 weeee na hile barid ya Mafinga ilikua baada ya breakfast, tukaanza kuvua nguo, mara muun mmoja katoka na tochi eti anaona giza. Tulipigwa suspension mwez
Filipino

@mananajr_ Hii sito hisahau , wakati waudogo nilikua nacheki mabro wanatia mdomo nikajaribu, aise niliona dunia inanzunguka nakaoga njiani mchana kweupe dah😁 sikuwahi kurudia
Indonesia
































