Edward

72 posts

Edward

Edward

@engassa08

Katılım Eylül 2024
53 Takip Edilen5 Takipçiler
Edward
Edward@engassa08·
@SonOf99_ @EsirEid Ndo maana nimekwambia kama hutaki kutumia vitu vya makafiri uza na simu,maana zote ni za makafiri
Indonesia
0
0
0
7
Edward
Edward@engassa08·
@Isiakamunga13 @EsirEid 1. Unalindaje brand wakati mtu kashakufa? 2. Unapataje aibu wakati unajua ukiingia vitani ni kufa au kupona? 3. Wangekua na fedha za kuchezea maskini wasingekuepo nchi zao
Indonesia
1
0
0
4
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Benjamin Netanyahu alifariki tarehe 8 Machi. Hii ndiyo sababu Yair Netanyahu (kijana wake) alichukua mapumziko yasiyo ya kawaida ya siku 7 kwenye X, kwa ajili ya kipindi cha maombolezo cha Kiyahudi kinachoitwa shiva. Aliandika mara ya mwisho tarehe 8 Machi, kisha akasubiri siku 7 kamili hadi tarehe 15 Machi ndipo akaretweet post😅
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
66
21
401
34.4K
Jefesanto Jr
Jefesanto Jr@Isiakamunga13·
@EsirEid Ukute wanatengeza clone then wazike kimya kutuaminisha hajafa😂
Indonesia
1
0
1
96
Life_Of_Nobody
Life_Of_Nobody@SonOf99_·
@EsirEid Is it 2026? Kwanini tunatumia kalenda ya makafiri Tajiri
Indonesia
5
0
2
436
maarifa
maarifa@maarifa123·
@BesteNicolas Shetani hana nafasi ya kujitetea, ile ni roho
Indonesia
2
0
1
153
kijana mpole
kijana mpole@BesteNicolas·
Kwanini Shetani hajaandika kitabu chake na Yeye ajitetee mule tuone hoja zake 🤔
kijana mpole tweet media
हिन्दी
41
8
122
6.4K
Joetz
Joetz@joetz2010·
@EsirEid Sasa hivi, labda kiongozi wao aliyebaki ni allah! na yeye akitia tu pua hapa Duniani, Netanyahu anakula kichwa- ndipo mtajua kuwa allah ni boya tu.
Indonesia
2
0
7
290
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Iran si dhaifu kama watu wanavyofikiria. Maafisa wakuu wanapouawa: mfumo unaendelea kusonga mbele. Wamejenga mipango ya urithi wa uongozi hadi ngazi ya Saba kwa kina. Kila nafasi muhimu tayari ina watu Saba wa kuchukua nafasi hiyo. Haya yote yamepangwa mapema kwa sababu mwendelezo wa uongozi umejengwa ndani ya mfumo wenyewe. Hata kupoteza viongozi hakuvunji muundo wa mfumo. Badala yake, wanaamsha ngazi inayofuata. Hiyo ndiyo maana halisi ya Resistance. Hebu fikiria hadi kufikia leo Mawaziri na wanajeshi wakuu wangapi wameuawa,hata kabla ya hii Vita? Mwaka jana walipoteza hadi Rais wao hawa kwa ajali ya ndege😅 ila IRAN ipo tu! Mtu akishateuliwa Cheo chochote kile Tayari anajua muda wowote atauawa…
Indonesia
55
13
150
9.2K
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Online nimefanya kazi na watu wa mataifa mengi ikiwemo Argentina, Nigeria, Kenya, Ghana, India, US, UK, Canada, Indonesia, China, Bangladesh nk Niseme Tu Tanzania ndio hakuna muamko WA kitu kinaitwa maokoto ya online. Katika mataifa yote hayo hapo na mengine nimependa spirit ya Bangladesh Bana Hawa wanapiga kazi kama mchwa, Raha kubwa wao hawaangalii inalipa TSh ngapi Imagine logo za $2 wanaenda Websites za $50 Pia wako advanced kwenye mambo mengi ambayo hapa hatuwezi solve Nakuambia hivi watu kama Wakenya au Nigeria Sio kwamba wengi wao wanajua digital economy, HAPANA Lakini Wana muamko mkubwa Sana, ukimwambia kuna deal la $100 hapa Kwa siku anakumbia leta Mtanzania ukimwambia hivi utasikia oooh .....unataka kufanya watu fursa ..... Haiwezekani ..... Hizo ni story ...... Scam Na mambo mengine mengine, Inshort hatuna muamko mkubwa kwenye haya mambo Nani alituaminisha online NI sehemu ya kusoma udaku?
Indonesia
14
12
114
7.2K
Ally Yusuph
Ally Yusuph@lii4265·
@Psiteshio1 Sasa unaumia nn si upige hizo hela kimya kimya utulizane au why unatulazimisha na cc tuamke while tumelala ziiiiiiii
Filipino
2
0
0
107
