Mr Nyongololo

646 posts

Mr Nyongololo banner
Mr Nyongololo

Mr Nyongololo

@diojariko

nyongololo

Katılım Kasım 2021
714 Takip Edilen77 Takipçiler
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Mzee Mussa Zungu akipima pamba zake mpya za Uspika kwa ajili ya maandalizi ya kukutana na Kamati za Bunge kabla Bunge la bajeti kuanza
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
22
13
328
30.6K
BARADHULI🇹🇿
BARADHULI🇹🇿@Baradhuli2·
Jitu aliwezi hata kuongoza familia yake limeshindwa inalelewa na wazungu ndo atakuja kuiongoza Tanzania @mangekimambi upigwi paipu vizuri ndomaana akili mgando. Huyu Chiba Labda Awe Rais Wa Mashog🌈
BARADHULI🇹🇿 tweet media
Indonesia
32
15
48
3.4K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Oya vijana, fellow hustlers tuamke, tuamke tukapambane! Kuna wenzetu jana waliamka na kwenda kupambana, wakafanikiwa. Zamu yetu ni leo. Hakuna cha kusubiri, hakuna cha kuahirisha ni kuamka na kusaka fursa. Maisha yanajengwa na wale wanaothubutu kutoka na kupambana kila siku.
Indonesia
8
12
44
1.1K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Katika sehemu Rais Samia amefanya makubwa na hayazungumzwi ni sekta ya ardhi kama ni mdau wa ardhi utakuwa unanielewa kwahiyo ilikuwa lazima ni mtaje kwa kumpongeza. Vipi lakini umepata madini sio.?
Babadancila@Babadancila

@Thommunkondya Kaka nilikua nakufuatilia kwenye haya mahojiano, nikabet na jamaa nilikua nao kuwa lazima umtaje mama na kweli mkeka wangu ukatiki.

Indonesia
12
1
10
2K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Usiposhukuru kwa kidogo, huwezi kupata kikubwa.
Hilda Newton tweet media
Filipino
38
70
732
22K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Ukiachana na MwanaChuo, MwanaJeshi, MwanaSheria, na MwanaSiasa ni Mwana gani Mwingine Unamfaham?😂
Filipino
250
57
356
21.7K
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Anaitwa Shekhe Sule tangu aanze kutumia MKOLOFYA anatema Nondo tupu😖 Msikilize🫱
Indonesia
22
20
187
16.8K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Tunaye Amiri Jeshi Mkuu amepatikana kikatiba na kisheria. Mimi nilishiriki uchaguzi sikuridhika na matokeo lakini nimepokea, Rais Samia ni Rais halali kwa mjibu wa Katiba na Sheria za Tanzania. Watanzania tunamtambua, Tunamheshimu, Tunamtii na tunamlinda. Rais ndio nchi. Mkitaka rais wenu subiri 2030 mshiriki uchaguzi, hakuna njia ya mkato. Mlijaribu kupindua tarehe 29 oktoba 2025 mkasababisha maafa makubwa. Jaribuni tena mtashughulikiwa viongozi hukohuko mlikojificha….
CWPedro@cw_pedro

Tupate sasa Amir-Jeshi-Mkuu asiyetiliwa SHAKA kapatikanaje. Vinginevyo tuambiwe kama ni vyombo vyetu vya DOLA viliamua 'kujichagulia' AJM wao wenyewe kinyume na KATIBA ya Jamhuri.

Filipino
180
22
82
31.4K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
"Hakuna mtu yeyote wa kunitoa Yanga. Mimi Yanga naijua kabla ya wote wanaonisema saizi." - Haji Manara, Mwanachama Yanga SC
Indonesia
5
6
169
9.8K
Djkid_b_____
Djkid_b_____@BlessdGrooveKid·
Maskini sa nani atampikia Msusa🥹
Indonesia
33
31
170
15.9K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Namwambia mtu hapa huu ni mradi wa Tanzania huko kishatu,Shinyanga anabisha anasema ni china,aya bhana nyie endeleeni kujidharau 50MW zinaenda grind ya taifa kutokea kwenye jua. Sisi ni bora kuliko mataifa mengi sana afrika bahati mbaya hamfatilii wengine. Ni vile pia viongozi wetu wengi hawajui PR. Tunasogea dunia ilipo.
Thom Mnkondya tweet media
Indonesia
64
10
128
18K
Mr Nyongololo
Mr Nyongololo@diojariko·
@Binamu01 AY ajawahi kutoboa kimataifa,maybe ametoboa kuwa chawa amna kitu hapo.
Indonesia
0
0
3
2.5K
CineBlast🍿
CineBlast🍿@Binamu01·
Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba mchizi alitoboa kimataifa kwasababu ya uwezo binafsi wa kimziki pekeake.
CineBlast🍿 tweet media
Indonesia
37
22
450
42.2K
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 MANGUNGU HANA ANACHO KIJUA - Diwani wa Kariakoo na Msemaji wa Zamani wa Vilabu Vya Simba na Yanga SC, Haji Manara. [🎥 Crown FM] #MeaMswahiliUPDATES
Indonesia
2
3
61
6.3K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Hivi boniyai aliendaga wapi mbona hata kwenye kesi za lissu simuoni walla humu akiposti chochote wakuu..?💔
kibaha_finest tweet media
Filipino
83
14
195
35.8K