Dullyco

1.2K posts

Dullyco banner
Dullyco

Dullyco

@dullyco

@dullyco.

Africa Katılım Şubat 2020
5.1K Takip Edilen1.9K Takipçiler
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@AnnaTibaijuka @HecheJohn Huyu mama atakua nyuma ya Yale yaliyotokea 29 maana huwezi kukaza kwa kuendelea kutengeneza mgawanyiko kipindi wewe unatuaibia Yale mabilion yetu ya escrow ulimuona bongo zozo kaongea sasa inabidi hiki kizazi tukikumbushe wizi wako wa escrow
Indonesia
4
0
0
723
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
NAMSHUKURU BONGO ZOZO KWA MAONI NA USHAURI WAKE MZURI WA KIZALENDO NA UPENDO NA MAARIFA. TUNGEMSIKILIZA TUNGEPIGA HATUA KATIKA MENGI IKIWEMO KUMUACHIA TUNDU LISSU ILI KULILETA TAIFA PAMOJA. WE NEED TO MOVE ON.
Indonesia
113
585
2.2K
40.7K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@PMadeleka Mwambieni warioba aendelee kuwa Mwanaharakati atasikia moto
Indonesia
0
0
0
342
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Hongera sana Mzee STEPHEN WASIRA, Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, kwa MTOTO WAKO ndugu KAMBARAGE MASATO WASIRA kuteuliwa KUGOMBEA UBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI kwa tiketi ya CCM. Pokea 🌷🥀💐🌹 yako.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
38
20
218
25.1K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@giboretz Kwani wanaharakati wanasemaje kuhusu hili tuwauklize kwanza 😂😂
Filipino
0
0
0
16
TheProtégéTZ
TheProtégéTZ@giboretz·
Donald Trump🇺🇸 amesema kuwa Zambia italazimika kutoa upendeleo kwa Marekani katika upatikanaji wa madini yake — la sivyo itasitisha kwa kiasi kikubwa kwa ufadhili wa huduma za afya, jambo litakaloathiri mamilioni ya watu. 😲 Nchi hiyo ya kusini mwa Afrika inapaswa kuamua leo kama itawapa kampuni za Marekani upendeleo wa kupata madini yake. Uamuzi wa kutotoa upendeleo huo unaweza kusababisha kupotea kwa msaada kwa watu milioni 1.3 wanaotegemea ufadhili wa Marekani kwa matibabu ya HIV. 🚨 Hivi kwanini nchi za Afrika zisipe ruzuku haya makampuni yanayotengeneza dawa kama hizi wawekeze moja kwa moja nchini kwao kuliko kuwa wanasubiria misaada kutoka Marekani🇺🇸
TheProtégéTZ tweet mediaTheProtégéTZ tweet media
Indonesia
21
9
104
9.8K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Luckiest255 Wenzie wanaongelea ripoti ya CAG na kuichambua ye anamuongelea mwanamme mwenzie na kumchambua khaaa 😤
Filipino
0
0
0
5
Lucк
Lucк@Luckiest255·
Tafsiri fupi ni kwamba mke wa mchungaji anajiuza na anajisifia mbele ya umati.
Lucк tweet media
Indonesia
1
0
2
146
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Sativa2555 Mtu akiwa hatombi akili huisha nakua na roho mbaya huyu mzee ukhanisi unamsumbua
Indonesia
0
0
0
7
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
Wakatoliki walishakataa Unafki Tanzania tunajivunia sana Father kitima Sikiliza hii 👇🏿 Tupate watu 10 wenye uthubutu kama father kitima hii nchi tusinge hapa Tulipo fikishwa na joka la Kijani. Repost 670 za father kitima 🙌🙌
Indonesia
18
121
532
6.6K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Sativa255 @The_Boss_Boy_26 Inakuaje mkristo kuwa na uchungu na uislam ambao anaupiga vita kila siku. Sentesi ya kwanza unajifanya unawasemea waislam kuhusu bakwata sentesi ya pili unaisema vibaya dini sio waislam je tujueleweje we mfilwaji? Hii cont mliyopewa na kanisa kuutukana uislam
Indonesia
0
0
0
109
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Yani BAKWATA wanaona waitumie siku ya EID kumpongeza MAFWELE na DIKTETA JIKE. Tukisema hawa MIKUNDU walishinda njaa siku 30 tutakuwa tunawaonea? Hii dini kama PEDI YA SAMIA TUU.
Indonesia
85
120
645
30.7K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Jaguar_455 Huyu mnaemtetea leo ashike madaraka mnafikiri atawaacha Salama nyie wanaharakati uchwala aache kusimama na chama chake? Jueni kuwa mtaendelea kufungwa na kusumbiliwa tu hakuna rais anayependa ujinga hata Kama mmemtrendisha akapata urais, mmesahau enzi za jiwe
Indonesia
0
0
1
568
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Jeshi la mtu mmoja, kuna siku mtaelewa movement zake tu.🫡 📸
JAGUAR. tweet media
Polski
25
24
463
18.1K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Jaguar_455 Ile project ya kanisa iliyomshinda lisu na pole pole ye ndo kabebeshwa au kuna nyingine 😀
Filipino
0
1
2
364
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Huyu mzee ana project kali sana, ipo siku atawashangaza watu, muda unawadia.
JAGUAR. tweet media
Indonesia
32
45
996
48.4K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@FanuelIddy Fungua Nawe yako uwatakie wakristo wenzio huo mfungo mwema.
Polski
0
0
0
15
