No Alternative to the Best
Nafaka Rice
Mchele Mzuri wenye ladha tamu
Unasafirishiwa Mzigo wako kwa uaminifu mkubwa
2500/= Grade I
2300/= Grade II
Kwa Kilo moja
0714047240
#NafakaBestForYou
Boss kaja shamba bila kumtaarifu msimamizi wa shamba 🤣
Kumbe msimamizi katoroka kaenda kusalim mke Ila kaacha kazi saafi Mpunga unayeya.
#SinyelaSchmesMbaraliMbeya
Kuna Muda mambo yakiwa yanataka kuharibika unatumia njia za jadi kuokoa maisha ya Mmea,Hapa kuna Yaramilar winer,sukari,Mult K ya Balton,Calsium carbonate.Vyote tumechanganya kwa pamoja Ili Kuokoa maisha ya Mche flani wa nyanya shambani kwetu.
Kuna binti mmoja humu nilitaka kufanya nae kazi baada ya kuona ni mtu anaye jielewa na anafaa kwa position niliyomkusudia
Nikamtafuta na kumuomba tuonane baada ya ramadhan kuisha kwa maongezi zaidi ili nimpe ofa hiyo
Jana napokea screenshot za jumbe zake kwenye group lao anadai namtaka kimapenzi😆
Wallah kudeal na kiumbe kinaitwa mwanamke ni kazi sana🙌
Wakulima, tupige hesabu kidogo.
Unavuna mazao mwezi wa tatu au wa nne, halafu unatunza ili uje kuuza mwezi wa 10 au 11.
Hapo, faida ikiwa inazidi sana inaweza kufikia 200 TZS kwa kilo moja.
Ushauri ni huu: kwanini usiuze hayo mazao tu, halafu ukawa unanunua na kuuza tena?
Haya tunayoyaona watu wanaandika na ku-comment mitandaoni (Kujadiliana pamoja) ndiyo yale yale wanayoyafanya kwa vitendo mashambani kwao.
Na hiyo ndiyo elimu halisi ya kilimo (Elimu ya Ugani).
Sasa wewe endelea kupuuza na kusema ni kilimo cha mtandaoni.
Biashara ambao ni NGUMU kuua MTAJI kwa bongo ni nafaka yaani mchele na sembe
Mtaji wake ni namna we unataka uanze
Demand yake haina mfano ni ya KITAIFA
Ndiyo mazao yana demands more than 60%+ local ndani ya nchi ( mazao yanayoliwa zaidi nchini) mwaka mzima hayana msimu.
Fremu ya kwanza ni kabla na Fremu ya pili ni baada ya kupulizia kiua gugu (selective herbicide) njia nzuri ni kupalilia kwa mkono ila ukiwa na Ekari kuanzia 40-50+ na vibarua kuwapata ni changamoto 👉Ishi na herbicide.
I witnessed something so beautiful today 😍
Three sisters(students) on their way back from school stopped by to clean the mosque without been asked(the eldest washed both gender toilets). May Almighty Allah reward them abundantly 🤲🏼🥰