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
`CYBER WARNING ⚠️ 🎭` WIZI MPYA JAMANI KUWA MAKINI💔😭 Kuna mbinu mpya ya matapeli wamekuja na kuwalaghai watu inaoitwa 'IMERUKA'. Tapeli hukutumia pesa kwenye simu yako akitumia namba yake. Endelea..👇
Daktari Wa Manesi 💉💊 tweet mediaDaktari Wa Manesi 💉💊 tweet media
Filipino
35
43
194
53.2K
Edward
Edward@engassa08·
@Mwatexi @Wutangtz @1960Remija Ww jinga kweli hyo nafasi imeletwa na nani,au umeanza kushabikia mwaka jana, Kwan ukisema ukweli utafanyaje?
Indonesia
0
0
0
4
MWATEXI
MWATEXI@Mwatexi·
@Wutangtz @1960Remija Acha blah blah wewe,Makolo uwezo wa kuipeleka ligi nafasi ya Tano waitoe wapi?
Indonesia
1
0
0
3
DJIGUI DIARRA 🐐
DJIGUI DIARRA 🐐@1960Remija·
Nilijua mechi ya TRA v Kolo ingechezwa leo asubuhi kama utaratibu ulivyo kwa timu zingine. Mna uhakika pale TFF & BODI kuna watu wa mpira? Ni vile tulishaamua kushabikia mpira ila Tanzania hatustahili kuwa 5 bora CAF kwa namna yoyote ile.
Indonesia
21
12
202
9.2K
Kirahi
Kirahi@kirahiJS·
@EsirEid Yule kiongozi wa hizbollah alisema Israel ilitabiriwa kufutika baada ya miaka 80, now ina miaka 78, bye bye mwamposa 🤣👋
Indonesia
1
0
3
360
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Mauaji ya Ali Khamenei ni kosa kubwa zaidi la kimkakati katika historia ya kisasa ya Marekani. Kwa kumuua, Marekani na Israel hawakuondoa tu kiongozi; wametimiza unabii wa miaka 1,400 na kuunda shahidi ambaye kivuli chake kitaisumbua Magharibi kwa miongo kadhaa. Fikiria ishara yake: Iran haijawahi kuwa na Kiongozi Mkuu aliyekufa kishahidi. Ruhollah Khomeini alifariki kwa sababu za kawaida za kiafya. Kwa Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu kuuawa na Marekani/Israel ni jambo linaloendana kabisa na simulizi lao. Linabadilisha nafasi ya kisiasa kuwa sababu takatifu na ya milele. Muda wake ni wa janga. Khamenei aliuawa katika mwezi mtukufu wa Ramadan, mwezi ule ule ambao Ali ibn Abi Talib — Imamu wa kwanza katika Ushia na anayejulikana kama mfano wa haki — aliuawa. Kwa mamilioni ya watu, hili si “shambulio” tu; linaonekana kama ulinganifu wa kiungu. Alikufa kama alivyokufa Ali: kwa mkono wa muuaji wakati wa mwezi wa kufunga. Aliuawa pamoja na familia yake. Katika mtazamo wa Washia, hili linafanana mara moja na kuuawa kishahidi kwa Husayn ibn Ali katika Battle of Karbala. Simulizi la “aliyedhulumiwa” (Mazlum) dhidi ya “mwenye kudhulumu” (Zalim) sasa limeamshwa kikamilifu. Hili si janga la Iran tu; ni wito wa umoja kwa Washia duniani kote. Athari zake tayari ni za kipekee. Tunaona jambo nadra: umoja kati ya Washia na Masunni. Kuanzia Karachi hadi Baghdad hadi Lucknow, Masunni wanajiunga na Washia mitaani. Kwa kulenga mamlaka ya kidini ya hadhi hii, Marekani imeunganisha Umma dhidi ya “dhalimu” wa pamoja. Sera ya “waueni wote” ya Donald Trump, inayodaiwa kuongozwa na Benjamin Netanyahu, imegeuka dhidi yao. Walidhani wanakata kichwa cha utawala. Badala yake, wameipa Jamhuri ya Kiislamu ishara yake yenye nguvu zaidi ya uhalali tangu Iranian Revolution ya mwaka 1979. Huwezi kuua wazo, hasa lile ambalo sasa limeoshwa katika damu ya “ushahidi.” Magharibi inasherehekea “ushindi wa kijeshi wa muda mfupi” huku ikiingia polepole katika ndoto mbaya ya kimkakati. Marekani imebadilisha adui aliyekuwa anajulikana na kutabirika na kupata upinzani wa kimataifa usiotabirika unaochochewa na imani ya kidini. Huu si mwisho; ni mwanzo wa sura nyeusi zaidi💔 From Fatima Bhutto.
Indonesia
44
35
233
17.1K
KAPETO🇹🇿
KAPETO🇹🇿@kapeto98·
Kuna Fundi tumempatia Kazi Ya Kufanya, Akatupa Bei ya Vifaa. Muda wa kwenda Kuchukua Vifaa kuna Sehemu yeye Ndio Anataka tukachukue Vifaa, Sasa Sisi tukashauri Twende sehemu ambayo Ipo Karibu na Nyumbani. Kuuliza Bei Kwa Haraka Hataka Imepungua kama 500,000 kwenye Bei zake alitupatia. Naona Hana Raha Kabisa Kwanzia tulivyobadirisha Sehemu ya Kuchukua Vifaa. Kwani Hapaa Kosa Letu Ni Nini..?