Pharm Iddy 💊💉
Pharm Iddy 💊💉@FanuelIddy·
Naomba niulize mnielekeze kistaraabu bila makasiriko. Azam TV wanawateja dini zote lakini kipindi hichi cha mfungo wanawatakia mfungo upande mmoja ni kwanini?
Indonesia
71
20
417
33.4K
Jack upepo
Jack upepo@kikomasta·
Marekani yaitaka mahakama ya kimataifa (ICC) idara ya OTP kukusanya ushahidi wote dhidi ya Iran na Ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na mashambulizi ya kulenga raia wasio na hatia. Hii inawezekanaje Wadau? #BilaGanzi
Jack upepo tweet mediaJack upepo tweet media
Indonesia
33
8
122
6.4K
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Larry madowo kuhusu 🇮🇷 hapati taarifa au bado yupo likizo
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Filipino
27
6
144
18.9K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@HildaNewton21 Kumbe ni mnyilamba ndio maana 😂😂 huyu hata ukimkata kichwa ukakiweka pembeni kitaongea tu ndio asili yao 😂😂 kingine yeye na chadema huwezi watenganisha
Indonesia
0
0
0
547
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
“Nimesoma nna PhD ya sheria, ninavyoongea msione naropoka”-; Padri Kitima.
Indonesia
21
273
1.5K
35K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@joeselasini Yani akili yako ndogo unashindwa kuelewa kuwa hao wote ni watoto wa ma rais, watoto wa marais lazima wawe marafiki we Kaa hivyo hivyo sasa
Indonesia
0
0
0
11
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Hata kama ingekuwa sio picha za mwaka huu; unajiuliza huyu mtoto wa Rais ana uhusuano gani na mkuu wa majeshi ya Uganda? Awali zilionekana picha kati yake na Museveni. Tukasikia majeshi ya Uganda yalipenyezwa TZ 29.10.2025. Yupo juu ya vyombo vyote vya dola? Anatumwa na nani?
joseph_selasini tweet media
Indonesia
14
31
165
7.6K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
Chama cha siasa cha kanisa kinatumia nguvu sana kutetea kanisa Lao.😂😂
Filipino
0
0
0
10
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Royal_Tv_Tz Yani askofu Kaumia dini yake kugawika ila yeye anahimiza taifa kugawika 😂😂
Indonesia
0
0
0
18
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Njombe, Mhashamu Eusebio Kyando, amesema katika siku za karibuni kumekuwa na jitihada za baadhi ya watu kutaka kuwagawa waumini wa Kanisa Katoliki, akisisitiza kuwa juhudi hizo hazitaweza kufanikiwa. Akizungumza leo mkoani Njombe wakati wa Misa Takatifu ya kuukaribisha Mwaka Mpya, Askofu Kyando alisema Kanisa Katoliki limejengwa juu ya misingi imara ya umoja isiyoweza kugawanyika. “Sisi hatugawiki. Sisi ni kama namba witili; huwezi kugawa namba witili ukapata matokeo sahihi. Kanisa Katoliki si namba shufwa. Namba yetu haigawanyiki kirahisi,” alisema Askofu Kyando akifafanua kwa lugha ya mfano. Ameongeza kuwa Kanisa Katoliki ni Kanisa Moja, Takatifu, Katoliki na la Kitume, hivyo mtu yeyote anayejihusisha au kutumiwa kuwagawa waumini anajiingiza katika matatizo ya bure ya kiroho na kujitakia athari zisizo na tija katika maisha yake ya imani. Aidha, Askofu Kyando amewataka waumini kudumisha umoja na mshikamano, akisema Mkatoliki wa kweli anayelipenda Kanisa lake hawezi kufikiria kuligawa, bali hufikiria namna ya kujenga na kuimarisha umoja aliouanzisha Yesu Kristo mwenyewe. “Hatugawanyiki. Mtu akisema amefanikiwa kuligawa Kanisa Katoliki, ukweli ni kwamba amejitenga mwenyewe na kuasi. Hajagawanya Kanisa, bali ameanzisha mwelekeo wake binafsi. Wanaodhani wanaweza kutugawa wanapoteza muda, kwa sababu Kanisa Katoliki haligawanyiki wala haliwezi kugawanyika,” alisisitiza Askofu Kyando. Kauli hiyo ya Askofu imekuja wakati Kanisa likiwa linawahimiza waumini kuanza mwaka mpya kwa kudumisha umoja, imani na upendo miongoni mwao.
Indonesia
3
35
157
12.3K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@Kipanga1986 Unataka upangiwe hakhi na mtu ambae ye hakhi yake ya msingi ya kuoa amejinyima harafu akutetee wewe hakhi gani? PHD za kupigia mgalala harafu unajiita umesoma. Nashukuru kuwa muislam.
Indonesia
0
0
0
38
Kipanga
Kipanga@Kipanga1986·
Wanatuambia sisi sio wasomi kisa wao wako na PhD za Divinity na Theology, sijui tuko na njaa maana hatutoi matamko tukiyanasibisha na watanzania wote kana kwamba wametutuma Sikiliza shekh👇Haki yetu kubwa ni haki ya kumuabudu Allah (SWA)
Indonesia
21
9
56
5.7K
Dullyco
Dullyco@dullyco·
@HabarimpyaTv Sindano iliingia mtasikia moto tu si mnajifanya nyie ni spesho spesho
Indonesia
1
0
0
138
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv·
Kujaribu kuligawa kanisa Katoliki ni kujitafutia laana, sisi ni namba Witiri hatugawanyiki" ASKOFU KYANDO WA JIMBO KUU LA KANISA KATOLIKI NJOMBE.
Indonesia
12
96
669
10.7K