Indonesia
58
28
396
43.1K
Edward
Edward@engassa08·
@GbpAud_king @taita_magessa Maboresho gani kila wiki lazima siku 2 au 3 haifunguki,wanazingua kisenge hao,sasa na 600k wakijiunga dse kiganjani si app itasimama mwezi mzima,wapuuzi sanaaa
Indonesia
1
0
1
58
Moses Jackson 🇹🇿
Moses Jackson 🇹🇿@GbpAud_king·
@taita_magessa App yao natumia tangu 2021 mkuu. Ina glitches lakin ipo vizur. Na saiv wamefanya maboresho hata user interface iko vizur.
Filipino
1
0
0
150
Moses Jackson 🇹🇿
Moses Jackson 🇹🇿@GbpAud_king·
Leo meneja kitengo cha TEHAMA - DSE amehojiwa UTV live Asubui amesema wawekezaji Waliojiandikisha ni takriban 800k Lakin wanaotumia App ya DSE hisa kiganjani ni 200k tu Wawekezaji takriban 600k bado wako analog. Watanzania bado wazito sana kwenye maswala mazima ya teknolojia.
Indonesia
17
11
140
6.9K
Edward
Edward@engassa08·
@WortaM37097 @PeterMAlberto1 @kapeto98 Ufundi wa mtaani haulipi ndo maana hata nyinyi wateja mnaogopa kuwaleta engineer au technicians sababu ni gharama hao hawawezi kufanya kazi ya hasara
Indonesia
1
0
1
14
Edward
Edward@engassa08·
@CuthbertSweetb2 @Kilamkilo230818 @kapeto98 Always mafundi wa mtaani wanafanya kazi kwa hasara kwenye hela ya ufundi ndio maana wanakimbiliwa wao sababu wanaonekana hawana gharama,wao wanategemea hela yamaterials ndo wapate hukohela ya ufundi wa mtaani hailipi ndo maana wengi wao hawaendelei,jamaaamenuna sababu kaonahasara
Filipino
0
0
0
29
Cuthbert Sweetbert
Cuthbert Sweetbert@CuthbertSweetb2·
@Kilamkilo230818 @kapeto98 Watanzania bana tunapenda sana pesa ya bure na kazi hatuwezi kufanya, kwaiyo kuwa fundi lazima kuiba? Si mmeshakubaliana na mteja na anakulipa pesa yako ya ufundi sasa mengine anatafuta nini, ukifanya kazi na mimi ndio utajua hujui
Indonesia
4
1
2
410
Sabrina winga
Sabrina winga@SharifaSabrina·
@MaxTz255_ Na bado anafanywa na mwalim mkuu kwenye mikorosho 😂 😆 😂
Filipino
6
0
6
1.5K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Kama Ukitaka Mke ambae ameajiriwa na Hatakusumbua Tafta Mwalimu , jumatatu mpaka ijumaa Yupo Skuli , Jumamosi To Jumapili anamark Assignment, Likizo anasimamia Uchaguzi , likizo nyingine Yupo Dodoma Sijui kikao na Tamisemi, December anaandaa mashamba aliyopewa na Shule 🙌😁
Indonesia
24
36
462
21.9K
Bao-Zang
Bao-Zang@Herrybaree·
@iamdoll__ Utamjua tu mtu ambae six hakugusa. Hao labda wamefanya graduation tu lakini form 6 huwa wanaamza mtihani wiki ya kwanza ya May always.
Indonesia
1
0
22
2K
muungwana
muungwana@winga_mwaminifu·
@Ambele_Young Naona watu mnamlazimisha Rick asifuate hata pombe sehemu mambo ya theruji kama alifuatapombe au ndio alikuwa wa mwisho kurudi utajuaje
Indonesia
1
0
0
185
Ambele Young
Ambele Young@Ambele_Young·
Kuna mauaji yalitokea mtaa wa jirani na muuaji ni kati ya Alex, Ben, Rick na Maria Ila walipofuatwa na polisi kila mtu alidai kwamba hakutoka usiku huo kwa sababu ya baridi kali na theluji iliyokuwa ikidondoka Unadhani aliyefanya mauaji ni nani na kwanini!?
Ambele Young tweet media
Indonesia
30
32
100
13.2K
Dazzy Elly
Dazzy Elly@AsajileDaniel·
@GbpAud_king Uchumi wa Tanzania kwa sasa kuwekeza kwenye hisa ni risky, bado tuna political instability.
Filipino
1
0
1
238
Moses Jackson 🇹🇿
Moses Jackson 🇹🇿@GbpAud_king·
Rafiki yangu alinunua hisa za CRDB @ 3000 per share. Akaweka kama 18M. Juzi price ikafika 2500. Floating loss karibu 3M. Amepata depression. Hii ndio reality ya masoko. Uwekezaji sio numbers tu, ni psychology pia. Kama unapitia pressure kisa market, usikae nayo peke yako.
Indonesia
70
40
708
49.8K